Ndo nimemaliza C-section ya 6, nimechoka akili na mwili. Halafu kuna Wanasiasa kwa mwezi wanakula 11 M na bado wanajiongezea mshahara 40%

Ndo nimemaliza C-section ya 6, nimechoka akili na mwili. Halafu kuna Wanasiasa kwa mwezi wanakula 11 M na bado wanajiongezea mshahara 40%

Wanangu madaktar mnalipwa Hela ndogo sana na mnafanya kazi inayotumia akili kubwa na maarifa alafu kahela kenu ni kadogo tu.

Ila Kuna vijana huko manispaa na halmashauri form 4 tu wanaondoka na 200k kiulanini tena kwa siku . Kwa mikono ya rushwa na UPIGAJI

Madaktari waangaliwe kwa jicho zuri !!!!

Ndio maana wengi wanauza simu na kufungua maduka ya vifaa vya hospital kwa sababu washaona hospital sio MCHONGO tena
 
Pole lakini ata sisi uku mipakani tunalinda usiku na mchana hivi Mimi ninasiku ya Saba sijatoka nalinda tu nyie wengine mko bar mnaenjoy mshahara wenyewe kiduchu
Ndo hapo sasa, Nilitaka niseme na walio weka roho zao mkononi kulinda mipakani sijui nawenyewe wasemaje.
 
Wengi wanasomea udaktari wakitiana ujinga huko mashuleni eti ndo una hela, siyo kweli, hakuna taaluma au ajira yenye hela maana mishahara ni midogo.

Chenye hela ni kuwa mfanyabiashara mkubwa, au teuzi za Rais, kwingineko utaishia kupata hela za kula na ada za watoto, kujenga nyumba moja tu na gari moja tu la mkopo.

Gombea ubunge kama mwenzako ndugulile alivyofanya, na serikali hii itaongeza mishahara tu we subiri.
Ndo mana wakaweka sheria kwamba mtumishi wa uma Huruhusiwi kuwa mfuasi wa chama cha siasa ili waendelee kupiga pesa kmya kmya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungegombea ubunge ukalipwe pesa nyingi nawewe, nani kakulazimisha kusomea udaktari? Nitajie ni mtaaluma gani anayelipwa vizuri ktk ngazi ya halmashauri kuliko daktari?

Acha kazi ukagombee ubunge, maisha hayafanani.
Ndo mana wakaweka sheria kwamba mtumishi wa uma Huruhusiwi kuwa mfuasi wa chama cha siasa ili waendelee kupiga pesa kmya kmya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwa nchi yetu kazi za Afya, Ualimu na Polisi ni kazi za Wito! Zinahitaji uwe Mpole tu kama Padre! Na kumtegemea Mungu.
Vinginevyo Mkuu kwa kada yetu kama huna imani, utaangukia kwenye majaribu ya kuchukua CCD ili kujikim na maisha!
Mungu atusaidie.
Polisi naona kama wana afadhali hasa ukiwa na degree, pia wana fursa za rushwa.
 
Nenda kairuki mtafute gyno mmoja anaitwa Dr kiswaga anafanya Cs 6 kwa masaa matatu au manne unalalamika nini sasa?
Huyo jamaa ni mwajiriwa wa hospitali ya wilaya Mkuranga, na masters yake aliisoma hapo hapo Kairuki, alimaliza mwaka 2017, spidi yake ya operation ni ndogo tu, kuna AMO fulani CS anaifanya kwa robo saa, hata procedures zingine yuko fasta sana na hakuna complications.
 
Huyo jamaa ni mwajiriwa wa hospitali ya wilaya Mkuranga, na masters yake aliisoma hapo hapo Kairuki, alimaliza mwaka 2017, spidi yake ya operation ni ndogo tu, kuna AMO fulani CS anaifanya kwa robo saa, hata procedures zingine yuko fasta sana na hakuna complications.
Mtoq mada kadanya hizo kazi kwa masaa mengi pengine ni kwasababu wagonjwa wanakuja mida tofauti tofauti na siyo kwamba wanakuja wote kwa pamoja.
 
Huo ni WITO mkuu, kama Ualimu, Upadri, Sheikh, nk nk
Pole na hamjapata kiongozi wa KUWATHAMINI!
Wao ni kutuweka kwenye foleni, kulindwa bila sababu ya msingi, kununuliana MA V8 na kujengeana majumba ya kifahari, wanayojali ni MATUMBO YAO NA FAMILIA ZAO TUU!
😢😢😢😢😢😢
 
Wengi wanasomea udaktari wakitiana ujinga huko mashuleni eti ndo una hela, siyo kweli, hakuna taaluma au ajira yenye hela maana mishahara ni midogo.

Chenye hela ni kuwa mfanyabiashara mkubwa, au teuzi za Rais, kwingineko utaishia kupata hela za kula na ada za watoto, kujenga nyumba moja tu na gari moja tu la mkopo.

Gombea ubunge kama mwenzako ndugulile alivyofanya, na serikali hii itaongeza mishahara tu we subiri.
Na Kuna kupandishwa madaraja pia, miaka mitatu au minne, mishahara itaongezeka, so udogo wa mishahara ni miaka ya mwanzo tu, ikipita miaka kuanzia minne tu, unaanza kupata unafuu.
 
Wanangu madaktar mnalipwa Hela ndogo sana na mnafanya kazi inayotumia akili kubwa na maarifa alafu kahela kenu ni kadogo tu.

Ila Kuna vijana huko manispaa na halmashauri form 4 tu wanaondoka na 200k kiulanini tena kwa siku . Kwa mikono ya rushwa na UPIGAJI

Madaktari waangaliwe kwa jicho zuri !!!!

Ndio maana wengi wanauza simu na kufungua maduka ya vifaa vya hospital kwa sababu washaona hospital sio MCHONGO tena
Mbona baadhi ya madaktari wanachukua rushwa na wanapiga madili ya kuiba dawa na vifaa tiba, chaajabu mtoa mada na wanaomsapoti hajahesabia rushwa ktk malalamiko yake.
 
Mimi Dr nampanga mapema na laki2 au Laki,3,. Nikukwama hata Laki au Laki unusu ili akiingia labour afanye kazi vizuri Nampa na kuku mzima na chipi sahani mbili na juice . Tuwatuze Ma Dr ni muhimu sana
 
Upo passionate na kazi yako lakini haikulipi unavyotaka.
Hapa ndio nimeelewa kwa nini baadhi ya madaktari huwa wanafukuzia kazi za international NGO's za afya 🤦🏽‍♂️

Pole mkuu Ila tu angalia unachoweza kufanya, we only live once kaka. Wito na passion viwepo lakini usiache kujifikiria
 
Back
Top Bottom