Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😄😄😄😄😁😁😁 nimeshajua sasa
Mwanamke mwenye tako anajiamini kuliko mwenye masters
Tuma kapicha ili tujue tunakuweka wapi 😎Kuna wale ambao si mabonge wala vimbao mbao unatuweka wapi ma mshuza
Mwanamke mwenye tako anajiamini kuliko mwenye masters
Kwenye ubonge sipo kwenye ukibanio ndo sipo kabisaaa😀😀we elewa nipo hapo katikatiTuma kapicha ili tujue tunakuweka wapi 😎
Yani wanajiamini kuliko kawaidaHapo anamiliki eneo potential sawa na Ngorongoro Crater[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hapo katikati ndio Mimi nataka. Hebu fafanua zaidi 😊Kwenye ubonge sipo kwenye ukibanio ndo sipo kabisaaa😀😀we elewa nipo hapo katikati
Ma mshuza kasema kuanzia kg 40-60 ndo vibanio mi niko zangu na 73Sasa hapo katikati ndio Mimi nataka. Hebu fafanua zaidi 😊
Sawa mrembo 😊Ma mshuza kasema kuanzia kg 40-60 ndo vibanio mi niko zangu na 73
Life ni hili hili tu, tuwaache waringie neema walizojaliwa..Yani wanajiamini kuliko kawaida
Anachapa nje kama kawa 😂👍nashukuru Mungu, baby wangu ananipenda na kitambi changu 😂
Wengine wasafi ile mbaya! Wananukia mpaka ikulu... Hujawahi kupata BBW linalojielewa wewe, ni mipafyumu tu!Tatizo wenye mitako mikubwa mna fungus kama wote. Mmejaa michirizi inayokata stimu.
Na pia mnatoa harufu mbaya..
Ndo nishasema hivo, hutaki kasage wembe unywe.
Huu ni ubaguzi sasaLife ni hili hili tu, tuwaache waringie neema walizojaliwa..
hayo hayanihusu😂😂😂Anachapa nje kama kawa 😂👍
Nimemaanisha kuwa tuwaache wawe free na hulka zao za kujiamini.Huu ni ubaguzi sasa
Kikubwa uhai hayo mengine majaaliwa kwanza anaingia km period km sie tu na wote tutakufa alisikika kibanio mmojaNimemaanisha kuwa tuwaache wawe free na hulka zao za kujiamini.
Hilo sio kwamba lituzuie kuinteract nao