Ndoa nyingi siku hizi zina shida ya uzazi. Tatizo la uzazi ni kubwa sana. Tubadilike lifestyle na tufunge ndoa mapema wakati mayai yana nguvu

Ndoa nyingi siku hizi zina shida ya uzazi. Tatizo la uzazi ni kubwa sana. Tubadilike lifestyle na tufunge ndoa mapema wakati mayai yana nguvu

Miaka 27 huwezi kusema amewahi..

Pia ni ngumu kukutana na binti mwenye miaka 27 ambaye hajawai kufanya mapenzi huko nyuma. Huwezi jua Kipindi anafanya mapenzi huko nyuma alikuwa anatumia vidonge vya uzazi kama p2. Kwa kuogopa kupata mimba kabla ya ndoa.. baada ya kuolewa ndipo anajiachia ili apate ujauzito.. ndipo anakutana na side effects za vidonge vya uzazi alivyomeza zamani enzi zake hajaolewa
Ila uvimbe ukitolewa anaweza PATA maana mpaka saivi ana 29 hajapata mimba na tangu tunakua hatujawah msikia ana mimba na sasa kapata ndoa yake mwaka unaanza watatu huu ndoani
 
Vijana wa kiume nanyi ndiyo tatizo. Miaka ya hivi karibuni wanawake wameshika sana mimba pasipo kuolewa. Wamezaa wengi sana na ilionekana kama trend. Wengi wameishia kuwa single mama.

Baadae mnabadilika, hamtaki kuwaoa single mama. On counter, wanawake wanakunywa P2 na dawa nyinginezo ili wasizae watoto kabla ya ndoa.

Matokeo yake, wanaharibu vizazi na kuvuruga mfumo mzima wa vichocheo. Anafika wakati wa kutaka mtoto anaingia gharama kubwa sana kufanikisha.

Mabinti jitunzeni. Ngono fanya kwa kutumia kinga. Au jitahidi kufata kalenda yako.
 
Ila uvimbe ukitolewa anaweza PATA maana mpaka saivi ana 29 hajapata mimba na tangu tunakua hatujawah msikia ana mimba na sasa kapata ndoa yake mwaka unaanza watatu huu ndoani

Wakati anakua Hamjawai kusikia ana mimba ni kwa sababu alikuwa anatumia vidonge vya kuzuia mimba . Hivyo Haimaanishi alikuwa hafanyi mapenzi.

Kwa akili ya kawaida tu. Jiulize je dada yako aliolewa akiwa na bikra yake kwenye huo umri wa miaka 27 ?

Swala la kupata mimba aende akawaone wataalamu hospitali watajua cha kufanya
 
Kwan kuzaa kwa CS ni moja ya changamoto ya uzazi? Nadhani mleta mada anawazungumzia wale wasio shika mimba kabisa,au miscarriage mfululizo.
Nachojua mtt anatakiwa kuzaliwa kwa njia ya kawaida nje ya hapo ni changamoto ya uzazi
 
Kwa uchunguzi wangu binafsi nimeona ndoa nyingi sana zinapata changamoto ya kupata mtoto.

Hapa mjini wadada karibu wote wameharibika. Ndiyo maana wengi hata wakibahatika kuolewa kupata mtoto inakuwa tabu sana. Na wengi wao hawazai kabisa.

Wanawake wengi wa mjini Mjini wanatumia vizuia mimba tangu wakiwa wadogo sana matokeo wanavuruga mfumo wa uzazi,vijijini hawajui hayo mambo wanazaa mapema

Wadada wengi ujanani kipindi hawajaolewa p2 wanameza kama panadol..siku wakitaka kushika mimba ni mtafutano mara uvimbe..mara pid..mara hormonal imbalance. uzazi Sasa hivi kwa wanawake ni wa kutafuta kwa tochi.

Vidonge vya uzazi wa mpango vimepoteza Sana kizazi Cha wanawake. Matumizi ya p2 ujanani yanaleta balaa sana mbeleni kwenye ndoa.

Familia nyingi siku hizi zinaishia kuwa na mtoto mmoja. Ambaye anapatikana kwa mbinde sana.

Hapa chini ni somo jepesi la Muda sahihi wa kuzaa

1.WANAWAKE(WOMEN)

Wazungu wanasema Fertility is Ageist..ikimaanisha umri ndo unaweza ukaadhiri Afya Ya mtoto wako kwa Wanawake wanazaliwa na mayai kamili ambayo hupungua kiasi na Quality miaka inavyoenda..Mwanamke anavyozeeka uwezekano wa kupata mimbe unapungua chances za kupata risk mbali mbali kama miscarriage zinaongezeka!!

-Akiwa Miaka 32 uwezo wa Kuzaa unapungua ILA KIDOGO sana.
-Akiwa na Miaka 35 uwezo wa kuzaa unapungua kwa SPIDI ya Juu sana
-Akiwa na Miaka 40 uwezo wa kuzaa unakua umepungua kwa Nusu
-Kuanzia Miaka 20-31 uwezo wa kuzaa unakua asilimia 40% kwa kila mwezi ILA above 40 ni 5% sasa ukizaa Late unaweza kupata risks kama still birth(mtoto kufa esp age ya 35 hapo) kuanzia 40 kwenda Juu its a Miscarriage unapata

2.WANAUME(MEN)
As women,quality Ya sperms Inapingua as a man Ages mpka inafikia Point hawezi kumpa mwanamke mimba kabisa!
-Akiwa na Miaka 40 na zaidi uwezo wa kumpa mwanamke unapungua kutokana na kupungua kwa MOTILITY(kukimbia kwa sperms kufuata Yai) akiwa 45 kwenda Juu mtoto atakaemzaa atakua na matatizo kiafia
-Akiwa 20-40 hapa uwezo wa kuzalisha upo vizuri na anaweza kupata watoto kama wote Bila shida Yoyote kabisa!!!!

HIVYO TUJITAHIDI KUFUNGA NDOA MAPEMA. MWANAMKE CHINI YA MIAKA 25 AOLEWE NA MWANAUME KABLA HUJAVUKA 30 UWE UMESHAOA.

Hii itasaidia kutatua hili tatizo la uzazi kwenye ndoa nyingi za kisasa
Hali ya maisha ni ngumu, lishe ni hafifu
 
Nachojua mtt anatakiwa kuzaliwa kwa njia ya kawaida nje ya hapo ni changamoto ya uzazi
Mkuu Kuna wengine Wana nyonga hazitanuki kulingana na maumbile waliyoumbwa wanawake wengine Wana nyonga za kiume,lakin hata hvyo nasikia c section watu wanazaa hata watoto wanne au zaidi kulingana na Hali ya kizazi vile atakavoona daktari anaefanya c section
 
2.WANAUME(MEN)
As women,quality Ya sperms Inapingua as a man Ages mpka inafikia Point hawezi kumpa mwanamke mimba kabisa!
-Akiwa na Miaka 40 na zaidi uwezo wa kumpa mwanamke unapungua kutokana na kupungua kwa MOTILITY(kukimbia kwa sperms kufuata Yai) akiwa 45 kwenda Juu mtoto atakaemzaa atakua na matatizo kiafia
-Akiwa 20-40 hapa uwezo wa kuzalisha upo vizuri na anaweza kupata watoto kama wote Bila shida Yoyote kabisa!!!!

HIVYO TUJITAHIDI KUFUNGA NDOA MAPEMA. MWANAMKE CHINI YA MIAKA 25 AOLEWE NA MWANAUME KABLA HUJAVUKA 30 UWE UMESHAOA.

Hii itasaidia kutatua hili tatizo la uzazi kwenye ndoa nyingi za kisasa

Tafiti nyingi zinatu point sisi wanaume kwamba sperms count inashuka globally.

Wakifiria sababu inaweza kuwa environmental/chemical exposure, obesity/life styles etc.
20230613_190120.jpg
20230613_190747.jpg
20230613_190654.jpg
 
Vijana wa kiume nanyi ndiyo tatizo. Miaka ya hivi karibuni wanawake wameshika sana mimba pasipo kuolewa. Wamezaa wengi sana na ilionekana kama trend. Wengi wameishia kuwa single mama.

Baadae mnabadilika, hamtaki kuwaoa single mama. On counter, wanawake wanakunywa P2 na dawa nyinginezo ili wasizae watoto kabla ya ndoa.

Matokeo yake, wanaharibu vizazi na kuvuruga mfumo mzima wa vichocheo. Anafika wakati wa kutaka mtoto anaingia gharama kubwa sana kufanikisha.

Mabinti jitunzeni. Ngono fanya kwa kutumia kinga. Au jitahidi kufata kalenda yako.
Ni changamoto kubwa kwakweli...na hivi vidonge vinaweza kukuletea ugumba maisha,maana dawa Zina reaction tofauti kwa Kila mtu
 
Wakati anakua Hamjawai kusikia ana mimba ni kwa sababu alikuwa anatumia vidonge vya kuzuia mimba . Hivyo Haimaanishi alikuwa hafanyi mapenzi.

Kwa akili ya kawaida tu. Jiulize je dada yako aliolewa akiwa na bikra yake kwenye huo umri wa miaka 27 ?

Swala la kupata mimba aende akawaone wataalamu hospitali watajua cha kufanya
Hospital ameenda kaambiwa afanyiwe operation nafikiri i uvimbe ni mkubwa..ila kama kuna watalamu watuleze chanzo cha uvimbe kinaweza kuwa nin
 
Mchepuko wangu nafikiria kuupiga Chini ila namuonea huruma. Ndoa haikua na amani kwasababu ya kutokuzaa wakaachana. Mimi nikalibeba jukumu la kumfunga paka kengele lakini naona linaenda kunishinda.
Hahaha, ukabeba jukumu la kufunga paka kengele! Nimechekankwa sauti naoma vijana wangu wanasogea waone kuna nini kinachonichekesha kwenye simu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa uchunguzi wangu binafsi nimeona ndoa nyingi sana zinapata changamoto ya kupata mtoto.

Hapa mjini wadada karibu wote wameharibika. Ndiyo maana wengi hata wakibahatika kuolewa kupata mtoto inakuwa tabu sana. Na wengi wao hawazai kabisa.

Wanawake wengi wa mjini Mjini wanatumia vizuia mimba tangu wakiwa wadogo sana matokeo wanavuruga mfumo wa uzazi,vijijini hawajui hayo mambo wanazaa mapema

Wadada wengi ujanani kipindi hawajaolewa p2 wanameza kama panadol..siku wakitaka kushika mimba ni mtafutano mara uvimbe..mara pid..mara hormonal imbalance. uzazi Sasa hivi kwa wanawake ni wa kutafuta kwa tochi.

Vidonge vya uzazi wa mpango vimepoteza Sana kizazi Cha wanawake. Matumizi ya p2 ujanani yanaleta balaa sana mbeleni kwenye ndoa.

Familia nyingi siku hizi zinaishia kuwa na mtoto mmoja. Ambaye anapatikana kwa mbinde sana.

Hapa chini ni somo jepesi la Muda sahihi wa kuzaa

1.WANAWAKE(WOMEN)

Wazungu wanasema Fertility is Ageist..ikimaanisha umri ndo unaweza ukaadhiri Afya Ya mtoto wako kwa Wanawake wanazaliwa na mayai kamili ambayo hupungua kiasi na Quality miaka inavyoenda..Mwanamke anavyozeeka uwezekano wa kupata mimbe unapungua chances za kupata risk mbali mbali kama miscarriage zinaongezeka!!

-Akiwa Miaka 32 uwezo wa Kuzaa unapungua ILA KIDOGO sana.
-Akiwa na Miaka 35 uwezo wa kuzaa unapungua kwa SPIDI ya Juu sana
-Akiwa na Miaka 40 uwezo wa kuzaa unakua umepungua kwa Nusu
-Kuanzia Miaka 20-31 uwezo wa kuzaa unakua asilimia 40% kwa kila mwezi ILA above 40 ni 5% sasa ukizaa Late unaweza kupata risks kama still birth(mtoto kufa esp age ya 35 hapo) kuanzia 40 kwenda Juu its a Miscarriage unapata

2.WANAUME(MEN)
As women,quality Ya sperms Inapingua as a man Ages mpka inafikia Point hawezi kumpa mwanamke mimba kabisa!
-Akiwa na Miaka 40 na zaidi uwezo wa kumpa mwanamke unapungua kutokana na kupungua kwa MOTILITY(kukimbia kwa sperms kufuata Yai) akiwa 45 kwenda Juu mtoto atakaemzaa atakua na matatizo kiafia
-Akiwa 20-40 hapa uwezo wa kuzalisha upo vizuri na anaweza kupata watoto kama wote Bila shida Yoyote kabisa!!!!

HIVYO TUJITAHIDI KUFUNGA NDOA MAPEMA. MWANAMKE CHINI YA MIAKA 25 AOLEWE NA MWANAUME KABLA HUJAVUKA 30 UWE UMESHAOA.

Hii itasaidia kutatua hili tatizo la uzazi kwenye ndoa nyingi za kisasa
Wanatoa mimba sanaaa
 
Back
Top Bottom