Ndoa nyingi siku hizi zina shida ya uzazi. Tatizo la uzazi ni kubwa sana. Tubadilike lifestyle na tufunge ndoa mapema wakati mayai yana nguvu

Ndoa nyingi siku hizi zina shida ya uzazi. Tatizo la uzazi ni kubwa sana. Tubadilike lifestyle na tufunge ndoa mapema wakati mayai yana nguvu

Kwa uchunguzi wangu binafsi nimeona ndoa nyingi sana zinapata changamoto ya kupata mtoto.

Hapa mjini wadada karibu wote wameharibika. Ndiyo maana wengi hata wakibahatika kuolewa kupata mtoto inakuwa tabu sana. Na wengi wao hawazai kabisa.

Wanawake wengi wa mjini Mjini wanatumia vizuia mimba tangu wakiwa wadogo sana matokeo wanavuruga mfumo wa uzazi,vijijini hawajui hayo mambo wanazaa mapema

Wadada wengi ujanani kipindi hawajaolewa p2 wanameza kama panadol..siku wakitaka kushika mimba ni mtafutano mara uvimbe..mara pid..mara hormonal imbalance. uzazi Sasa hivi kwa wanawake ni wa kutafuta kwa tochi.

Vidonge vya uzazi wa mpango vimepoteza Sana kizazi Cha wanawake. Matumizi ya p2 ujanani yanaleta balaa sana mbeleni kwenye ndoa.

Familia nyingi siku hizi zinaishia kuwa na mtoto mmoja. Ambaye anapatikana kwa mbinde sana.

Hapa chini ni somo jepesi la Muda sahihi wa kuzaa

1.WANAWAKE(WOMEN)

Wazungu wanasema Fertility is Ageist..ikimaanisha umri ndo unaweza ukaadhiri Afya Ya mtoto wako kwa Wanawake wanazaliwa na mayai kamili ambayo hupungua kiasi na Quality miaka inavyoenda..Mwanamke anavyozeeka uwezekano wa kupata mimbe unapungua chances za kupata risk mbali mbali kama miscarriage zinaongezeka!!

-Akiwa Miaka 32 uwezo wa Kuzaa unapungua ILA KIDOGO sana.
-Akiwa na Miaka 35 uwezo wa kuzaa unapungua kwa SPIDI ya Juu sana
-Akiwa na Miaka 40 uwezo wa kuzaa unakua umepungua kwa Nusu
-Kuanzia Miaka 20-31 uwezo wa kuzaa unakua asilimia 40% kwa kila mwezi ILA above 40 ni 5% sasa ukizaa Late unaweza kupata risks kama still birth(mtoto kufa esp age ya 35 hapo) kuanzia 40 kwenda Juu its a Miscarriage unapata

2.WANAUME(MEN)
As women,quality Ya sperms Inapingua as a man Ages mpka inafikia Point hawezi kumpa mwanamke mimba kabisa!
-Akiwa na Miaka 40 na zaidi uwezo wa kumpa mwanamke unapungua kutokana na kupungua kwa MOTILITY(kukimbia kwa sperms kufuata Yai) akiwa 45 kwenda Juu mtoto atakaemzaa atakua na matatizo kiafia
-Akiwa 20-40 hapa uwezo wa kuzalisha upo vizuri na anaweza kupata watoto kama wote Bila shida Yoyote kabisa!!!!

HIVYO TUJITAHIDI KUFUNGA NDOA MAPEMA. MWANAMKE CHINI YA MIAKA 25 AOLEWE NA MWANAUME KABLA HUJAVUKA 30 UWE UMESHAOA.

Hii itasaidia kutatua hili tatizo la uzazi kwenye ndoa nyingi za kisasa
MOTILITY=MOBILITY
 
Kuna kipindi alipata akaitoa sababu alimfuma mwanaume 😂 saiv ana haha

Tatizo wazazi na watu wa afya hawafundishi huu ukweli kwa mabinti ili wajijue mapema.

Pia umri wa kuolewa ni factor kubwa. Wanasema prime age kwa mwanamke kushika ujauzito kwa haraka na kuzaa bila complications ni miaka 18 mpaka 24. Hapo mwanamke mayai yake yana nguvu kweli kweli... sasa umri huu wanawake wengi ndio wanatoa mimba na ndio wanatumia vidonge p2, wanaweka vijiti.

Wanawake wengi siku hizi wanaolewa late wakiwa above 28 ama 30. Huo umri kusaka mtoto sio kazi ndogo. Hasa kama huyo mwanamke zamani alikula sana vidonge vya uzazi ama kutoa mimba
 
Tatizo wazazi na watu wa afya hawafundishi huu ukweli kwa mabinti ili wajijue mapema.

Pia umri wa kuolewa ni factor kubwa. Wanasema prime age kwa mwanamke kushika ujauzito kwa haraka ni miaka 18 mpaka 24. Hapo mwanamke mayai yake yana nguvu kweli kweli... sasa umri huu wanawake wengi ndio wanatoa mimba na ndio wanatumia vidonge p2, wanaweka vijiti.

Wanawake wengi siku hizi wanaolewa late wakiwa above 28 ama 30. Huo umri kusaka mtoto sio kazi ndogo. Hasa kama huyo mwanamke zamani alikula sana vidonge vya uzazi ama kutoa mimba
Hili swala ni very tricky.

Kijana (na jamii) anataka aoe mwanamke ambae hajawahi kuzaa. Akikutana na binti hata awe na 30 yrs mradi hajawahi kuzaa huyo ndio anaonekana "wife material" na kwamba kajitunza! Kumbe usijue mwenzio mpaka kufikia umri huo kashakula ndoo ngapi za p2 na kachoropoa mimba zaidi ya 9.

Kuna siku niliwahi kusema humu kwamba saa nyingine hawa ma singo maza tunawakandia bure tu ila ni afadhali kuliko hawa ambao hawajawahi kuzaa. Binti ambae alibeba mimba na akajifungua inamaanisha kabisa huenda hakuwa "mjanja" wa kutumia ma p2 au kuchoropoa mimba kama huyu ambae hakuwahi kuzaa.
 
Tatizo wazazi na watu wa afya hawafundishi huu ukweli kwa mabinti ili wajijue mapema.

Pia umri wa kuolewa ni factor kubwa. Wanasema prime age kwa mwanamke kushika ujauzito kwa haraka na kuzaa bila complications ni miaka 18 mpaka 24. Hapo mwanamke mayai yake yana nguvu kweli kweli... sasa umri huu wanawake wengi ndio wanatoa mimba na ndio wanatumia vidonge p2, wanaweka vijiti.

Wanawake wengi siku hizi wanaolewa late wakiwa above 28 ama 30. Huo umri kusaka mtoto sio kazi ndogo. Hasa kama huyo mwanamke zamani alikula sana vidonge vya uzazi ama kutoa mimba
Changamoto ni kubwa sana
 
Ndugu ni Mtu uliyezaliwa naye tumbo 1 kwa Mama na Baba mmoja.
Kwa Kiingeleza wanaita Siblings

Ambapo Mtoto wa Shangazi yako ni Second Degree Sibling, ambaye anadondokea kwenye Relative au Jamaa
😂😂Hii inafanya kazi huko uzunguni huku Afrika mambo sio hivyo braza
 
Back
Top Bottom