Wakinga tunazalisha sisi wengine ndo wanafata, pale tulitaka kuosha rungu na kupita..!!Kazi kweli kweli! Sema mfikishie salamu vunja maprice.Mwambie habari za kuwaita watoto wazuri dada dada zitamgharimu siku moja, pale alikuwa anapata copy.Yule kidoti aliamua kumbless tu alikuwa na stress za ukiwa baada ya yule mzee wa Chato kutembea
Dah kweli basi sawaWakinga tunazalisha sisi wengine ndo wanafata, pale tulitaka kuosha rungu na kupita..!!
Wanaume kwani mlitaka Aziz awaoe nyinyi? nikisoma post za wanaume wazima mnatokwa maneno kama maporomoko ya maji khaa!
MMEUMIA KWA KUWA AMEVUNJA KWA KISHINDO kebehi zenu! Kawategua nyonga maamae!
Labda.We challi mapenzi ni upofu, unajuaje labda Hamisa atatulia na mumewe??
Mi kinachonopa maswali ni kuhusu mama yake mzazi kutopewa taarifa mapema, na kushirikiHuyu karubuniwa, na nahisi uongozi wa Yanga unahusika kwa asilimia kubwa katika kulitengeneza hili jambo na kulifanikisha. Sijawahi kuona shughuli ya taasisi inahusishwa na faragha za watu ila nilipoona Haji anaanika vitu visivyopaswa kuanikwa kwenye kilele cha siku ya mwananchi nikagundua kuna nguvu kubwa ya watu wanao push hili swala.
Kuhusu kufunga ndoa kwa kipindi hiki nadhani sababu kubwa ni ya kidini, Azizi Ki ni muislam na mwezi wa tatu mwanzoni watu wanaingia kwenye mfungo wa mwezi wa Ramadhani
Very true Tena ni 70 sio 50🤣🤣Mwanamke life yake huwa ipo 50:50, muda wowote anaweza kutoboa kupitia mbunye yake. Mbunye ni hazina haiozi.
🤣🤣Ila watu wana moyo sana, a 28yr old marries a single mother of two! At such a young age, kweli???? I hope jamaa nae ana watoto kadhaa, otherwise mmmh!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu Fanya Yako, Tabia ya kufatilia maisha ya wanaume wenzio sio nzuri, soon utaitwa bi maimuna
Kwahio hawa wanaozaliwa bila harusi sio halaliAmemuoa Kwa sababu ya mimba aliyo mpa. Ili mtoto awe halal, ila acha wivu kaka maisha hayana formula
tunapigwa chenga la macho hapo aliyeoa ni eng.Hersi azizi k yupo kama host tuvute subira muanzage na mtori kwanzaHuyo jamaa kaingizwa chaka na atalia sana muda si mrefu. Yani pakashume la bar unataka ulifuge ndani?
Najua hapa akina dada mtani attack ila huo ndio ukweli huyu Azizi kaingizwa mkenge.
Wanawahi ndoa kabla ya ramadhanBinafsi nampongeza Aziz ki Kwa kupata jiko, ila Nina haya
1. Wazee wanasema kuwa anayeona laZima aulize,
Sina uhakika kama kijana wetu Aziz ki aliuliza na kuchakata kuhusu mkewe.
Au alikutana na machawa wakamjaza akajikuta ameingia cha kike.
Nadhani Kwa maisha ya football ingekuwa njema akapata mke wa kumpa utulivu tofauti na Mobeto
2. Wazazi au ndugu wa Aziz ki kutoonekana siku ya kutoa mahali.
Eng Hersi ndo alisimama kama mzazi,
Hili halikuwa jema
Mama yake Aziz ki yupo Burkina Faso sio mbali ni kufika na kumpa heshima hiyo
Kumbuka hii ndoa ni ya mataifa mawili,
Eng Hersi ni Mtanzania na Mobeto ni Mtanzania, Kwa maana hiyo Eng Hersi anatokea umamani hawezi kusimama upande wa Aziz ki
3. Maisha yatakuwaje baada ya ustaa wa Aziz ki kufika Kikomo
Football ni Kazi ya muda mfupi mno
Labda Mobeto kampenda Aziz ki kisa ni staa lakini nina uhakika Aziz hana misimu 3 mbele akiwa katika form hii
4. Kwanini asingefunga ndoa mwisho wa msimu
Ligi inaendelea key players wanafunga ndoa na wachezaji waandamizi wote wako kwenye harusi na tarehe 17 Kuna mchezo dhidi ya Mashujaa, hapa nawaza
Mapenzi mapya yanahitaji muda, huwezi kuwa na mke mpya uwaze vyema kazi ya physical kama football na ufanye katika form nzuri
Washauri wa Aziz ki hawakukaa nae vyema kumpa madini ya msingi nadhani alikutana na machawa wakampoteza
Mchezaji wa Simba Valentine Nouma alifungwa ndoa ligi ikiwa inaendelea na Sasa sijamuona hata bench Nina Imani Simba itamwacha tu
Kwa mujibu wa dini ya Allah, haiswii ni bidaahKwahio hawa wanaozaliwa bila harusi sio halali
Wazazi wenyewe hawapendi, unadhani rahisi eti...unakuta mama mwenyewe ni single mom lakini hakubali kijana wake kuoa single mom..🤣🤣
Ndo nimeelewa Kwann mama mzazi WA ki amemind
🤣🤣na hakuna mzazi anataka hii asikwambie mtu!Wazazi wenyewe hawapendi, unadhani rahisi eti...unakuta mama mwenyewe ni single mom lakini hakubali kijana wake kuoa single mom..
HahahaaaaaaWaafrica ni wapuuzi sana
View attachment 3237484