Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
- Thread starter
-
- #81
Nimeipenda hiiNi ujinga kumkuta mwanaume mwenye kende zake mbili kama mimi kushadadia wanawake waolewe wakiwa bikira wakati yeye ndio huyo anaechangia kwenye kuzitoa bikira za watoto wa watu na anaowatoa hawaoi, au anategemea waolewe na nani!!
Kutoaminiana ni kasumba ambayo tumejiwekea wenyewe,mfano mtu ambaye yupo humu jf anasoma kila siku visa vya watu kulizwa na wenza lazima ataingia hofu kwamba huenda mke wangu huenda nae ni mmoja wapoSoma vizuri hujajibu swali nililokuuliza katika hiyo post yangu,....Na nakuongezea swali jingine kwanini umuamini Mume/mke wako ?
Mkuukuna harakati inasambaa sana mitandaoni siku hizi, inaitwa red pill
ni mambo ya wazungu wazungu
vijana wa kiume wanafundishwa kuchukia wanawake, wanashawishiwa kwamba chanzo kikubwa cha matatizo yao ni wanawake
tuseme ni kama feminism, lakini kwa wanaume
sasa vijana wengi wanatizama haya maudhui kwenye simu janja zao
nadhani ndo chanzo cha kero unayoizungumzia vijana humu kuwa walalamishi sana
Kwanza kuchunguzana ni kukiuka katiba ya jamhuri ya Tanzania,katiba inasema kila mtu ana uhuru wa faragha yake ikiwemo mawasiliano yakeKwa karne ya sasa, Kosa mwanamme atakalo lifanya ni kutokumchunguza mkewe.
Tyrese angekuwa na spy app, asingelizwa kiasi kile.
Wanaobambikizwa watoto, wasingelea watoto wasio wao mpaka wanakua wakubwa.
Wanaume wengi wanauliwa na wake zao kwa sababu wanawaamini sana na hawataki kuwachunguza.
Mwanamke anapaswa kuwa purity na genuine 100% ili awe mwandani wako.
Siyo mke ambaye ukiondoka anakuita fala, akikaa na marafiki/ma ex zake wa kiume anasema yako yote.
Kijana acha uzembe, kama una uwezo mchunguze huyo unayemuita mke wako uone kama sio adui wako namba 1.
Mazungumzo 80% ya mwanamke yapo kwenye simu, fanya chini juu dukua simu yake ujue anawasilianaje.
Jiulize, Nchi ina jeshi kubwa ila ni kwa nini kuna usalama wa taifa?
Captain Fire shetani moto fureCaptain Fire Naona umekuja kwa jina jingine, endelea kutembeza dislike maana sidhani kama zinakuongezea chochote mfukoni
Hakuna unachoongeza, tembeza dislike kama 100 hivi. wala husumbui!Captain Fire Naona umekuja kwa jina jingine, endelea kutembeza dislike maana sidhani kama zinakuongezea chochote mfukoni
Wanabomolewa sana nyumaNa kwa sasa mitandaoni kuna mafundisho mengi sana kwa vijana kuwachukia na kuwashusha thamani wanawake. Yaani ni kampeni iliyoshika kasi mno. Mtu ukimpenda mwanamke wako wanakuita SIMP. Inashangaza sana. Wanaokuwa na mitazamo ya kibabe kwa wanawake wanajiita Alpha Males.. kimsingi naona nyuma ya pazia kuna agenda ya kuibomoa kabisa taasisi ya ndoa.
Nakubaliana na wewe kabisa,yani wanataka sijui tuwe wakatili na tusio jali au sijui wanataka tuwejeNa kwa sasa mitandaoni kuna mafundisho mengi sana kwa vijana kuwachukia na kuwashusha thamani wanawake. Yaani ni kampeni iliyoshika kasi mno. Mtu ukimpenda mwanamke wako wanakuita SIMP. Inashangaza sana. Wanaokuwa na mitazamo ya kibabe kwa wanawake wanajiita Alpha Males.. kimsingi naona nyuma ya pazia kuna agenda ya kuibomoa kabisa taasisi ya ndoa.
Huyu mpuuzi ana hila kweliHakuna unachoongeza, tembeza dislike kama 100 hivi. wala husumbui!
Ni mpuuzi mmoja anatumia account mbiliHuyu mpuuzi ana hila kweli
Haya Mambo magumu sana lvNimeipenda hii kpnz
Kijana inaonekana unadate mshangazi na ndio unaokutunza.Kwanza kuchunguzana ni kukiuka katiba ya jamhuri ya Tanzania,katiba inasema kila mtu ana uhuru wa faragha yake ikiwemo mawasiliano yake
Sasa ishu ya usalama wa Taifa hiyo ni ishu nyingine hapo tunazungumzia
usalama wa nchi
Kwahiyo kumbe huwa mnawachunguza wanawake ili msionekane mafala,hivi unajua mtu akimchunguza huwa anatafuta namna mpya ya kuwasiliana kama kweli ana nia ya kufanya machafu
Na kwa taarifa yako mwanamke hadhibitiwi kwa kupekua simu yake yani akitaka kuupiga tukio anakupiga tu
Na ukiona una tabia ya kumchunguza.mwenza wako ujue kuna mawili ima hujiamini kama unapendwa au ama huyo mwenza wako ni malaya,yani umeoa malaya ndio.maana huna imani nae
Acheni hizi mambo bwana
Una mlinda kwa lipi,yaani siku hizo alikuwa salama mpaka wewe unamuoa halafu mara pap anakuwa yupo hatarini mara baada ya kuwa na wewe?Kijana inaonekana unadate mshangazi na ndio unaokutunza.
Vijana wa kaliba yako hawana sauti kwa wake zao maana wao ndio wanatunzwa.
Kumchunguza mtu haimaanishi kwamba unataka kukamata makosa yake, bali ni ishara ya kumlinda.
Huwezi kumlinda mtu kama huna taarifa zake za ndani au unasubiria mpaka akwambie shida zake.
Kijana mchunguze na mlinde mkeo, utakuja nishukuru. Kuwa jasusi kwa mkeo.
Naongelea hapo kwenye chemistry ya sex kwa sababu hapo ndipo insticts ya kucheat inapoanzia, nadharia ya kibamia inaanzia hapo kwa sababu mwanamke anafanya comparison ya ukubwa wa maumbile ya wanaume waliomtomba.Binafsi napinga kuwa chemistry kwamba inasababishwa na ubikra hapana,chemistry ni zile hisia ambazo unazipata ama kwa urembo wa binti au ni namna gani mnashea mambo yenu pamoja kwa maana mnaendana
Tena naweza sema chemistry si uzur bali ni tabia na jinsi mnavyoelewana,unajua mwonekano ni first impression na haizidi miezi mitatu yani hapo unakuwa umemzoea mtu wako,we hukuwahi ona mtu ana dem mkali lkn bado anazuzuka na pisi nyingine? Yule ashamzoea hana jipya tena
Sasa chenye kudumu kwenye mapenzi ni tabia na mwenendo mwema,kama dem anakuheshimu,anakusikiliza anakujali na kuappreciate hata vitu vidogo umavyomfanyia lazima bond au chemistry itakuwepo tu
Kwahiyo bikra haina dili hapo zaidi ya kujiliwaza tu umempata dem ambaye hajaguswa
Swali.kwako ili sex iwe yenye kufurahisha na kuridhisha inahitaji tango kubwa au dogo?Naongelea hapo kwenye chemistry ya sex kwa sababu hapo ndipo insticts ya kucheat inapoanzia, nadharia ya kibamia inaanzia hapo kwa sababu mwanamke anafanya comparison ya ukubwa wa maumbile ya wanaume waliomtomba.
Baki na ubishi wakoSwali.kwako ili sex iwe yenye kufurahisha na kuridhisha inahitaji tango kubwa au dogo?
Jibu swali bossBaki na ubishi wako