Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
- Thread starter
-
- #101
Vijana wamezidiwa akili na wanawake wamebaki kuja na blah blah kibao za kutetea usimp wao.Shusheni hivyohivyo tu standards za wanawake wa kuwaoa
Kaeni mkijua wanawake wamewazidi akili pakubwa mno
Ndoa zitaendelea kuwatesa sana
Mimi nakuelewa. siyo kila mwanamke anastahili kuchunguzwa. inategemea uko na mwanamke wa aina gani.Una mlinda kwa lipi,yaani siku hizo alikuwa salama mpaka wewe unamuoa halafu mara pap anakuwa yupo hatarini mara baada ya kuwa na wewe?
Kwahiyo huwa mnainjoy kabisa kusikia na kusoma habar zake akiwasiliana na wazazi wake,ndugu zake,mashoga zake,umbeya wote nawe mwanaume mzima unaisikiliza,hivi mda mnapata wapi?
Siku moja nipo kwenye daladala dume zima lipo na tab yake linasoma chat zinazo fanywa naona na mkewe,ndiyo.maana mnapata pressure mapema
Kama ambavyo upo tayar kumchunguza basi uwe tayar kupambana na matokeo yake na uwe tayar kufanya maamuzi magumu.Mimi nakuelewa. siyo kila mwanamke anastahili kuchunguzwa. inategemea uko na mwanamke wa aina gani.
Huwezi kuwa unadate na mshangazi alafu uanze kuuchunguza wakati umekuoa wewe.
Huwezi kuwa mke/mchumba ambaye unajua mtaa mzima washapita alafu uanze kumchunguza, ili iweje sasa.
Kuamua kumchunguza au kutomchunguza mke/mchumba huwa inakuja automatically. Utamchunguza mke/mchumba unayemthamini au utampotezea kama hana thamani kwako.
Ila kama umeoa mtoto wa watu ambaye amejitunza na una malengo mapana ya kuwa na familia bora, lazima utamchunguza kwa sababu una mthamini na unamlinda.
Mimi nimedate na wanawake wengi, ila ni mmoja tu ambaye nina mzuka wa kumchunguza. kwa sababu nina malengo naye. Wengine huo mzuka wa kuwachunguza sina kabisa.
Kumchunguza mke/mchumba ni sawa sawa na kumthamini na kumlinda, believe it or not.
Dogo unajua hata maana ya redpill kwanza???kuna harakati inasambaa sana mitandaoni siku hizi, inaitwa red pill
ni mambo ya wazungu wazungu
vijana wa kiume wanafundishwa kuchukia wanawake, wanashawishiwa kwamba chanzo kikubwa cha matatizo yao ni wanawake
tuseme ni kama feminism, lakini kwa wanaume
sasa vijana wengi wanatizama haya maudhui kwenye simu janja zao
nadhani ndo chanzo cha kero unayoizungumzia vijana humu kuwa walalamishi sana
Unabishana na Cuckold watu kama huyo jamaa hata akimfumania mke wake anatoumbwa na jamaa mwingine kwenye kitanda Chake ndani ya nyumba yake aliyojenga mwenyewe Bado atamsamehe mwanamke huyo akiamini kwamba yeye ndio chanzo Cha mke wake. kuchepuka.Mnataka kufanya mambo yawe magumu tu lakini ni suala ambalo lipo wazi kabisa. Tuachane na mambo ya kiimani hata kisaikolojia mchakato wa kutengeneza chemistry na mwanamke ambae kichwani ana flashback ya wanaume waliomtomba hauwezi kulinganisha na mwanamke ambae wewe ndie wa kwanza, na hapo inapokosekana iyo chemistry ndipo instict ya kucheat inapoanzia.
Dear Chujio kwa kukujuza tu, baba yake Achraf Hakimi alishafariki miaka Mingi sana wakati Hakimi Bado mdogo kabla hajaanza hata kucheza mpira, yeye alilelewa na mama yake tu Bi.Saida Houb The queen of all mothers in this gynocentric modern era na mama yake ndio alipambana mpaka kufika hapo alipofika.Baba yake Hakimi angefanya kazi nzuri, asingefika huko na mkewe. Na pia, ukishakuwa na status ni muhimu kujua na kuangalia nani wakuwa mama wa watoto wako, maana kuzaa tu sio shida. Malezi ni muhimu.
Hakuna haki zozote kwenye hiyo sheria ya ndoa kugawana Mali, Bali ni ukandamizaji tu na uonevu kwa Mwanaume.Hiyo pesa sio kwaajili yake, kiasi kikubwa kinakuwa kwaajili ya kuendesha maisha ya watoto. Na mkishakuwa wanandoa, kwanini unafikiri mwanamke hana haki ya hizo mali wakati anakupa urahisi wa wewe kufanya shughuli zako ukiwa na amani kuwa mambo mengine ya nyumbani yanakaa vizuri? Haya mambo hajaiweki yenyewe. Ni haki akapata nusu ya yote mliyovuna mkiwa pamoja, hata akiwa ni mama wa nyumbani
Aisee jombaa umeoa tayari?Kwanza kuchunguzana ni kukiuka katiba ya jamhuri ya Tanzania,katiba inasema kila mtu ana uhuru wa faragha yake ikiwemo mawasiliano yake
Sasa ishu ya usalama wa Taifa hiyo ni ishu nyingine hapo tunazungumzia
usalama wa nchi
Kwahiyo kumbe huwa mnawachunguza wanawake ili msionekane mafala,hivi unajua mtu akimchunguza huwa anatafuta namna mpya ya kuwasiliana kama kweli ana nia ya kufanya machafu
Na kwa taarifa yako mwanamke hadhibitiwi kwa kupekua simu yake yani akitaka kuupiga tukio anakupiga tu
Na ukiona una tabia ya kumchunguza.mwenza wako ujue kuna mawili ima hujiamini kama unapendwa au ama huyo mwenza wako ni malaya,yani umeoa malaya ndio.maana huna imani nae
Acheni hizi mambo bwana
Kuaminiana ni experience ambayo inajengwa na wanandoa husika, si jambo la kushauriana.Kwanini kuchunguzana huko ni kwa kutoamiana tu,wengi wetu tunao angali hatuamini na shida inaanzia hapa
Mkuu umeongea kiuanaume Sana asipoelewe basi.Thamani ya mwanaume na thamani ya mwanamke inapimwa kwa vigezo tofauti. Thamani ya mwanaume ni mali na thamani ya mwanamke ni mwili wake.
Tangu enzi na enzi suala la body counts sio ishu kwa mwanaume lakini upande wa mwanamke ni tatizo kubwa sana kwenye mchakato wa kuolewa. Hivyo hivyo suala la umasikini sio ishu kwa mwanamke lakini upande wa mwanaume ni jambo linalozingatiwa sana linapokuja suala la kuoa.
Kimila na kidini mwanamke ambae sio bikira wakati hajaolewa anatambulika kama malaya. Katika dini imeamliwa mwanamke uyo apigwe mawe mpaka kufa na kimila mwanamke uyo haolewi na anatengwa na jamii.
Tatizo tupo katika kizazi cha vijana masimp kama wewe ambao mmezidiwa akili na wanawake. Mmekubali kuzishusha standards zenu mbele ya wanawake.
Umempa mfano mzuri ila ameshindwa kuulewa hata kidogo...Kijana inaonekana unadate mshangazi na ndio unaokutunza.
Vijana wa kaliba yako hawana sauti kwa wake zao maana wao ndio wanatunzwa.
Kumchunguza mtu haimaanishi kwamba unataka kukamata makosa yake, bali ni ishara ya kumlinda.
Huwezi kumlinda mtu kama huna taarifa zake za ndani au unasubiria mpaka akwambie shida zake.
Kijana mchunguze na mlinde mkeo, utakuja nishukuru. Kuwa jasusi kwa mkeo.
Sawa, ndio maana wanawake wengi siku hizi wanakimbia ndoa pia sababu kizazi cha wanaume wa sasa hawajui wajibu wa baba kwenye familia 😃 Hawana mifano mizuri ya wanaume wenye kuuvaa ubaba inavyopaswa. Na wale wenye ndoa nzuri wametulia zao wanakula mema ya nchi huku akina nyie mnalia mitandaoni.Hakuna haki zozote kwenye hiyo sheria ya ndoa kugawana Mali, Bali ni ukandamizaji tu na uonevu kwa Mwanaume.
Yaani wewe umeolewa na Mwanaume umemkuta ana networth ya 200m, haya umekaa naye miaka minne kwenye ndoa networth yake imefika 300m....
Halafu leo hii mahakama inaamua eti mgawane 50-50 yaani kwenye hiyo networth ya 300m wewe uchukue 150m na wakati kwa kipindi chote mlichoishi nae kiasi kilichoongezeka ni 100m, Sasa hata kama ni kugawana kwanini msigawane ile 100m ambayo ndio imepatikana kipindi ambacho na wewe upo?? Huoni kwamba kugawana 300m yoye itakuwa mnagawana mpaka na hela alizozitafuta kabla hajakutana na wewe na itakuwa ni wizi ulio wazi kabisa??
Na kama hiyo haitoshi Bado pia Mwanaume ataendelea kutoa child support Kila mwezi, imagine yaani tayari umeshakuchua hela za kutosha lakini Bado pia Kila mwezi Mwanaume akupe hela, na wakati unaweza ukazitumia hizo hela mlizogawana kuwalea hao watoto wenu mliozaa...
lakini usijali muda si mrefu hizi kelele zitaisha maana hakuna Mwanaume mwenye akili timamu na mafanikio yake atakayekuwa na uthubutu wa kuoa... Wanawake mtabaki mnaoana nyie nyie tu
Nashukuru kwa ufafanuzi huu. Nadhani kinamna unaona ninapoelekea. Uwepo wa baba ni muhimu kwa ustawi wa familia. Au kwa kesi ambazo ametangulia mbele za haki, ni muhimu kukawa na mtu wa kiume (yaweza kuwa babu, baba mkubwa, mjomba) ambaye mtoto anamtazamia kuwa mfano wa namna mwanamme au baba anavyopaswa kuwaDear Chujio kwa kukujuza tu, baba yake Achraf Hakimi alishafariki miaka Mingi sana wakati Hakimi Bado mdogo kabla hajaanza hata kucheza mpira, yeye alilelewa na mama yake tu Bi.Saida Houb The queen of all mothers in this gynocentric modern era na mama yake ndio alipambana mpaka kufika hapo alipofika.
Na pia kwanini umekimbilia kumtupia lawama mzazi(baba) wa HAKIMI kwa utapeli aliokuwa anataka kukufanya yule mtalaka wake(Hiba Abouk)????
Kwamba kwenye mgogoro wowote wa kindoa unaopelekea mpaka taraka mwanamke yeye anakuwaga Hana kosa, Bali kosa linakuwa kiumeni tu si ndio?????
We didn't run away from our responsibilities, we unlock the code that, no woman loves a man unconditionally, women are only attached to what a man can bring on to the table, that's,man's achievements, money, success, resources etcSawa, ndio maana wanawake wengi siku hizi wanakimbia ndoa pia sababu kizazi cha wanaume wa sasa hawajui wajibu wa baba kwenye familia 😃 Hawana mifano mizuri ya wanaume wenye kuuvaa ubaba inavyopaswa. Na wale wenye ndoa nzuri wametulia zao wanakula mema ya nchi huku akina nyie mnalia mitandaoni.
Sasa unaelekea kwenye ukweli, a man is loved with conditions..that he provides. Women and children are loved unconditionally. Nikipata namna nzuri ya kutetea hii nitarudi kuelezeaWe didn't run away from our responsibilities, we unlock the code that, no woman loves a man unconditionally, women are only attached to what a man can bring on to the table, that's,man's achievements, money, success, resources etc