Na Kila mtu apate wa kufanana nae kicheche na ampate kicheche mwenzie mshangazi uliochundaWanaume wote ni Mabikira hata kama wametoka kusex robo saa zilizopita
Wewe unamjua Mwanaume asiye na Bikira?
JF is never boring [emoji23][emoji23][emoji23]Kwendraaaaaa unilishe chakula kibaya?
Kabisa Tena hataBaadhi ya vijana ambao waliingia na akilizao timamu sahiz madish yanacheza cheza nahisπππβΉKatika suala la mahusiano JF inaharibu vijana aisee......Yaan hapana jaman...daaa
Hao vijana wanaoharibiwa ni wa kike au wa kiume?Katika suala la mahusiano JF inaharibu vijana aisee......Yaan hapana jaman...daaa
Wewe ng'ombe mdumavu ndo huna helaHuna hela tu.
Acha ku generalize mkuu. Huna hela, tafuta hela hautayaona yote hayo.
Sasa unapiga hesabu unaona uchungu kumuhudumia mtu uliyemuoa? Unatakaje kwani?
Za kuambiwa ndizo zenyewe hizoZa kuambiwa..............!
Kila la kheriii
Hatakufa mapema kwa aibu? Ukiwa na maana gani?Za kuambiwa zina ukwel akatae tu ndoa hatakufa mapema kwa aibu
Shoga? Ulijuaje uliwahi kuwa na uhusiano naye na alikulala?Kamna cha blabla nyingi, sema wewe ni shoga tu. Mwanaume kamili anayajua majukumu yake haogopi kuoa. Milioni 2 ni hela ya kawaida tu ila wewe inakutoa ushuzi.
Mbona hatuoi na hatuolewi? Sisi ni kupiga mambo tu no kuoa! Siku hizi kuna mpaka wa 1500[emoji38] nioe natafuta nini sasa? Kipi nakosa? Hatuoi na hakuna kima wa kutuoaWasipooa wataolewa wao, we subiri
2m unakimbia ehhhh.Nilikwenda kuchumbia mahali fulani...majibu yakatoka nikaambiwa nipeleke milioni mbili..,nimejitafakari aisee ni hapana sijajua wazazi wa Binti watanifikiria vipi ...ila watanisamehe tu.
Kwanza naenda kumnunua mtu...pesa inatoka hapo,pili natakiwa niwe namhudumia kwa kila kitu nikiwa naye nayo ni pesa hio,tatu Mwanamke atakuja kunibana aisee nishazoea kulala pekeangu,nne nahofia tukiachana nitapoteza hata hivi vichache nilivonavyo...mwisho kabisa Mwanamke nimemuona mtu wa lawamalawama sana...kwanza ni ngenye ndio zilisababisha harakaharaka nichumbie
Binafsi nikifikisha miaka 40 labda ndio nifikirie kuoa kwa saivi najitafuta kwanza nahitaji niimarike kiuchumi
Mikakati ninayokuja nayo
1.naacha pombe,sigara
2.nakuwa mtu wa ibada na kusoma vitabu.
3.nakuwa mchumi na mbahili lakini nataka nifanye kazi kwa bidii sana
4.naweka akiba
5.nakuwa mtu wa kujipenda na kupendeza kuvaa vizuri
6.mbinafsi.
Note:ndoa ni muhimu lakini sio lazima
Wewe ni wa hadhi ya 1500 πππππMbona hatuoi na hatuolewi? Sisi ni kupiga mambo tu no kuoa! Siku hizi kuna mpaka wa 1500[emoji38] nioe natafuta nini sasa? Kipi nakosa? Hatuoi na hakuna kima wa kutuoa
Dah!...Ipo philosophy moja kuna rafiki yangu humu jf aliwahi kuniambia kwamba ukienda kutoa posa halafu utajiwe kutoa mahari kubwa hiyo huwa ni mbinu ya kukufukuza kama endapo familia haijakupenda
Kwanza ngoja tukubaliane kuoana pombe nitakupa vizuri ili uache pole pole ππ₯°π₯°Usiache pombe mkuu