Ndoa ni maandalizi ya tangu usichana wako

Umekariri.
Watu wanaenda clubs na bar na bado wanaoolewa, sio kila mwanaume anapenda mwanamke mwenye adabu za kupitiliza maana wengi wao wanaboa.
Hata waliozaa wanaoolewa vizuri ni vile tu unavyojiweka.
 
Umekariri.
Watu wanaenda clubs na bar na bado wanaoolewa, sio kila mwanaume anapenda mwanamke mwenye adabu za kupitiliza maana wengi wao wanaboa.
Hata waliozaa wanaoolewa vizuri tu ni vile tu unavyojiweka.
Asante
 
Na wameshindikana mtaani kwaoπŸ˜€
 
Umekariri.
Watu wanaenda clubs na bar na bado wanaoolewa, sio kila mwanaume anapenda mwanamke mwenye adabu za kupitiliza maana wengi wao wanaboa.
Hata waliozaa wanaoolewa vizuri ni vile tu unavyojiweka.
Haya, asante
 
Unahekima sana wewe, Mungu akuongoze siku zote
 
Umekariri.
Watu wanaenda clubs na bar na bado wanaoolewa, sio kila mwanaume anapenda mwanamke mwenye adabu za kupitiliza maana wengi wao wanaboa.
Hata waliozaa wanaoolewa vizuri ni vile tu unavyojiweka.
Nimekupenda au nimependa comment yako sijui hata
Missing you
 
Nimekupenda au nimependa comment yako sijui hata
Missing you
Akothee, The President of single mother na mama wa watoto watano kila mmoja na baba yake juzi kati hapa kaolewa.
Mwanamke akitaka kuolewa anaolewa haijalishi Yupo kwenye hali gani ni vile tu anavyojiweka kwa mwanaume.

Miss you too babe...unapotea sana jamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…