Ndiyo kusema Tanzania imejiunga kwenye Umoja wa Nchi za Kiarabu kimya kimya?

Ndiyo kusema Tanzania imejiunga kwenye Umoja wa Nchi za Kiarabu kimya kimya?

Siyo uwezo mdogo wa kufikiri,kabugizwa chuki dhidi ya uislam kwenye jumuiya za dini yake shuleni mpaka chuoni(Kama kajaaliwa kufika),huwa Wana hofu na waislam,baraghashia,kanzu,hijab vinawatatiza Sana kuliko dhambi zao
Lazima tutatizwe maana wavaaji ni kina Hamza.
 
Nauliza swali hili kutokana na mabadiliko ya lugha katika baadhi ya bidhaa ambazo hapo kabla hazikutumia lugha ya Kiarabu. Ningeweza kuweka baadhi ya picha za bidhaa hizo, lakini kwa sababu za kibiashara nimeona si vyema.

Kama tayari tuko kwenye umoja huo, tuambiwe ili tujue. Kwasababu hata ziara za mara kwa mara za viongozi wa kitaifa katika nchi hizo kwa siku za hivi karibuni zinazua maswali mengi.

Kama wananchi wa Tanzania tuna haki ya kujua nini kinaendelea.
Bora wazungu eti?!?
 
Hakuna cha typing error hapo ni umekosea kabisa hilo neno. Siku nyingine andika comment yako kwa kiswahili tu. Hayo maono yako ni ya kipumbavu na ya kibaguzi. Nchi kibao zinatuuzia bidhaa na zimeandikwa kwa lugha mbalimbali na maisha yanasonga ila ikiandikwa kiarabu ndo inakuwa shida? Ishauri nchi ijenge viwanda vyake au iweke sharti kwamba bidhaa zote zinazoingia TZ ziwe na maandishi ya kiswahili. Wewe ni mtu mpumbavu na mbaguzi sana.
Ni udini unamsumbua,
Wewe popote ukiona mgalatia anatjaa mwarabu basi ujue ni uislamu wanakusudia
 
Hahahaa,kasome principals of economics utapata mwanga,uchumi haujengwi kwa dhana na hisia
Kumbe unakariri uchafu, halafu unakuja hapa ukidhani wewe ni mjuaji? Wewe huna akili za kufikiri badala ya kukariri kuona kama hayo uliyokariri yanaendana na hali halisi iliyopo nchini?

Kuna faida gani kwenda kukariri uchafu usiokuwa na manufaa ya kuwainua wananchi nchini mwao.
 
Back
Top Bottom