Wachache sana ambao wanaweza kuvumilia hii hali, kuwapata sasa ni kazi zaidi ya Zelensky kumuondoa Putin kwenye ardhi yakeWakati una kipato chako heshima na utii huwa unaonekana, ukipoteza kipato ndio utajua mkeo ni gaidi kwa kiasi gani.
Inauma sana mke kukuona si lolote wala si chochote kisa tu huna mpunga
ku CC(ana) huwa kunaanza hivi hivi.Hivi kumbe nimeongea kwa uchungu? [emoji1787][emoji1787][emoji23]
Kwema babe!! Niko bien sana na wala sina uchungu
Ku CC(ana) huwa kunaanza hivi hivi.Nime ufeel uchungu wako... hahahah...
Samaki, kuku, Nyama,vitakupa faraja...
Vile navyokufunuaga labda...😁😁 anataka kujua nini?
Hata akikupenda bila pesa kuna siku atakuja kukimbia kwasababu ya pesa kwa hyo pesa inahitajika iwe mwanzoni mwa mahusiano au baadae pesa bado inahitajika.Ndio mkomeee kutanguliza hela mbele afu nyie mnajibanza nyuma ya hela… sasa siku zikipukutika ndio mtajua rangi halisi..
Hela iwepo muhimu,, ila mji control kwenye kuifanya imvutie mtu. Maana siku ukitetereka ni hamna rangi utaacha ona.
Acha mtu akupende wewe na materials zako zingine sio pesa.
Hizo materials zinajumuisha wewe binafsi, mapenzi yako, urafiki wenu, sense of humor and the like.
Watulie tu..Vile navyokufunuaga labda...
Mkuu nakushauri usije thubutu kumpiga,kama amekushinda sana mwambie afanye anachotaka, kwa nini uharibu future yako kisa mwanamke ambae unakufa leo ama kufungwa anaolewa na mwingine. Piga moyo konde tumia sasa uanaume wako.Asante sana,Yan skuiz najibishwa hovyo, naonekana sio mwanaume. Daaah
Kunamda nataman kumpasua nikaozee jela maana kujiua siwez
KawaidaWakati una kipato chako heshima na utii huwa unaonekana, ukipoteza kipato ndio utajua mkeo ni gaidi kwa kiasi gani.
Inauma sana mke kukuona si lolote wala si chochote kisa tu huna mpunga
Ushauri kutoka kwa shangazi[emoji122]Ndio mkomeee kutanguliza hela mbele afu nyie mnajibanza nyuma ya hela… sasa siku zikipukutika ndio mtajua rangi halisi..
Hela iwepo muhimu,, ila mji control kwenye kuifanya imvutie mtu. Maana siku ukitetereka ni hamna rangi utaacha ona.
Acha mtu akupende wewe na materials zako zingine sio pesa.
Hizo materials zinajumuisha wewe binafsi, mapenzi yako, urafiki wenu, sense of humor and the like.
Noma sana!Miaka ya sabini kuna mkuu wa mkoa fulani alitumbuliwa na Rais, kilichofuatia ni mwanamke kumtumbua mume wake.
Mkuu Pole SanaAsante sana, Yan skuiz najibishwa hovyo, naonekana sio mwanaume. Daaah
Kunamda nataman kumpasua nikaozee jela maana kujiua siwez
Warda hujamboUshauri kutoka kwa shangazi[emoji122]