Ndoa ya Aziz Ki ni maisha yake binafsi, lakini Wacha nitie neno kidogo

Kazi kweli kweli! Sema mfikishie salamu vunja maprice.Mwambie habari za kuwaita watoto wazuri dada dada zitamgharimu siku moja, pale alikuwa anapata copy.Yule kidoti aliamua kumbless tu alikuwa na stress za ukiwa baada ya yule mzee wa Chato kutembea
Wakinga tunazalisha sisi wengine ndo wanafata, pale tulitaka kuosha rungu na kupita..!!
 
Naona walitaka waolewe wao😅😅
Wanaume kwani mlitaka Aziz awaoe nyinyi? nikisoma post za wanaume wazima mnatokwa maneno kama maporomoko ya maji khaa!
MMEUMIA KWA KUWA AMEVUNJA KWA KISHINDO kebehi zenu! Kawategua nyonga maamae!
 
Mi kinachonopa maswali ni kuhusu mama yake mzazi kutopewa taarifa mapema, na kushiriki

Na amemind ameongea SS hii si sawa!
 
Ila watu wana moyo sana, a 28yr old marries a single mother of two! At such a young age, kweli???? I hope jamaa nae ana watoto kadhaa, otherwise mmmh!
🤣🤣
Ndo nimeelewa Kwann mama mzazi WA ki amemind
 
Hapa angekuwaepo warumi rip,tungejua mengi

🤣🤣

Jmn jux nae jafunga ndoa, Vanessa pia ....
Huu ni mwaka wa "I do"
 
Amemuoa Kwa sababu ya mimba aliyo mpa. Ili mtoto awe halal, ila acha wivu kaka maisha hayana formula
 
Wanawahi ndoa kabla ya ramadhan
 
Wazazi wenyewe hawapendi, unadhani rahisi eti...unakuta mama mwenyewe ni single mom lakini hakubali kijana wake kuoa single mom..
🤣🤣na hakuna mzazi anataka hii asikwambie mtu!

Yule mama alichomind hakupewa nafasi km mama,hakupewa taarifa mapema Ili ashiriki km mzazi na Yuko sàhihi
Unaolewaje ,kupikea mahari mama mzazi WA mume hayupo?
Ht hamisa mjinga hakutumia akili hapo,au alidangaywa na huyo mumewe.
 
Ni sahihi, ila ndoa za hawa jamaa huwa zinavunjika fasta kama glass ya mchina.... I mean ma staa, tena wale wa asili ya Madina. Kwa hiyo Aziz anaweza kuepa huu msala, cha msingi asizae naye. Na anaweza kuepa na kuhamia ligi nyingine mbali kabisa ambako Mobeto hawezi fika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…