Ndiyo kusema Tanzania imejiunga kwenye Umoja wa Nchi za Kiarabu kimya kimya?

Ndiyo kusema Tanzania imejiunga kwenye Umoja wa Nchi za Kiarabu kimya kimya?

Kusingekuwa na tatizo kama wasingekuwa na agenda ya kusambaza dini ya kiislam kwa panga,mabomu na risasi.

Angalia hata nchi kama somalia ni waislam watupu sidhani hata kuna kanisa moja kule,ila bado kwa kuwa wana DNA na ukatili,watakuwa wamepata watu sahihi wa kuwafanyia ukatili kwa kisingizio kwamba wanataka kuwasilimisha
Je kwa risasi na mabomu ya Congo nayo ni kwa sababu ya nini?
Au nako wanaeneza dini gani?
 
Kusingekuwa na tatizo kama wasingekuwa na agenda ya kusambaza dini ya kiislam kwa panga,mabomu na risasi.

Angalia hata nchi kama somalia ni waislam watupu sidhani hata kuna kanisa moja kule,ila bado kwa kuwa wana DNA na ukatili,watakuwa wamepata watu sahihi wa kuwafanyia ukatili kwa kisingizio kwamba wanataka kuwasilimisha
Udini ndo unaokutesa..
Kuna nchi imepitia mauaji ya kutisha kushinda Rwanda??!!
Tena yalichochewa na Mapadri wa Katoliki.
Mauaji ya Liberia je?
Yanayoendelea DRC je?
Huko nako ni Waislamu?
 
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana.... kuna bidhaa zina maandishi ya kifaransa basi tutakuwa tumejiunga na ufaransa kimyakimya.
Kuna hoja unaweza kuona hazina mashiko kwasababu tu ya mtazamo. Na huenda hazigusi hisia zako moja kwa moja.

Watu wenye high IQ siku zote huwa hawapuuzi hoja hata kama ni dhaifu. (They don't take things for granted)
I doubt if you are among of them! Jitahidi kuwa unafikiria nje ya box mkuu!😲


Kwa kifupi ni kwamba hizo zenye lugha ya kifaransa zinakuwa zimetengenezwa huko huko ufaransa (made from france) tofauti na hizi ninazoziona kwa sasa ambazo zimetengenezwa mahali kwingine, na hazikutumia lugha hiyo hapo kabla!

Hakuna mwenye hofu juu ya suala hilo. Ila kumbuka tu kwamba lugha ni mojawapo ya viashiria vya kutawala au kutawaliwa. Kujiunga na umoja wowote si tatizo, muhimu ni taarifa!
 
Subirini Mswada wa kujiunga na OIC urudi Bungeni kwa hati ya dharura maana naona tuna Spika wa Mchongo tayari 😁
 
Kuna hoja unaweza kuona hazina mashiko kwasababu tu ya mtazamo. Na huenda hazigusi hisia zako moja kwa moja.

Watu wenye high IQ siku zote huwa hawapuuzi hoja hata kama ni dhaifu. (They don't take things for granted)
I doubt if you are amongest of them! Jitahidi kuwa unafikiria nje ya box mkuu!😲


Kwa kifupi ni kwamba hizo zenye lugha ya kifaransa zinakuwa zimetengenezwa huko huko ufaransa (made from france) tofauti na hizi ninazoziona kwa sasa ambazo zimetengenezwa mahali kwingine, na hazikutumia lugha hiyo hapo kabla!

Hakuna mwenye hofu juu ya suala hilo. Ila kumbuka tu kwamba lugha ni mojawapo ya viashiria vya kutawala au kutawaliwa. Kujiunga na umoja wowote si tatizo, muhimu ni taarifa!
Kwani wewe hofu yako ni nini? Hicho Kiarabu kinakuzuia nini kutumia hiyo bidhaa? Aliyekuambia Kiarabu ndiyo Uislam nani? Kiarabu ni lugha na kimekuwepo maelfu ya miaka kabla ya hata huo Uislam.
 
Zanzibar iko mbioni kuanzisha mfuko maalum wa kusaidia wanaoenda Saudia kila mwaka kuhiji. Hayo ni maneno ya Mhe. Husein Ally Mwili, Rais wa Kisiwa hicho.
Hadi hapo Unahitaji majibu gani zaidi mleta mada?
Ina uhusiano na mada?
 
Kuna hoja unaweza kuona hazina mashiko kwasababu tu ya mtazamo. Na huenda hazigusi hisia zako moja kwa moja.

Watu wenye high IQ siku zote huwa hawapuuzi hoja hata kama ni dhaifu. (They don't take things for granted)
I doubt if you are amongest of them! Jitahidi kuwa unafikiria nje ya box mkuu!😲


Kwa kifupi ni kwamba hizo zenye lugha ya kifaransa zinakuwa zimetengenezwa huko huko ufaransa (made from france) tofauti na hizi ninazoziona kwa sasa ambazo zimetengenezwa mahali kwingine, na hazikutumia lugha hiyo hapo kabla!

Hakuna mwenye hofu juu ya suala hilo. Ila kumbuka tu kwamba lugha ni mojawapo ya viashiria vya kutawala au kutawaliwa. Kujiunga na umoja wowote si tatizo, muhimu ni taarifa!
Amongest = amongst.... huna hoja umeandika upupu.
 
Kule watakuwa wanawasaidia waumini kutekeleza moja ya nguzo za uislamu. Sasa na upande mwingine waanzishe na wao ili kuwasaidia kutekeleza ibada kama ilivyo sasa
 
Amongest = amongst.... huna hoja umeandika upupu.
😀😀
Tatizo kubwa la baadhi ya vijana wa kitanzania, hamna uwezo wa kuprovide critical argument, na badala yake mnapenda zaidi kushindana badala ya kujenga hoja! Unaangaika na typing error badala ya kujenga hoja! Loh!

Hakika, Taifa bila vijana wenye maono, litaangamia!
Uchawa hadi unavuka mipaka! 😃

Na kama ni upupu, acha sasa ukuwashe vizuri vizuri hadi akili ikae sawa!🙌
 
Unaleta habari bila ushahidi wowote halafu tukujibu!

upo serious kweli mkuu ?
Hata ukienda Ulaya na marekani au uchina bidhaa nyingi tu zimeandikwa kiarabu na lugha nyinginezo hayo ni mambo ya biashara za kimataifa !! Au nao wameshajiunga kimya kimya ??!
 
Hata ukienda Ulaya na marekani au uchina bidhaa nyingi tu zimeandikwa kiarabu na lugha nyinginezo hayo ni mambo ya biashara za kimataifa !! Au nao wameshajiunga kimya kimya ??!
Ahaa, basi sawa.
Japo, ningetamani kupata taarifa za kina zaidi kuhusu mabadiliko haya.
Ambayo hata baadhi ya wachuuzi wanashangaa kuyaona kwa kuwa haikuwa hivyo hapo kabla. Na ujue kwenye nchi yetu ni vigumu sana kutofautisha bidhaa halisi na bidhaa feki!

Huenda ungeeleza kitaalam zaidi ili na mimi niwe balozi wa kuwaeleza wengine!
 
Back
Top Bottom