Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyewe mdo naisubiriaNasubiri NDI NDI NDI..,,
Mandojo na Domokaya, vile vichwa vilikua ni hatari tupu!! hiyo ngoma ya wanok nok inanikumbusha sana mbali man, nilichoka kuisikilizia kweny radio nikaamua kununua album yao kabisa!! nimewamis sana wale machalii!!
Nashangaa. Jide next level jamani.Gadna ndo Mfalme wa starehe au mpaka watu wasiwepo hii show itakuwa noma nishajikatia zaman katicket kangu
Anachonifurahisha jidee anaimba mwenyewe lakini wasanii wengi wa bongo ukienda kwenye show zao wanaleta habari za kuimbishana utasikia tuimbe wote utafikiri nimelipa hela kuja kuimba
Mwenyewe mdo naisubiria
Kwa kweli jide hana mvuto wa kike asingekua super star huyu angekua beki 3 na kuolewa ingekua ni hadithi..kwa sisi tuliozea kungoa watoto wakali kwa jide net aisomi ingekua ni simu mwezi wa 6 ingezimwa..
Yani me tooNataka nione mlipuko wa mashabiki....!
Itawekwa mwishoni nahisi [emoji4]
Kwa kweli jide hana mvuto wa kike asingekua super star huyu angekua beki 3 na kuolewa ingekua ni hadithi..kwa sisi tuliozea kungoa watoto wakali kwa jide net aisomi ingekua ni simu mwezi wa 6 ingezimwa..
Tupieni tupicha mlioko mliman city wengine tupo tunakunywa kitwanga hapa
We jamaa bhana uzuri na kuimba wapi na wapi ingekuwa hivyo kim kardishian angekuwa fundi zaidi ya tyalor swiftKwa kweli jide hana mvuto wa kike asingekua super star huyu angekua beki 3 na kuolewa ingekua ni hadithi..kwa sisi tuliozea kungoa watoto wakali kwa jide net aisomi ingekua ni simu mwezi wa 6 ingezimwa..
itakua ni zile za "kwa niaba ya wana......17yearsAnachonifurahisha jidee anaimba mwenyewe lakini wasanii wengi wa bongo ukienda kwenye show zao wanaleta habari za kuimbishana utasikia tuimbe wote utafikiri nimelipa hela kuja kuimba
Watu wana roho chafu mpaka wanashindwa kujizuiaumeumbuka hadi sasa chutama ficha tezi dume lako watu kibaooo ukumbini