Lazima tutatizwe maana wavaaji ni kina Hamza.Siyo uwezo mdogo wa kufikiri,kabugizwa chuki dhidi ya uislam kwenye jumuiya za dini yake shuleni mpaka chuoni(Kama kajaaliwa kufika),huwa Wana hofu na waislam,baraghashia,kanzu,hijab vinawatatiza Sana kuliko dhambi zao