Ndoa ya Aziz Ki ni maisha yake binafsi, lakini Wacha nitie neno kidogo

Ndoa ya Aziz Ki ni maisha yake binafsi, lakini Wacha nitie neno kidogo

Kwahio vijana wa Kitanzania mna muonea wivu Hamisa, mlitaka Aziz awashenyete nyie..?
Embu huo umasikini wivu chuki makasiriko na upuuzi wenu pelekeni kijijini kwenu waacheni waoane...
By the way hapo kwanza Kitaifa tumefaidika na hiyo ndoa...
Yani wanaume wazima na makengele yao wanaumia sasa sijui walitaka waolewe wao 😹😹😹
 
Sasa wakinga na utapeli tumeingiaje hapo??

Kweli kaka fule akamchukue mobeto amfuge ndani na sisi tumkubalie?? Unataka ashushe brand ya kabila.!! Kweli? 😹😹
Mliuza kombe kwa bei nyepesi unaona sasa mbukinabe kawake chombo ndani.Ndugu yenu vunja maprice anaishia kuita dada dada
 
Binafsi nampongeza Aziz ki Kwa kupata jiko, ila Nina haya

1. Wazee wanasema kuwa anayeona laZima aulize,
Sina uhakika kama kijana wetu Aziz ki aliuliza na kuchakata kuhusu mkewe.
Au alikutana na machawa wakamjaza akajikuta ameingia cha kike.
Nadhani Kwa maisha ya football ingekuwa njema akapata mke wa kumpa utulivu tofauti na Mobeto

2. Wazazi au ndugu wa Aziz ki kutoonekana siku ya kutoa mahali.
Eng Hersi ndo alisimama kama mzazi,
Hili halikuwa jema
Mama yake Aziz ki yupo Burkina Faso sio mbali ni kufika na kumpa heshima hiyo

Kumbuka hii ndoa ni ya mataifa mawili,
Eng Hersi ni Mtanzania na Mobeto ni Mtanzania, Kwa maana hiyo Eng Hersi anatokea umamani hawezi kusimama upande wa Aziz ki

3. Maisha yatakuwaje baada ya ustaa wa Aziz ki kufika Kikomo
Football ni Kazi ya muda mfupi mno
Labda Mobeto kampenda Aziz ki kisa ni staa lakini nina uhakika Aziz hana misimu 3 mbele akiwa katika form hii

4. Kwanini asingefunga ndoa mwisho wa msimu
Ligi inaendelea key players wanafunga ndoa na wachezaji waandamizi wote wako kwenye harusi na tarehe 17 Kuna mchezo dhidi ya Mashujaa, hapa nawaza

Mapenzi mapya yanahitaji muda, huwezi kuwa na mke mpya uwaze vyema kazi ya physical kama football na ufanye katika form nzuri

Washauri wa Aziz ki hawakukaa nae vyema kumpa madini ya msingi nadhani alikutana na machawa wakampoteza

Mchezaji wa Simba Valentine Nouma alifungwa ndoa ligi ikiwa inaendelea na Sasa sijamuona hata bench Nina Imani Simba itamwacha tu
Ndoa za kiislam ni dk 0 tu hakuna kutemba nikiona sikuelew Kila mtu anaenda njia yake changamoto ninayoiona labda kwenye mgawanyo wa mali ila hicho nacho sio shida kiviile kama Aziz atakuwa kaandikisha jina la mama yake kwenye mali zake zote.
 
Umeuliza maswali muhimu sana. Amisa ni wa kuwaachia wanamziki. Soka linahitaji mke mtulivu
 
Hatumuonei wivu, tunamuonea huruma
Kila mtu ana past yake, muda wowote mtu anaweza kujifunza kutokana na makosa ya nyuma.
Usishangae Misa akawa mke bora kwa Ki.

Halafu wewe ukaoa ukapigwa matukio ndo ikakushinda huku Ki akihesabu tu miaka na wife wake wa ukweee!
 
Kila mtu ana past yake, muda wowote mtu anaweza kujifunza kutokana na makosa ya nyuma.
Usishangae Misa akawa mke bora kwa Ki.

Halafu wewe ukaoa ukapigwa matukio ndo ikakushinda huku Ki akihesabu tu miaka na wife wake wa ukweee!
Hayo yote yanawezekana, lakini msitukataze kujiuliza. Kama anatusoma basi itasaidia kuchukua tahadhali
 
1739388788187.jpg
 
Dah single maza kazi wanayo,sema mkinga aliwatia aibu hile chombo ni ya kwenda japo ni single maza.Angeondoka na copy kama wenzake angewapaisha wakinga
Wakinga tuna macho ya rohoni, copy tumeacha kwa akili kubwa Jokate 😹😹
 
Wakinga tuna macho ya rohoni, copy tumeacha kwa akili kubwa Jokate 😹😹
Kazi kweli kweli! Sema mfikishie salamu vunja maprice.Mwambie habari za kuwaita watoto wazuri dada dada zitamgharimu siku moja, pale alikuwa anapata copy.Yule kidoti aliamua kumbless tu alikuwa na stress za ukiwa baada ya yule mzee wa Chato kutembea
 
Usijali... Ila Aste Aste naona mbinu inajibU. Haji Manara, Jonas Mkude, Hamisa Mobeto. chama, mwenda, baleke, na kubwa kuliko ni AZIZI KI. BADO.TUNA PACOME.
Hatari sana hao ndo Simba B sasa..
 
Nyie ndo mlikimbia vikao vya wanaume wenzenu ..
Mtu unafatikiaje mambo ya mwanaume mwenzio
 
Wanaume kwani mlitaka Aziz awaoe nyinyi? nikisoma post za wanaume wazima mnatokwa maneno kama maporomoko ya maji khaa!
MMEUMIA KWA KUWA AMEVUNJA KWA KISHINDO kebehi zenu! Kawategua nyonga maamae!
 
Back
Top Bottom