Nauliza swali hili kutokana na mabadiliko ya lugha katika baadhi ya bidhaa ambazo hapo kabla hazikutumia lugha ya kiarabu
Ningeweza kuweka baadhi ya picha za bidhaa hizo, lakini kwa sababu za kibiashara nimeona si vyema.
Kama tayari tuko kwenye umoja huo, tuambiwe ili tujue. Kwasababu hata ziara za mara kwa mara za viongozi wa kitaifa katika nchi hizo; kwa siku za hivi karibuni, zinazua maswali mengi.
Kama wananchi wa Tanzania tuna haki ya kujua nini kinaendelea.
Unaleta habari bila ushahidi wowote halafu tukujibu!Nauliza swali hili kutokana na mabadiliko ya lugha katika baadhi ya bidhaa ambazo hapo kabla hazikutumia lugha ya kiarabu
Ningeweza kuweka baadhi ya picha za bidhaa hizo, lakini kwa sababu za kibiashara nimeona si vyema.
Kama tayari tuko kwenye umoja huo, tuambiwe ili tujue. Kwasababu hata ziara za mara kwa mara za viongozi wa kitaifa katika nchi hizo; kwa siku za hivi karibuni, zinazua maswali mengi.
Kama wananchi wa Tanzania tuna haki ya kujua nini kinaendelea.
Bunge wamejaa wao wakiamua linapita tu vizuriHakuna anayeweza kufanya hivyo. Muulizeni membe atawasimulia kilichompata alipoleta hizo habari.
[emoji38][emoji38][emoji38]Nadhani ulimsikia Jana bi Maza anasema muwe na siri katika serikali ya mapinduzi nadhani Ndio hizo sasa
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana.... kuna bidhaa zina maandishi ya kifaransa basi tutakuwa tumejiunga na ufaransa kimyakimya.Nauliza swali hili kutokana na mabadiliko ya lugha katika baadhi ya bidhaa ambazo hapo kabla hazikutumia lugha ya Kiarabu. Ningeweza kuweka baadhi ya picha za bidhaa hizo, lakini kwa sababu za kibiashara nimeona si vyema.
Kama tayari tuko kwenye umoja huo, tuambiwe ili tujue. Kwasababu hata ziara za mara kwa mara za viongozi wa kitaifa katika nchi hizo kwa siku za hivi karibuni zinazua maswali mengi.
Kama wananchi wa Tanzania tuna haki ya kujua nini kinaendelea.
Umemjibu Sawa sawaUwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana.... kuna bidhaa zina maandishi ya kifaransa basi tutakuwa tumejiunga na ufaransa kimyakimya. Pumbav sana wewe
Nauliza swali hili kutokana na mabadiliko ya lugha katika baadhi ya bidhaa ambazo hapo kabla hazikutumia lugha ya Kiarabu. Ningeweza kuweka baadhi ya picha za bidhaa hizo, lakini kwa sababu za kibiashara nimeona si vyema.
Kama tayari tuko kwenye umoja huo, tuambiwe ili tujue. Kwasababu hata ziara za mara kwa mara za viongozi wa kitaifa katika nchi hizo kwa siku za hivi karibuni zinazua maswali mengi.
Kama wananchi wa Tanzania tuna haki ya kujua nini kinaendelea.
Mkuu, namuombea msamia, ooops! MsamahaUwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana.... kuna bidhaa zina maandishi ya kifaransa basi tutakuwa tumejiunga na ufaransa kimyakimya.
Hiwezi kujenga hoja bila lugha chafu?Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana.... kuna bidhaa zina maandishi ya kifaransa basi tutakuwa tumejiunga na ufaransa kimyakimya.
Lakini ziara za Ufaransa mara kwa mara je, maanake hilo nalo kaliunganisha kama ushahidi kwenye mada yake.Umemjibu Sawa sawa
Unasubiri miradi ikuletee maendeleo; hii ni akili ya tope kabisa!Kama wanaleta miradi kuna shida gani hii nchi haijitaji ukabila wala ubaguzi tunahitaji maendeleo.
Zanzibar iko mbioni kuanzisha mfuko maalum wa kusaidia wanaoenda Saudia kila mwaka kuhiji. Hayo ni maneno ya Mhe. Husein Ally Mwili, Rais wa Kisiwa hicho.Nauliza swali hili kutokana na mabadiliko ya lugha katika baadhi ya bidhaa ambazo hapo kabla hazikutumia lugha ya Kiarabu. Ningeweza kuweka baadhi ya picha za bidhaa hizo, lakini kwa sababu za kibiashara nimeona si vyema.
Kama tayari tuko kwenye umoja huo, tuambiwe ili tujue. Kwasababu hata ziara za mara kwa mara za viongozi wa kitaifa katika nchi hizo kwa siku za hivi karibuni zinazua maswali mengi.
Kama wananchi wa Tanzania tuna haki ya kujua nini kinaendelea.