Ndege zashindwa kutua KIA kisa taa za runway kutofanya kazi, KLM yaenda kutua Entebbe

Ndege zashindwa kutua KIA kisa taa za runway kutofanya kazi, KLM yaenda kutua Entebbe

Mkuu wangu atlas copco mambo yanabadilika. Wana CCM tunaangalia upepo jinsi ulivyo sasa tunaona kabisa mbeleko ya vyombo vya ulinzi na usalama inaendelea kukatika kila kadri siku zinavyosonga. Hebu fikiria, kama Sabaya alisimamia Hai mpaka akapatikana Mbunge wa CCM, same kwa majimbo mengine mengi sana baada ya Dkt Magufuli, wale wote waliosimamia CCM kushinda na kushiriki fitina mbaya wakaitwa jina baya kabisa la Sukuma Gang na Rais Dkt Samia akakubali na kuanza kulishurutisha hilo kundi lililomuweka yeye madarakani kupitia Dkt Magufuli na kibaya kabisa kabisa wengine wakawindwa wauawe, je kwa muktadha huo unadhani kuna mtu yeyote kwenye vyombo vya ulinzi na usalama atashiriki kuisaidia CCM ambayo inaweza kukugeuka muda wowote na ukaonekana takataka???? Hapo kwa CCM kushinda kuna mambo mawili kiuchambuzi (1) ni kutoa rushwa kubwa sana kwa wasimamizi wa uchaguzi kwa ngazi zote (2) Kuhonga wapinzani wajitoe. Nje ya hapo CCM iko hoi bin taaban na mbeleko ya vyombo vya ulinzi na usalama is no longer there!

Vyombo vya dola wana ujanja gani, wanatii atakacho rais maana ndio muajiri namba moja. Kwa katiba hii chombo cha dola utake usitake utafuata atakavyo rais na genge lake. Mbegu mbaya aliyootesha dhalimu itatumika na wote.
 
Tindo nadhani wewe kama siyo una tatizo binafsi basi una chuki binafsi. Enzi za Dkt Magufuli huu ujinga usingetokea kwanza bwawa la Mwl Nyerere lingekuwa limeshakamilika. Sasa wana ongeza invoice kwa kuchelewesha mradi ili hela ya kuila iongezeke na 10%. Usidhani watanzania ni wajinga, wana take a note na kuweka moyoni wakisubiri hukumu 2025, na utaona jinsi ambavyo Rais Samia atahaha na kuhangaika na asipokaa makini atashindwa.
Unadhani hajui kinachofanyika...
 
Sasa mkuu hilo swali ni nani anaulizwa?

Kwasababu nimeweka maneno ya Gerson Msigwa Kama mtoa jibu kuwa baada ya kufanyiwa “marekebisho”, sasa uwanja unafanya kazi kama kawaida. Na hiyo ni jana.

Unadhani Msigwa atatoa jibu jingine kuhusiana na swali lako?
Dogo upo...kama tatizo ni mvua wenzetu wamefanyia marekebisho nini?
 
Wanabodi, hii imetokea jioni hii, mpaka sasa ndege zimeshindwa kutua KIA, chanzo kikiwa kutokufanya kazi kwa taa za runway.

Precison iliyotoka Dar jioni hii imekua re routed to Nairobi as we speak, wameambiwa matengenezo might take up to 5 hours.

Wahusika changamkeni kurekebisha tatizo.


=======

UPDATES;

=======

Alipotafutwa kutoa ufafanuzi juu ya taarifa hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Uendeshaji na Uendelezaji wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro wa Kia (KADCO), Christine Mwakatobe amesema amesikiliza swali kisha akasema yupo kikaoni na kukata simu.

Hata alipotafutwa baadaye kwa kupigiwa simu na kutumiwa ujumbe wa maandishi (SMS) hakutoa ushirikiano.

Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Ndg. Gerson Msigwa, amethibitisha Taa za njia ya ndege zilizima kuanzia saa moja Usiku hadi saa tano Usiku kutokana na Mvua nyingi zinazoendelea kunyesha na kuathiri miundombinu.

Ndege iliyokuwa itue muda huo, ililazimika kwenda kutua Entebbe Nchini Uganda.

Hakuna abiria hata mmoja aliyetelekezwa na na Wote watarudi Tanzania.

Ameongeza Uwanja wa KIA baada ya kufanyiwa Marekebisho, kuanzia jana Usiku saa tano na nusu hadi sasa Uwanja unafanya kazi kama kawaida.
View attachment 2578583
View attachment 2578472View attachment 2578473View attachment 2578474View attachment 2578475
Hata usafiri wa basi una uhakika kuliko ndege za Tz.
 
Jana tulishindwa kutua KIA kwa tatizo hilihili ikabidi tukatue Nairobi.

Tumekaa pale zaidi ya saa nne ndio tukarudishwa tena baada ya kurekebisha.

Ilikuwa Precision Air. Leo imeroga tena!!? 😳
SABOTAGE HII YA WAZIWAZI HII, SI BURE KUNA ANAYETAKIWA KUTIMULIWA, POLE RAIS WETU UNAPIGWA KOTE KOTE, POLE SANA.
 
Mzee Mwanakijiji mimi ni Mwanafunzi wako kupitia makala zako fikirishi za kisiasa na kijamii.Lakini siku hizi sioni makala zako humu Mzee,nimejifunza sana Ujenzi wa hoja na mpangilio wako wa uandishi.
Huyo Mwalimu wako unayemzungumzia hayupo kwenye Dunia yetu siku hizi ...alizikwa na Jiwe kulee Chato
 
Umekula hashua za mbuzi!!!?..mbona una utoko mwingi kichwani!?.. Corona ilikua na sifa ya kuua wenye magonjwa ya moyo,kisukari,ukimwi, saratani,wangapi kwenye circle ya magu walikufa kwa Corona!?..maalim seif kilimuua nini,mahiga!?..kwa taarifa yako uchaguzi huwa ni maonesho tu ili kuondoa lawama kimataifa tusikose mikopo na kuondoa fikra za uasi ndani ya nchi Kama kule Libya
Inasemekana aliuawa na unahitajika kufanyika uchunguzi hata kama ikichukua miaka 100 lazima hawa marehemu waliohusika waje washitakiwe
 
Wanabodi, hii imetokea jioni hii, mpaka sasa ndege zimeshindwa kutua KIA, chanzo kikiwa kutokufanya kazi kwa taa za runway.

Precison iliyotoka Dar jioni hii imekua re routed to Nairobi as we speak, wameambiwa matengenezo might take up to 5 hours.

Wahusika changamkeni kurekebisha tatizo.


=======

UPDATES;

=======

Alipotafutwa kutoa ufafanuzi juu ya taarifa hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Uendeshaji na Uendelezaji wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro wa Kia (KADCO), Christine Mwakatobe amesema amesikiliza swali kisha akasema yupo kikaoni na kukata simu.

Hata alipotafutwa baadaye kwa kupigiwa simu na kutumiwa ujumbe wa maandishi (SMS) hakutoa ushirikiano.

Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Ndg. Gerson Msigwa, amethibitisha Taa za njia ya ndege zilizima kuanzia saa moja Usiku hadi saa tano Usiku kutokana na Mvua nyingi zinazoendelea kunyesha na kuathiri miundombinu.

Ndege iliyokuwa itue muda huo, ililazimika kwenda kutua Entebbe Nchini Uganda.

Hakuna abiria hata mmoja aliyetelekezwa na na Wote watarudi Tanzania.

Ameongeza Uwanja wa KIA baada ya kufanyiwa Marekebisho, kuanzia jana Usiku saa tano na nusu hadi sasa Uwanja unafanya kazi kama kawaida.
View attachment 2578583
View attachment 2578472View attachment 2578473View attachment 2578474View attachment 2578475
Hakuna mvua iliyonyesha Kwenye uwanja wa ndege wa Kilimanjaro Bali mvua zinanyesha maeneo mengine. Tatizo ni Tanesco
 
Tindo nadhani wewe kama siyo una tatizo binafsi basi una chuki binafsi. Enzi za Dkt Magufuli huu ujinga usingetokea kwanza bwawa la Mwl Nyerere lingekuwa limeshakamilika. Sasa wana ongeza invoice kwa kuchelewesha mradi ili hela ya kuila iongezeke na 10%. Usidhani watanzania ni wajinga, wana take a note na kuweka moyoni wakisubiri hukumu 2025, na utaona jinsi ambavyo Rais Samia atahaha na kuhangaika na asipokaa makini atashindwa.
Samahani kiongozi sahau kuhusu kushindwa CCM kwenye nchi hii.pambana na vitu vingine sio ccm.
Asante
 
Back
Top Bottom