Ndege zashindwa kutua KIA kisa taa za runway kutofanya kazi, KLM yaenda kutua Entebbe

Ndege zashindwa kutua KIA kisa taa za runway kutofanya kazi, KLM yaenda kutua Entebbe

mchakato unaweza kuanza shida Tz hadi muone watu na hekaheka ndio mnaamini marekebisho yameanza heshimuni taaluma

Ni marufuku kwa uwanja wa ndege kukosa umeme yatakiwa kuwa na kitu chaitwa "resillience".

Umeme ukikatwa mara kwa mara kwanza waharibu operations za uwanjani kuanzia nje hadi ndani kwenye kuscan.

Yaani umeme ukirudi shughuli kama za scanning yabidi kurudiwa.

Viwanja vyetu vya kimataifa vyahitaji umeme ulo imara usokatika mara kwa mara.
 
mchakato unaweza kuanza shida Tz hadi muone watu na hekaheka ndio mnaamini marekebisho yameanza heshimuni taaluma
Hili la KLM ni leo, issue ilianza jana…

Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Ndg. Gerson Msigwa, amethibitisha Taa za njia ya ndege zilizima kuanzia saa moja Usiku hadi saa tano Usiku kutokana na Mvua nyingi zinazoendelea kunyesha na kuathiri miundombinu.

Ndege iliyokuwa itue muda huo, ililazimika kwenda kutua Entebbe Nchini Uganda.

Hakuna abiria hata mmoja aliyetelekezwa na na Wote watarudi Tanzania.

Ameongeza Uwanja wa KIA baada ya kufanyiwa Marekebisho, kuanzia jana Usiku saa tano na nusu hadi sasa Uwanja unafanya kazi.

 
Ingeundwa death squad tu nami niwe member kazi yetu kuwaua kikatili wanaopiga za umma. CAG anakabidhi ripoti tunawavamia na kuwateka, zinaokotwa maiti. Wangeacha hawa mbwa.

huko ndio wanakotupeleka, itafika mahala wananchi watajiunda vikundi vya kulinda maslahi yao maana siasa haina tena maslahi kwa wananchi baadala yake wahuni wameiteka nakuifanya kijiwe cha kulainisha ujinga wao.
 
Hili la KLM ni leo, issue ilianza jana…

Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Ndg. Gerson Msigwa, amethibitisha Taa za njia ya ndege zilizima kuanzia saa moja Usiku hadi saa tano Usiku kutokana na Mvua nyingi zinazoendelea kunyesha na kuathiri miundombinu.

Ndege iliyokuwa itue muda huo, ililazimika kwenda kutua Entebbe Nchini Uganda.

Hakuna abiria hata mmoja aliyetelekezwa na na Wote watarudi Tanzania.

Ameongeza Uwanja wa KIA baada ya kufanyiwa Marekebisho, kuanzia jana Usiku saa tano na nusu hadi sasa Uwanja unafanya kazi.

mchakato unaweza kuwa wa muda mrufu au mfupi

maboresho hufanyika mara kwa mara si kila boresho liwe hadharani kwa kila mtu
 
Sasa mkuu hilo swali ni nani anaulizwa?

Kwasababu nimeweka maneno ya Gerson Msigwa Kama mto’s jibu kuwa baada ya kufanyiwa “marekebisho”, sasa uwanja unafanya kazi kama kawaida. Na hiyo ni jana.

Unadhani Msigwa atatoa jibu jingine kuhusiana na swali lako?
Nashangaa tu mkuu wangu hamna kingine.

Nawaza maneno kwenye umeme kama sustainability, resilience of supply, safety and security.
 
Rais gani atahaha kwenye uchaguzi? Kwa taarifa yako Tanzania hakuna uchaguzi bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Rais anaamua nani atangazwe mshindi, na yeye anaamua atangazwe mshindi kwa kura ngapi. Dhalimu alidhibitisha hili.

Bwawa gani lingekuwa limeshakamilika, kama alisema reli ya SGR kipande cha Dar-Moro kingekuwa kimekamilika hadi Dec 2019, lakini hadi anaelekea jehenamu ilikuwa ni story. Hakuna mtu alikuwa muongo kama dhalimu. Yule alisema chini ya utawala wake amejenga viwanda 4,000+, wakati ulikuwa ni uongo wa wazi. Je umesahau ule uongo wa 50m kila kijiji?
Ripoti ya CAG inasema kuwa makadirio ya muda hayakuwa sahihi, walikadiria muda wa chini wakati kawaida inatakiwa ichukue kuanzia miaka 4-10
 
Back
Top Bottom