Ndio naanza kupata picha kwanini HAMAS walishambulia, walijipanga sana, mahandaki 800

Ndio naanza kupata picha kwanini HAMAS walishambulia, walijipanga sana, mahandaki 800

Misri nayo imeshauli pale magaidi ya hamas yamalizwe na yasiwe na jeshi kabisa israel ameshauriwa na waislam wenye akiki zao wafute vimelea vyote vya hamas
Hamas ikiwa kama kundi teule hakuna wakuifuta
Labda Mungu pekee ila sio hii israhell mnayodai ilishinda vita ya siku sita
Halag leo mtake aifute hamas inayokaa eneo lenye ukubwa wa viwanja vitatu vya mpira tena wa chandimu
 
Hamas ikiwa kama kundi teule hakuna wakuifuta
Labda Mungu pekee ila sio hii israhell mnayodai ilishinda vita ya siku sita
Halag leo mtake aifute hamas inayokaa eneo lenye ukubwa wa viwanja vitatu vya mpira tena wa chandimu
Sasa hizi lwakubalu na mnazo lialia nini mpaka sasa magaidi 26000 yameuliwa pale gaza ni 1% ya magaidi yameuliwa
 
NIliwahi ona humu kwamba Misri iliitaarifu Israel kuhusu kushambuliwa na Hamas.
Nadhani waliacha kusudi ili wapate sababu ya kuwamaliza huko Gaza.
Ama kuhusu kujiandaa nadhani umewachukua miaka kujenga maficho imara kwa msaada wa washirika wao kama Iran, Syria Qatar,uturuki na vikundi vingine.
Hawana kambi juu ya ardhi,kambi zao zipo ardhini, juu yao majumba , milango ya hospitali, hii yote ni kimbinu zaidi maana ili uwafikie lazima uuwe watu wengi,wakiwamo Hamas militant wenyewe wakiwa wamevaa kiraia.
Kwa maana nyingine waliwatega Israel kwenye jamii ya kimataifa kama.ilivyo sasa . Siyo kweli kwamba wanakuwa ni raia tu bali ni wanajeshi wa Hamas waliovaa mavazi ya kiraia, wametoka mashimoni wakiwa kiraia na kukimbilia kwenye Makambi ya wakimbizi, mahospitali na miundombinu mingine ya kiraia.
Kuwamaliza siyo rahisi labda idf ikae pale Gaza kwa miaka, huku ikizuia upokeaji wa silaha na vifaa vya kijeshi kutoka kwa washirika wao.

IDF wamesuka mkakati wa kukalia pale muda mrefu, maana mpaka upasafishe inabidi kutumia mabavu kwa mwaka na zaidi.
 
Mkenya nakushangaa sana, unafikiri mazayuni wankutambuwa wewe? Wewe wa kutemewa makohozi tu.

Nakushangaa sana unashadadia watoto na wanawake kuuliwa na watu waliokuulia "mungu" wako.

Sema Mazayuni hawajala kichapo kama hiki toke wapewe hiyo ardhi na Muingereza 1948, jionee:

View attachment 2833492

Ndio mjifunze siku nyingine, Mzayuni ni mtu hatari, katili wa mwisho, inapaswa ukiskia hilo jina linatajwa mahali yaani hata kama una mimba unaachika, hawa sio Wakristo ambao mabwana zako wamezoea kupelekea shobo, hawa ni Mazayuni....khatari bin hatari.... kaa mbali nao, hawajui mtoto wala bi kizee kama wewe, wanafumua tu maana wanaamini nyote ni magaidi.
 
Mbona kidogo sana hayo, nijuavyo kuna mahandaki zaidi ya 5,000.

Ngoma ya kuwasambaratisha mazayuni haijaanza bado, hao Hamas wanachokonoa tu, hiyo ni bashraf tu mziki mkamili kwa wajomba wa mungu wako, wanaemkana, upo njiani.
Inasemekana zaidi ya wanajeshi 900 wa kizayuni wameuliwa.Ama kweli usicheze na allah
 
Nilikua najiuliza kwanini HAMAS wafanye kitu ambacho kimekuja kuwaletea hasara mara mia na kusababisha wafutwe Gaza.....

Aisei hiki kilikua kiama kwa Israel, hawa jamaa walijiandaa kwa muda mrefu sana, mpaka sasa Israel imegundua mahandaki 800 na imefumua 500, bora ishikilie hapo hapo, safisha hiyo Gaza bila kuskliza kenge yeyote maana Israel ingefutika tukiiona hivi hivi.

Inaonekana huu mpango ulikua umesukwa na mataifa yote ya ile dini, na ilikua HAMAS washambulie halafu hao wengine waje kwa kumalizia, ila Marekani wakaingiza dubwana la meli pale na kusema asiyependa maisha yake ajaribu kujikuna, wakaufyata wote ikiwemo kubwa la magaidi wa kidni Iran.
=========================

IDF says 800 tunnels discovered in Gaza op, 500 destroyed or sealed​

Military says hundreds of kilometers of tunnels, many of which link Hamas’s ‘strategic assets,’ eliminated; IDF Arabic spokesperson urges Shejaiya battalion to surrender​

The Israel Defense Forces said Sunday that troops have discovered more than 800 tunnel shafts in the Gaza Strip since the beginning of the ground offensive targeting the Hamas terror group that began in late October.

The military said that around 500 of them have already been destroyed, either by setting off large explosive charges inside or by sealing them.

According to the IDF, many of the tunnels connect Hamas’s “strategic assets.”
Mr Uharo.
 
Huyu kichaa kila akisikia uwongo wa Israel anauleta hapa, hivi hao mashoga wangegundua hayo ma tunnels siwangeita fox news, cnn, bbc na European media [emoji1]

Ukiona hawakuwaita ujuwe wazi wanacho ongea ni uwongo, wali acting ile movie ya Alshifaa Hospital ilipo kosa soko wakaifuta, hata hizo tunnels sijui wameziona wako usingizini wana ota si bora wakatafute my producers na madirectors kutoka Bollywood wanaweza kutengeneza filim nzuri sana ikapata soko India [emoji1]

Au waligundua yale mafake tunnels walipoingia wakafukiwa humo humo wapo hai [emoji1]
Unapingana na Faiza?
 
Mimi natazama habari za ukweli sio wewe unatazama cnn, bbc, na Israel channels au European channels hizo zote ni propoganda tu, kwa tarifa yako Hamasi wako ndani ya Israel wanazipiga huko

Afu wape hongera jeshi la America na Uingereza askari wao 180 wako Jahanamu tokea jana [emoji1]
Hamas wameizingira Israel wanachakaza balaa
 
Hahaha. Wameshindwa kwa miaka 75 wataweza sasa?

Sema sasa mwisho wao ndiyo unefika.

Wameshaond9kanhuko kwa malaki kukinbilia ulaya na USA.

Na kimeshaanza kunukishwa Tel Aviv, wanaagiziwa vitu kutokea mbali. Hawana raha huko.


Unajuwa hii ndiyo vita yao ndefu kuanzia mwaka 1948?

Unajuwa jana USA kadonyolewa meli zake tatu?
Jana maaskari 3000 wa US wamedonyolewa na wana muqawama
 
Mbona kidogo sana hayo, nijuavyo kuna mahandaki zaidi ya 5,000.

Ngoma ya kuwasambaratisha mazayuni haijaanza bado, hao Hamas wanachokonoa tu, hiyo ni bashraf tu mziki mkamili kwa wajomba wa mungu wako, wanaemkana, upo njiani.
Lazima utakua na damu ya kiarabu upande wa ujombani.
 
Mandiko ya kunyonya ulimi 😄 we unauhakika aliye andika hakuwa na akili kama zako? Vipi Mtume wenu Paulo kwanini alikuwa hapendi wanawake? Hivi kuna mwanaume yuko sawa akachukia wanawake? Hauoni kambukiza mpaa mapadri wengi ni mashoga kama yeye

Tazama Yemen anavyo mpelekea zawadi Israel
Israel wanaomba msaada kutoka Nato hawasaidie kuishambulia Yemen mashoga kweli😂 wapeleke ndege zao Yemen waome kama zitarudi wao wanapigana na watoto na wagonjwa na majengo.
 
Leo nimesoma kwenye aljazeera kwamba Israel wana plan ya ku pump maji ya bahari humo kwenye hizo tunnels...hammas wote watoke humo ndani, ila tatizo ni mateka wa Israel ambao inaaminika wameshikiliwa humo.
 
Kazi inakwenda kwisha, popote Hamas walipojificha Gaza wanasakwa na kusambaratishwa mara moja.
Israel imesema wazi haitaacha chochote kinachowaficha Hamas iwe kisiki, kichuguu, kichaka, kiota, shimo au handaki lolote Gaza kubakia salama, viwe vimefichwa shuleni, hospitalini, msikitini, kanisani, kambini vyote vitagezwa majivu.
Hahaha naona mnajiliwaza na kujifariji vita ndiyo vinaanza mabwana zenu kila siku wapo msibani.
 

Attachments

  • IMG_7382.jpeg
    IMG_7382.jpeg
    79 KB · Views: 2
  • IMG_7380.jpeg
    IMG_7380.jpeg
    63.9 KB · Views: 2
Kuna kila dalili za mazayuni wameomba poo kimya kimya baada ya juzi wanajeshi wao 70 kuuliwa kwa mpigo. Tumeona jana 70% wakijiondowa Ghaza na leo mpaka saa hizi pamekuwa kimya sana pande zote mbili mpaka sasa.

Hiyo ni dalili ya mazayuni kuomba poo kimya kimya.

Tuombe salama na tuone yatakuwaje mpaka baadae.
Acha kupotosha watu wewe. Ni kweli,Wanajeshi wa Israel karibu 70% wameondoka Kaskazini mwa Gaza kuelekea Kusini mwa Gaza. Kaskazini mwa Gaza ndio Kuna Mji wa GAZA CITY,Huko kazi imekamilika. Mji umesambaratishwa na umebaki Magofu tu. Miundombinu ya Mahandaki ya Hamas imesambaratishwa yote. Mpaka Sasa,Israel imegundua Mahandaki 800 na Kati ya hayo,500 yapo Kaskazini mwa Gaza ambapo kazi ya kuyasambaratisha imekamilika. Yamebaki 300 ambayo yapo Kusini mwa Gaza kwenye mji wa Khan Yusin. Sasa Israel imehamishia Vita Huko make kule Kaskazini kazi imekwisha. Wamebaki Wanajeshi wa IDF wachache ambao wanalinda Usalama ndani ya Mji huo.

Sasa hivi Vita imehamia Kusini kwenye mji wa pili kwa ukubwa wa KHAN YUNIS ambao mashambulizi Ni makali Sana. Ndege za IDF zimedondosha vipeperushi kwenye mji huo kuwataarifu raia kuhamia kwenye Mahema kandokando ya Bahari ambapo hakina huduma ya umeme,maji Wala Chakula.

Kwahiyo usidanganye watu eti IDF imekimbia Kaskazini mwa Gaza Bali imehamisha mashambulizi yake kule Kusini. Hakuna Wanajeshi waliorudishwa Nyumbani. Wanahama Gaza kutoka eneo Moja kwenda eneo jingine.
 
Acha kupotosha watu wewe. Ni kweli,Wanajeshi wa Israel karibu 70% wameondoka Kaskazini mwa Gaza kuelekea Kusini mwa Gaza. Kaskazini mwa Gaza ndio Kuna Mji wa GAZA CITY,Huko kazi imekamilika. Mji umesambaratishwa na umebaki Magofu tu. Miundombinu ya Mahandaki ya Hamas imesambaratishwa yote. Mpaka Sasa,Israel imegundua Mahandaki 800 na Kati ya hayo,500 yapo Kaskazini mwa Gaza ambapo kazi ya kuyasambaratisha imekamilika. Yamebaki 300 ambayo yapo Kusini mwa Gaza kwenye mji wa Khan Yusin. Sasa Israel imehamishia Vita Huko make kule Kaskazini kazi imekwisha. Wamebaki Wanajeshi wa IDF wachache ambao wanalinda Usalama ndani ya Mji huo.

Sasa hivi Vita imehamia Kusini kwenye mji wa pili kwa ukubwa wa KHAN YUNIS ambao mashambulizi Ni makali Sana. Ndege za IDF zimedondosha vipeperushi kwenye mji huo kuwataarifu raia kuhamia kwenye Mahema kandokando ya Bahari ambapo hakina huduma ya umeme,maji Wala Chakula.

Kwahiyo usidanganye watu eti IDF imekimbia Kaskazini mwa Gaza Bali imehamisha mashambulizi yake kule Kusini. Hakuna Wanajeshi waliorudishwa Nyumbani. Wanahama Gaza kutoka eneo Moja kwenda eneo jingine.
Mnashikiwa akilo kweli nyiie mapunguani hayo mahandaki umeyona kwenye TV? Mashambiulizo makali wanashambulia shule na hospital pamoja ambulance, majengo, watoto, nikuulize kama Gaza yote ipo kwa Israel vipi mateka zaidi ya 159 wako wapi?
 
Afu nimewambia hapa wanabisha wanajeshi wa Israel wamepata maradhi wanajiharia hovyo pale Gaza


View: https://youtu.be/AhwpRj5utgQ?si=i0KOZnk7TgktKpSk

Hizi habari huwezi kuziona CNN, FOX NEWS au BBC.
The diaper memes are coming true!

Who prayed for our troops to get humiliated like this?

Dr. Tal Brosh, Director of the Infectious Diseases Unit at Assuta General Hospital in Ashdod, said, "Diarrhea spread among soldiers in the south, and in their various areas of concentration, and then it spread among soldiers who went to combat in Gaza," and "We diagnosed infections with the Shigella bacteria." Which causes dysentery, a very dangerous disease that has spread among fighters in Gaza. The doctor added that the outbreak of these diseases has consequences on the condition of soldiers and the conduct of combat operations.

He said: "If the infection spreads among 10 soldiers in an infantry company, and they develop a fever after their temperature reaches 40 degrees Celsius, and they start having diarrhea every 20 minutes, then they are no longer fit." To fight, they expose themselves to the risk of death."

Source: Israeli newspaper Yedioth Ahronoth
 

Attachments

  • IMG_7434.jpeg
    IMG_7434.jpeg
    69.6 KB · Views: 3
Israel wanaomba msaada kutoka Nato hawasaidie kuishambulia Yemen mashoga kweli😂 wapeleke ndege zao Yemen waome kama zitarudi wao wanapigana na watoto na wagonjwa na majengo.
Yemen maskini wakubwa hata sie tuna nafuu, hamna kitu pale.
Kasome historia waliwahi kukung'utwa na Israel hadi leo uchumi wao haujaweza kusimama...wale wamebaki kula mirungi tu.
 
Back
Top Bottom