Ndege zashindwa kutua KIA kisa taa za runway kutofanya kazi, KLM yaenda kutua Entebbe

Ndege zashindwa kutua KIA kisa taa za runway kutofanya kazi, KLM yaenda kutua Entebbe

Si ndio unatakiwa uje sasa. Kwa jinsi ulivyopanick naona unatamani jf isiwepo. Vumilia tu mfuasi wa dhalimu maana hapa tunaweka rekodi sawa.
Na record ziko sahihi. Enzi hizo unaokota maiti kwenye viroba tu. Kwa sasa safi kabisa baridi.
 
Wanabodi, hii imetokea jioni hii, mpaka sasa ndege zimeshindwa kutua KIA, chanzo kikiwa kutokufanya kazi kwa taa za runway.

Precison iliyotoka Dar jioni hii imekua re routed to Nairobi as we speak, wameambiwa matengenezo might take up to 5 hours.

Wahusika changamkeni kurekebisha tatizo.


=======

UPDATES;

=======

Alipotafutwa kutoa ufafanuzi juu ya taarifa hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Uendeshaji na Uendelezaji wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro wa Kia (KADCO), Christine Mwakatobe amesema amesikiliza swali kisha akasema yupo kikaoni na kukata simu.

Hata alipotafutwa baadaye kwa kupigiwa simu na kutumiwa ujumbe wa maandishi (SMS) hakutoa ushirikiano.

Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Ndg. Gerson Msigwa, amethibitisha Taa za njia ya ndege zilizima kuanzia saa moja Usiku hadi saa tano Usiku kutokana na Mvua nyingi zinazoendelea kunyesha na kuathiri miundombinu.

Ndege iliyokuwa itue muda huo, ililazimika kwenda kutua Entebbe Nchini Uganda.

Hakuna abiria hata mmoja aliyetelekezwa na na Wote watarudi Tanzania.

Ameongeza Uwanja wa KIA baada ya kufanyiwa Marekebisho, kuanzia jana Usiku saa tano na nusu hadi sasa Uwanja unafanya kazi kama kawaida.
View attachment 2578583
View attachment 2578472View attachment 2578473View attachment 2578474View attachment 2578475
KIA BORA IRUDISHWE IWE CHINI YA TAA YA BWANA MUSA MBURA. ANAPIGA KAZI SANA. BORA KABISA IRUDI TAA.
 
Huo Uwanja una matatizo ya Generator umeme ukikatika nadhani wana magenerator ya kuunga unga sana sijaelewa kwa nini Uwanja wa Kimataifa kuwa na mambo kama wa Local...
 
Nchi ipo kwenye flight mode.

Mambo serious hakuna reactions za kuwajibishana ila mambo ya kijinga ndo wanaibuka.

Kuna DC alitenguliwa immediately kisa igizo la utayari uwanjani.

Mamlaka za anga za kimataifa au kikanda ziufungie huo uwanja wa KIA umekosa vigezo kwa flights za kimataifa ili akili zikae sawa.
 
Wanabodi, hii imetokea jioni hii, mpaka sasa ndege zimeshindwa kutua KIA, chanzo kikiwa kutokufanya kazi kwa taa za runway.

Precison iliyotoka Dar jioni hii imekua re routed to Nairobi as we speak, wameambiwa matengenezo might take up to 5 hours.

Wahusika changamkeni kurekebisha tatizo.


=======

UPDATES;

=======

Alipotafutwa kutoa ufafanuzi juu ya taarifa hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Uendeshaji na Uendelezaji wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro wa Kia (KADCO), Christine Mwakatobe amesema amesikiliza swali kisha akasema yupo kikaoni na kukata simu.

Hata alipotafutwa baadaye kwa kupigiwa simu na kutumiwa ujumbe wa maandishi (SMS) hakutoa ushirikiano.

Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Ndg. Gerson Msigwa, amethibitisha Taa za njia ya ndege zilizima kuanzia saa moja Usiku hadi saa tano Usiku kutokana na Mvua nyingi zinazoendelea kunyesha na kuathiri miundombinu.

Ndege iliyokuwa itue muda huo, ililazimika kwenda kutua Entebbe Nchini Uganda.

Hakuna abiria hata mmoja aliyetelekezwa na na Wote watarudi Tanzania.

Ameongeza Uwanja wa KIA baada ya kufanyiwa Marekebisho, kuanzia jana Usiku saa tano na nusu hadi sasa Uwanja unafanya kazi kama kawaida.
View attachment 2578583
View attachment 2578472View attachment 2578473View attachment 2578474View attachment 2578475
Serikali inatakiwa ipanue uwanja wa Arusha ufikie hadhi ya kimataifa
 
Wanabodi, hii imetokea jioni hii, mpaka sasa ndege zimeshindwa kutua KIA, chanzo kikiwa kutokufanya kazi kwa taa za runway.

Precison iliyotoka Dar jioni hii imekua re routed to Nairobi as we speak, wameambiwa matengenezo might take up to 5 hours.

Wahusika changamkeni kurekebisha tatizo.


=======

UPDATES;

=======

Alipotafutwa kutoa ufafanuzi juu ya taarifa hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Uendeshaji na Uendelezaji wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro wa Kia (KADCO), Christine Mwakatobe amesema amesikiliza swali kisha akasema yupo kikaoni na kukata simu.

Hata alipotafutwa baadaye kwa kupigiwa simu na kutumiwa ujumbe wa maandishi (SMS) hakutoa ushirikiano.

Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Ndg. Gerson Msigwa, amethibitisha Taa za njia ya ndege zilizima kuanzia saa moja Usiku hadi saa tano Usiku kutokana na Mvua nyingi zinazoendelea kunyesha na kuathiri miundombinu.

Ndege iliyokuwa itue muda huo, ililazimika kwenda kutua Entebbe Nchini Uganda.

Hakuna abiria hata mmoja aliyetelekezwa na na Wote watarudi Tanzania.

Ameongeza Uwanja wa KIA baada ya kufanyiwa Marekebisho, kuanzia jana Usiku saa tano na nusu hadi sasa Uwanja unafanya kazi kama kawaida.
View attachment 2578583
View attachment 2578472View attachment 2578473View attachment 2578474View attachment 2578475
Adam Lusekelo (ŔIP), once nicknamed ATC as an any time cancellation flight🤣🤓😎
 
Back
Top Bottom