Ndiyo kusema Tanzania imejiunga kwenye Umoja wa Nchi za Kiarabu kimya kimya?

Ndiyo kusema Tanzania imejiunga kwenye Umoja wa Nchi za Kiarabu kimya kimya?

Nauliza swali hili kutokana na mabadiliko ya lugha katika baadhi ya bidhaa ambazo hapo kabla hazikutumia lugha ya Kiarabu. Ningeweza kuweka baadhi ya picha za bidhaa hizo, lakini kwa sababu za kibiashara nimeona si vyema.

Kama tayari tuko kwenye umoja huo, tuambiwe ili tujue. Kwasababu hata ziara za mara kwa mara za viongozi wa kitaifa katika nchi hizo kwa siku za hivi karibuni zinazua maswali mengi.

Kama wananchi wa Tanzania tuna haki ya kujua nini kinaendelea.
Mbona bidhaa zilizoandikwa kichina zip0 kiba0 tu
 
Nafikir pia tutakua tumejiunga na umoja wa kifaransa maana hapa kuna bidhaa zimeandikwa kifaransa na kingereza
Tujulishwe na hili
 
Tigo,Airtel,Vodacom,SBC, coca-cola,tbl,Serengeti nk ni fdi,imeajiri watz,wanasomesha,wanajenga,serikali inapata Kodi,Leo watz kumiliki vyombo vya moto,nyumba nzuri,biashara kubwa ni kawaida,miaka ya 90 vyombo vya moto vilikua kwa waasia na serikali,baada ya kutengeneza mazingira ya kuvutia wawekezaji,wakaja(fdi)..watz wakapata ajira na mishahara ya kurudhisha,multiplier effect ikafanya kazi,uchumi ukatoka chini tulikokua mpaka uchumi wa kati,tusingevutia fdi tusingekua hapa Leo...kilimo Cha kufa na kupona,ambacho kiliajiri zaidi 75% kisingetufikisha hapa
Nilijuwa tu upo 'shallow' kweli!
Kwa hiyo hao wameleta maendeleo Tanzania, yako wapi?

Kwa hiyo mkulima, au machinga, au mTanzania yeyote mwenye shughuli zake akipewa mazingira wezeshi ya kufanya shughuli zake kwa ufanisi, kwa maoni yako huoni kwamba hapo kuna maendeleo?

Hao uliowataja hapo juu wanakuja hapa kuchagiza tu juhudi zetu tunazofanya sisi wenyewe kutafuta maendeleo yetu. Wao wanakuja hapa kuchuma tu, na kwa hali ilivyo, sasa wanaweza hata kufifisha juhudi zetu kwa sababu serikali inaweka mazingira ya utegemezi kwao, na matokeo yake yanakuwa kutuibia mali zetu kwa kuweka mifumo inayowaruhusu wao kuzoa tu na kupeleka kwao.

Kila mara tunapumbazwa na hizi kelele za ajira na kodi vitu ambavyo ni kidogo sana kuweza kubadili hali za waTanzania walio wengi. Hizo kodi na ajira zitapatikana kwa wingi kama waTanzania wengi wanaweza kufanikisha shughuli zao kuliko hao FDI unaowalilia kila mara hapa.

Sasa usichanganye mambo. Sijasema hata sehemu moja kwamba hatuwahitaji, lakini sikubaliani nawe kwamba ndio tutakaowategemea watuletee maendeleo.

Kama bado huelewi niliyoeleza, utakuwa na kichwa cha panzi.
 
Nilijuwa tu upo 'shallow' kweli!
Kwa hiyo hao wameleta maendeleo Tanzania, yako wapi?

Kwa hiyo mkulima, au machinga, au mTanzania yeyote mwenye shughuli zake akipewa mazingira wezeshi ya kufanya shughuli zake kwa ufanisi, kwa maoni yako huoni kwamba hapo kuna maendeleo?

Hao uliowataja hapo juu wanakuja hapa kuchagiza tu juhudi zetu tunazofanya sisi wenyewe kutafuta maendeleo yetu. Wao wanakuja hapa kuchuma tu, na kwa hali ilivyo, sasa wanaweza hata kufifisha juhudi zetu kwa sababu serikali inaweka mazingira ya utegemezi kwao, na matokeo yake yanakuwa kutuibia mali zetu kwa kuweka mifumo inayowaruhusu wao kuzoa tu na kupeleka kwao.

Kila mara tunapumbazwa na hizi kelele za ajira na kodi vitu ambavyo ni kidogo sana kuweza kubadili hali za waTanzania walio wengi. Hizo kodi na ajira zitapatikana kwa wingi kama waTanzania wengi wanaweza kufanikisha shughuli zao kuliko hao FDI unaowalilia kila mara hapa.

Sasa usichanganye mambo. Sijasema hata sehemu moja kwamba hatuwahitaji, lakini sikubaliani nawe kwamba ndio tutakaowategemea watuletee maendeleo.

Kama bado huelewi niliyoeleza, utakuwa na kichwa cha panzi.
Dah,mtupu kweli...hayo mazingira wezeshi atayowekewa mkulima ni yapi!?...maana ili pawe na ufanisi wa kilimo(efficiency) sharti uboreshe kilimo,pembejeo,elimu,miundombinu(barabara,wepesi wa miamala/huduma za fedha) na hivi vyote vitahitaji fedha(Kodi)...zitatoka wapi Kodi ikiwa raia wako hawamudu Milo mitatu!!!?...ukiandika Tena,usiandike hao FDI,andika hizo FDI...ni kifupi Cha foreign direct investment,maana hujui FDI ni nini,na hujui walau principal ndogo za uchumi,ni mbwatukaji tu wa kijiweni
 
Dah,mtupu kweli...hayo mazingira wezeshi atayowekewa mkulima ni yapi!?...maana ili pawe na ufanisi wa kilimo(efficiency) sharti uboreshe kilimo,pembejeo,elimu,miundombinu(barabara,wepesi wa miamala/huduma za fedha) na hivi vyote vitahitaji fedha(Kodi)...zitatoka wapi Kodi ikiwa raia wako hawamudu Milo mitatu!!!?...ukiandika Tena,usiandike hao FDI,andika hizo FDI...ni kifupi Cha foreign direct investment,maana hujui FDI ni nini,na hujui walau principal ndogo za uchumi,ni mbwatukaji tu wa kijiweni
Ni kazi bure kujadili jambo na 'kichwa panzi' kama wewe.

Kwa hiyo utasubiri uwekezaji ndipo uweke mazingira wezeshi kwa wajasiriamali wa nchi, kama wakulima na raia wengine wote wenye shughuli zao za kuliendeleza taifa hili?
Hizo reli na barabara wamejenga FDI?

Naona unanipotezea muda wangu hapa!
 
Ni kazi bure kujadili jambo na 'kichwa panzi' kama wewe.

Kwa hiyo utasubiri uwekezaji ndipo uweke mazingira wezeshi kwa wajasiriamali wa nchi, kama wakulima na raia wengine wote wenye shughuli zao za kuliendeleza taifa hili?
Hizo reli na barabara wamejenga FDI?

Naona unanipotezea muda wangu hapa!
Reli alijenga mjerumani,barabara mikopo,sgr mkopo...utawekaje mazingira wezeshi watu wako ilhali hela huna!!!?..narudia Tena chochote kuhusu uchumi,unadhani serikali hupata fedha toka mbinguni au kwa miujiza,angalia GDP na maisha ya watu wakati wa mkapa(uwekezaji/kuvutia wawekezaji) kuja mbele na wakati wa mwinyi kurudi nyuma,tumefanya juhudi kubwa na tunaendelea kuvutia wawekezaji,wewe debe tupu unabwabwaja tu 'kuwezesha watu' ilhali hujui hao watu unawawezesha vipi,hujui kitu,wewe ni popoma pro max,bichwa maji,zumbukuku,zamwamwa
 
Reli alijenga mjerumani,barabara mikopo,sgr mkopo...utawekaje mazingira wezeshi watu wako ilhali hela huna!!!?..narudia Tena chochote kuhusu uchumi,unadhani serikali hupata fedha toka mbinguni au kwa miujiza,angalia GDP na maisha ya watu wakati wa mkapa(uwekezaji/kuvutia wawekezaji) kuja mbele na wakati wa mwinyi kurudi nyuma,tumefanya juhudi kubwa na tunaendelea kuvutia wawekezaji,wewe debe tupu unabwabwaja tu 'kuwezesha watu' ilhali hujui hao watu unawawezesha vipi,hujui kitu,wewe ni popoma pro max,bichwa maji,zumbukuku,zamwamwa
Unanipotezea muda.
Huna kitu cha maana cha kujadili; kwa sababu huna uelewa wa unachojadili.
 
Nauliza swali hili kutokana na mabadiliko ya lugha katika baadhi ya bidhaa ambazo hapo kabla hazikutumia lugha ya Kiarabu. Ningeweza kuweka baadhi ya picha za bidhaa hizo, lakini kwa sababu za kibiashara nimeona si vyema.

Kama tayari tuko kwenye umoja huo, tuambiwe ili tujue. Kwasababu hata ziara za mara kwa mara za viongozi wa kitaifa katika nchi hizo kwa siku za hivi karibuni zinazua maswali mengi.

Kama wananchi wa Tanzania tuna haki ya kujua nini kinaendelea.
Ukiandika Kiingereza kwenye bidhaa inamaansha wewe ni EU? Ficha vitu vitatu: ujinga, wivu na chuki binafsi!
 
Nauliza swali hili kutokana na mabadiliko ya lugha katika baadhi ya bidhaa ambazo hapo kabla hazikutumia lugha ya Kiarabu. Ningeweza kuweka baadhi ya picha za bidhaa hizo, lakini kwa sababu za kibiashara nimeona si vyema.

Kama tayari tuko kwenye umoja huo, tuambiwe ili tujue. Kwasababu hata ziara za mara kwa mara za viongozi wa kitaifa katika nchi hizo kwa siku za hivi karibuni zinazua maswali mengi.

Kama wananchi wa Tanzania tuna haki ya kujua nini kinaendelea.
Hili jukwaa lina mijitu hovyo sana mfano ni wewe
 
Kusingekuwa na tatizo kama wasingekuwa na agenda ya kusambaza dini ya kiislam kwa panga,mabomu na risasi.

Angalia hata nchi kama somalia ni waislam watupu sidhani hata kuna kanisa moja kule,ila bado kwa kuwa wana DNA na ukatili,watakuwa wamepata watu sahihi wa kuwafanyia ukatili kwa kisingizio kwamba wanataka kuwasilimisha
Mkuu hauwezi kuchangia bila kuingiza udini? Una shida sana
 
😀😀
Tatizo kubwa la baadhi ya vijana wa kitanzania, hamna uwezo wa kuprovide critical argument, na badala yake mnapenda zaidi kushindana badala ya kujenga hoja! Unaangaika na typing error badala ya kujenga hoja! Loh!

Hakika, Taifa bila vijana wenye maono, litaangamia!
Uchawa hadi unavuka mipaka! 😃

Na kama ni upupu, acha sasa ukuwashe vizuri vizuri hadi akili ikae sawa!🙌
We mwenyewe unajiona una maona kazi kuingiza umbeya na udini wako hapa
 
Back
Top Bottom