Wanatoa mimba sanaaa
Ndio hivyo wabadilike maana ndio wake zetu wa baadae.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatoa mimba sanaaa
MOTILITY=MOBILITYKwa uchunguzi wangu binafsi nimeona ndoa nyingi sana zinapata changamoto ya kupata mtoto.
Hapa mjini wadada karibu wote wameharibika. Ndiyo maana wengi hata wakibahatika kuolewa kupata mtoto inakuwa tabu sana. Na wengi wao hawazai kabisa.
Wanawake wengi wa mjini Mjini wanatumia vizuia mimba tangu wakiwa wadogo sana matokeo wanavuruga mfumo wa uzazi,vijijini hawajui hayo mambo wanazaa mapema
Wadada wengi ujanani kipindi hawajaolewa p2 wanameza kama panadol..siku wakitaka kushika mimba ni mtafutano mara uvimbe..mara pid..mara hormonal imbalance. uzazi Sasa hivi kwa wanawake ni wa kutafuta kwa tochi.
Vidonge vya uzazi wa mpango vimepoteza Sana kizazi Cha wanawake. Matumizi ya p2 ujanani yanaleta balaa sana mbeleni kwenye ndoa.
Familia nyingi siku hizi zinaishia kuwa na mtoto mmoja. Ambaye anapatikana kwa mbinde sana.
Hapa chini ni somo jepesi la Muda sahihi wa kuzaa
1.WANAWAKE(WOMEN)
Wazungu wanasema Fertility is Ageist..ikimaanisha umri ndo unaweza ukaadhiri Afya Ya mtoto wako kwa Wanawake wanazaliwa na mayai kamili ambayo hupungua kiasi na Quality miaka inavyoenda..Mwanamke anavyozeeka uwezekano wa kupata mimbe unapungua chances za kupata risk mbali mbali kama miscarriage zinaongezeka!!
-Akiwa Miaka 32 uwezo wa Kuzaa unapungua ILA KIDOGO sana.
-Akiwa na Miaka 35 uwezo wa kuzaa unapungua kwa SPIDI ya Juu sana
-Akiwa na Miaka 40 uwezo wa kuzaa unakua umepungua kwa Nusu
-Kuanzia Miaka 20-31 uwezo wa kuzaa unakua asilimia 40% kwa kila mwezi ILA above 40 ni 5% sasa ukizaa Late unaweza kupata risks kama still birth(mtoto kufa esp age ya 35 hapo) kuanzia 40 kwenda Juu its a Miscarriage unapata
2.WANAUME(MEN)
As women,quality Ya sperms Inapingua as a man Ages mpka inafikia Point hawezi kumpa mwanamke mimba kabisa!
-Akiwa na Miaka 40 na zaidi uwezo wa kumpa mwanamke unapungua kutokana na kupungua kwa MOTILITY(kukimbia kwa sperms kufuata Yai) akiwa 45 kwenda Juu mtoto atakaemzaa atakua na matatizo kiafia
-Akiwa 20-40 hapa uwezo wa kuzalisha upo vizuri na anaweza kupata watoto kama wote Bila shida Yoyote kabisa!!!!
HIVYO TUJITAHIDI KUFUNGA NDOA MAPEMA. MWANAMKE CHINI YA MIAKA 25 AOLEWE NA MWANAUME KABLA HUJAVUKA 30 UWE UMESHAOA.
Hii itasaidia kutatua hili tatizo la uzazi kwenye ndoa nyingi za kisasa
Kuna ndg ana miaka 5 kwenye ndoa anahangaika kupata mtoto, amefikia hatua za kupost watoto wanaotrend mitandaoni ili kujifariji, ni maumivu sana
Kuna kipindi alipata akaitoa sababu alimfuma mwanaume 😂 saiv ana hahaMtindo wa maisha,vyakula,dawa za uzazi wa mpango ndio unaleta balaa hilo
Kuna kipindi alipata akaitoa sababu alimfuma mwanaume 😂 saiv ana haha
Hili swala ni very tricky.Tatizo wazazi na watu wa afya hawafundishi huu ukweli kwa mabinti ili wajijue mapema.
Pia umri wa kuolewa ni factor kubwa. Wanasema prime age kwa mwanamke kushika ujauzito kwa haraka ni miaka 18 mpaka 24. Hapo mwanamke mayai yake yana nguvu kweli kweli... sasa umri huu wanawake wengi ndio wanatoa mimba na ndio wanatumia vidonge p2, wanaweka vijiti.
Wanawake wengi siku hizi wanaolewa late wakiwa above 28 ama 30. Huo umri kusaka mtoto sio kazi ndogo. Hasa kama huyo mwanamke zamani alikula sana vidonge vya uzazi ama kutoa mimba
Changamoto ni kubwa sanaTatizo wazazi na watu wa afya hawafundishi huu ukweli kwa mabinti ili wajijue mapema.
Pia umri wa kuolewa ni factor kubwa. Wanasema prime age kwa mwanamke kushika ujauzito kwa haraka na kuzaa bila complications ni miaka 18 mpaka 24. Hapo mwanamke mayai yake yana nguvu kweli kweli... sasa umri huu wanawake wengi ndio wanatoa mimba na ndio wanatumia vidonge p2, wanaweka vijiti.
Wanawake wengi siku hizi wanaolewa late wakiwa above 28 ama 30. Huo umri kusaka mtoto sio kazi ndogo. Hasa kama huyo mwanamke zamani alikula sana vidonge vya uzazi ama kutoa mimba
Matokeo ya Chaguzi zetuNina ndugu yangu ndoa inaenda mwaka wa Saba hakuna mtoto..Ni huzuni kwa kweli
Kwamba wanafunzi wa huko ni wajinga?mi nikitaka kuoa narudi nyumbani (Mbinga) nasubiri form 4 mwenye kazero kake namchukua kiulaini na kumweka ndani hajawahi tumia Ethinyl Estradiol, Levonorgestrel, Desogestrel, Norethindrone
Si akaoe mtu mwingineKuna ndg ana miaka 5 kwenye ndoa anahangaika kupata mtoto, amefikia hatua za kupost watoto wanaotrend mitandaoni ili kujifariji, ni maumivu sana
Lazima muwepo tu na mtaendelea ongezekaMnatutisha tulio Bado Jamani mmatak tuwe single mother
Natokea kwenye familia kubwa sana hata mtoto wa shangazi yake baba ni ndg yangu😂Si akaoe mtu mwingine
Ila we naye ina kisanga
Mdogo wako kapigwa tukio la kusogezewa mtoto asiye wake.
Huyu naye kagoma kuzaa
Ndugu ni Mtu uliyezaliwa naye tumbo 1 kwa Mama na Baba mmoja.Natokea kwenye familia kubwa sana hata mtoto wa shangazi yake baba ni ndg yangu[emoji23]
😂😂Hii inafanya kazi huko uzunguni huku Afrika mambo sio hivyo brazaNdugu ni Mtu uliyezaliwa naye tumbo 1 kwa Mama na Baba mmoja.
Kwa Kiingeleza wanaita Siblings
Ambapo Mtoto wa Shangazi yako ni Second Degree Sibling, ambaye anadondokea kwenye Relative au Jamaa
Nilikuwa nakuelimisha kidogo tu kuwa Ndugu ni yule ambaye mmezaliwa kwa mzazi wazazi mmoja.[emoji23][emoji23]Hii inafanya kazi huko uzunguni huku Afrika mambo sio hivyo braza