Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Ngoja uzi wenu uwasili kutoka sehemu. Usitoroke.Bukoba haikuwa na stendi lakini una Airport Bora kabisa, stadium nzr kabisa, mji mzima una Barabara za lami, shule kibao, hospital kibao, bandari kubwa.
Nyinyi mnajenga stendi halafu Barabara za mitaa ni ovyo kabisa mfano ni Morogoro, kigoma, singidaš miji ina stendi nzr lakin Barabara za mitaa sasa.
Bukoba Barabara za mitaa kwanza stendi baadae. Watu hawaishi stendi
Hapo Bukoba kuna nn cha ajabu? Hata wenyewe hamtaki kuishi kwenu!
Wasukuma wa BariadiHahahaa Wanyantuzu kabila gani hao?
Si ndo hapo ,hawajui Musoma ni ya wakwayaNani amekwambia wenyeji wa Musoma mjini ni wakurya?
Jamaa mjuaji sana, amekariri tu.Si ndo hapo ,hawajui Musoma ni ya wakwaya
Vimekuja bukoba baada ya miaka 60'ya uhuru alafu unajisifiaNi vzr ukabisha kwa facts sio chuki na hisia.
View: https://youtu.be/5G5OGYo5dss?si=hMAtXMoYwt8Zyjex
Kama Lindi vile?Katika mji ambao sijawahi kuuelewa ni Musoma, mji umekata tamaa miaka yote kama uliwahi kwenda mwaka 2004 na ukatembea tembea ukirudi tena baada ya miaka 20 mwaka huu 2024 utakuta pako vile vile hakuna maendeleo ya maana mji haubadiliki
Kiukwel lindi haifai kua mkoaMusoma sijawahi fika. Kwa miji niliyofika nadhani Lindi ndo unanuka umaskini zaidi.
Kuwa na Adabu Kijana sawa? Kwahiyo unataka nikupe Sifa Tukuka za Dada zangu wa Kizanaki ili Unikazie kwa Usununu / Hasira?
Unaongelewa Mkoa wa Mara ( Musoma ) Wewe unaleta taarifa za Mkoa wa Kagera ( Bukoba ) sijui ni lini Watu wengine mtaachana na Ungandamba ( Ushamba ) mlionao.Watani zao Bukoba. Wako wanaijenga barabara ya njia nne km 5, stendi mbili mpya, bandari ya Bukoba inapanuliwa, uwanja wa Bukoba unawekewa control tower, shopping complex mpya nk.
Kimsingi Bukoba inabadilika sana siku hiz.
Ila ndiyo Mkoa wanaotoka Werevu ( Intelligents ) tupu Tanzania nzima ukibisha hili huna Akili na ni Mwehu tukuka.Katika mji ambao sijawahi kuuelewa ni Musoma, mji umekata tamaa miaka yote kama uliwahi kwenda mwaka 2004 na ukatembea tembea ukirudi tena baada ya miaka 20 mwaka huu 2024 utakuta pako vile vile hakuna maendeleo ya maana mji haubadiliki
Wanakuaje waelevu alafu wanashindwa kupeleka maendeleo kwao (individual development)Ila ndiyo Mkoa wanaotoka Werevu ( Intelligents ) tupu Tanzania nzima ukibisha hili huna Akili na ni Mwehu tukuka.
Huwezi kupewa Vyote. Mbona Wewe ni Tajiri lakini Mpumbavu mno na hujishangai?Wanakuaje waelevu alafu wanashindwa kupeleka maendeleo kwao (individual development)
Mi sina utajiri wowoteHuwezi kupewa Vyote. Mbona Wewe ni Tajiri lakini Mpumbavu mno na hujishangai?
Hapana mkuu nataka nijue sifa ili nijue hapa nilipo niishie hapa hapa au nifike Musoma kuhalalisha jambo. Hutaki shemeji mkuu?Kuwa na Adabu Kijana sawa? Kwahiyo unataka nikupe Sifa Tukuka za Dada zangu wa Kizanaki ili Unikazie kwa Usununu / Hasira?
Wana maanisha wasukuma, mnyantuzu ndio msukuma original.Hahahaa Wanyantuzu kabila gani hao?
Ndio wapi huko?Ndugu zangu mnaoishi Musoma kwanza niwape pongezi kwa jinsi mnavyo pambana kupata mkate wenu wa kila siku.
Mkoa huu wa MARA japo una wakazi wengi wenye elimu ya sekondari na kuendelea ila nahuzunika kusema kundi kubwa la vijana wanahangaika mitaani kwa kukoswa ajira za kueleweka na kujikuta wanaishi kwenye mazingira magumu na hii inapelekea wengine kujihusisha na matukio ya kiuhalifu, kama kupora mali za watu na unyang'anyi.
Kwa hali kama hii ninapenda kuiomba serikali kulitizama kwa umakini sana ili kuiokoa jamii na matukio yasiofaa kama ubakaji na unyang'anyi. Maana tutaanza kusikia kuna makundi ya kihalifu kama miaka ya nyuma vijana walipokua na magenge ya uhalifu.
Ifikapo mida ya saa mbili za usiku, bado ni mapema sana ila huu muda usishangae kukutana na uporaji wa kutumia nguvu katika baadhi ya maeneo kama, Nyabange, Bweri, Majengo(songe), Baruti, Nyakato, Nyasho, nk. Inatakiwa jeshi la polisi liweke juhudi kutokomeza tabia za namna hii kwa Nguvu zote ili kuilinda heshima ya mkoa wa Mara. Naamini samaki hukujwa angali mbichi.
Nimefurahia ziara ya mkoani, japo maisha ya walio wengi ni changamoto.
Lazima tuwatese nyinyi watani. Washamba sana nyinyi. Naam naona unatesekašUnaongelewa Mkoa wa Mara ( Musoma ) Wewe unaleta taarifa za Mkoa wa Kagera ( Bukoba ) sijui ni lini Watu wengine mtaachana na Ungandamba ( Ushamba ) mlionao.