Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hofu ya kujiunga na waarabu inamsumbua mleta mada, sijui anawaogopea nini waarabu.KUNA BIDHA NIMEZIMEANDIKWA KWA LUGHA ZA KICHINA NA WASIWASI YAWEZEKANA WACHINA TUMESHAUNGANA NAO PIA HILI WATUWEKE WAZI !!!!
Boss nakusalimia.Bidhaa zipi?Kama huwezi kuzitaja tukujibu Kwa Kuota?
Huoni maza yupo kwao?Nauliza swali hili kutokana na mabadiliko ya lugha katika baadhi ya bidhaa ambazo hapo kabla hazikutumia lugha ya Kiarabu. Ningeweza kuweka baadhi ya picha za bidhaa hizo, lakini kwa sababu za kibiashara nimeona si vyema.
Kama tayari tuko kwenye umoja huo, tuambiwe ili tujue. Kwasababu hata ziara za mara kwa mara za viongozi wa kitaifa katika nchi hizo kwa siku za hivi karibuni zinazua maswali mengi.
Kama wananchi wa Tanzania tuna haki ya kujua nini kinaendelea.
Hata Bashite yupo huko.Waarabu ni wajomba zetu watanzania, kwahiyo ni jambo la kifamilia hilo
Mwarabu akuletee maendeleo? una akili kweli?Kama wanaleta miradi kuna shida gani hii nchi haijitaji ukabila wala ubaguzi tunahitaji maendeleo.
Nadhani anahitaji taarifa sahihi Why iwe kimya kimyaHofu ya kujiunga na waarabu inamsumbua mleta mada, sijui anawaogopea nini waarabu.
Da kwa muda mfupi amezunguka dunia nzimaNadhani ulimsikia Jana bi Maza anasema muwe na siri katika serikali ya mapinduzi nadhani Ndio hizo sasa
Kimya kimya nini?! Hakuna hoja aliyoandika hapo, bidhaa kuandikwa kiarabu siyo hoja ya kuleta mbele za watu. Kinachomsumbua ni hofu ya waarabu. Yeye pekee ndiye anayejua sababu za kuwahofia waarabu kiasi hicho!Nadhani anahitaji taafifa sahihi Why iwe kimya kimya
Ndio anaishi???Hata Bashite yupo huko.
Hivi akili zako zinakutosha wewe?Nauliza swali hili kutokana na mabadiliko ya lugha katika baadhi ya bidhaa ambazo hapo kabla hazikutumia lugha ya Kiarabu. Ningeweza kuweka baadhi ya picha za bidhaa hizo, lakini kwa sababu za kibiashara nimeona si vyema.
Kama tayari tuko kwenye umoja huo, tuambiwe ili tujue. Kwasababu hata ziara za mara kwa mara za viongozi wa kitaifa katika nchi hizo kwa siku za hivi karibuni zinazua maswali mengi.
Kama wananchi wa Tanzania tuna haki ya kujua nini kinaendelea.
Kusingekuwa na tatizo kama wasingekuwa na agenda ya kusambaza dini ya kiislam kwa panga,mabomu na risasi.Nauliza swali hili kutokana na mabadiliko ya lugha katika baadhi ya bidhaa ambazo hapo kabla hazikutumia lugha ya Kiarabu. Ningeweza kuweka baadhi ya picha za bidhaa hizo, lakini kwa sababu za kibiashara nimeona si vyema.
Kama tayari tuko kwenye umoja huo, tuambiwe ili tujue. Kwasababu hata ziara za mara kwa mara za viongozi wa kitaifa katika nchi hizo kwa siku za hivi karibuni zinazua maswali mengi.
Kama wananchi wa Tanzania tuna haki ya kujua nini kinaendelea.
Kasindikiza labdaNdio anaishi???
Wamejipeleka wenyewe bungeni.? Haitatokea unawajua maaskofu wewe muulize kikweteBunge wamejaa wao wakiamua linapita tu vizuri
Mmh kuna vile vitetesi tetesi aaah au basi tuache tuKasindikiza labda
Hoja namba 2 ina mashikoNauliza swali hili kutokana na mabadiliko ya lugha katika baadhi ya bidhaa ambazo hapo kabla hazikutumia lugha ya Kiarabu. Ningeweza kuweka baadhi ya picha za bidhaa hizo, lakini kwa sababu za kibiashara nimeona si vyema.
Kama tayari tuko kwenye umoja huo, tuambiwe ili tujue. Kwasababu hata ziara za mara kwa mara za viongozi wa kitaifa katika nchi hizo kwa siku za hivi karibuni zinazua maswali mengi.
Kama wananchi wa Tanzania tuna haki ya kujua nini kinaendelea.
Kwa hoja chokonozi hizi very soon zitawaibua maaskofuWamejipeleka wenyewe bungeni.? Haitatokea unawajua maaskofu wewe muulize kikwete
Ushindwe na uangukeBung lipitishe hili haraka
Tujiunge na oac tuanze kufaidi tende na kanzu km wanavyofaidi wenzetu wa somalia na sudan
Tudokeze mkuuHakuna anayeweza kufanya hivyo. Muulizeni Membe atawasimulia kilichompata alipoleta hizo habari.