Ndo nakuambia sasa kama hujui. Asilimia 95 ya wanaume wanapenda mwanamke huyu

Hii nshawah kumuuliza demu fln hv mwembamba, akasema roho hua inamuuma sana mpaka anatamani asiwe anakutana na waliomzidi mwili
Huyoo yupoo sahihi...unakuta mwinginee mpk anakushikaa kaliooo...et au leo umevaa kigodoro...kumbe maskini ni majaliwa ya Allah tuuπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„..Dunia ya saizi wanawake wasio na makalio wanakosa Sana confidence...tako limekuwaover rated kwa kweliπŸ˜„πŸ™Œchanzo ni nyie wanaumeee
 
Ah Mm nimeridhika na nyash dogo la babe wangu Lamomy hvy mm sijawahi kuwa chanzo πŸ˜‚

Ila mwanamke wa namna hy awekwe karibu na watoa ushauri maana anaweza hata kujitoa uhai kwa stress πŸ˜‚
 
Huu uzi umekaa "kimkakati"

#Hilinalomkalitizame.
 
Ah Mm nimeridhika na nyash dogo la babe wangu Lamomy hvy mm sijawahi kuwa chanzo πŸ˜‚

Ila mwanamke wa namna hy awekwe karibu na watoa ushauri maana anaweza hata kujitoa uhai kwa stress πŸ˜‚
Anajiendekeza, ujitoe uhai sababu ya nyash??
Sijui mi niko tofauti?!! Yani sijawahi kuumizwa kichwa na hayo makitu, nawaza vitu vingine tofauti kabisaaa.!! Kuna muda nahisi nilitakiwa kuwa Mars huko πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…