Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Urithi wa bibi uheshimiwe 😹😹Mwanamke life yake huwa ipo 50:50, muda wowote anaweza kutoboa kupitia mbunye yake. Mbunye ni hazina haiozi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Urithi wa bibi uheshimiwe 😹😹Mwanamke life yake huwa ipo 50:50, muda wowote anaweza kutoboa kupitia mbunye yake. Mbunye ni hazina haiozi.
Yani wanaume wazima na makengele yao wanaumia sasa sijui walitaka waolewe wao 😹😹😹Kwahio vijana wa Kitanzania mna muonea wivu Hamisa, mlitaka Aziz awashenyete nyie..?
Embu huo umasikini wivu chuki makasiriko na upuuzi wenu pelekeni kijijini kwenu waacheni waoane...
By the way hapo kwanza Kitaifa tumefaidika na hiyo ndoa...
Mliuza kombe kwa bei nyepesi unaona sasa mbukinabe kawake chombo ndani.Ndugu yenu vunja maprice anaishia kuita dada dadaSasa wakinga na utapeli tumeingiaje hapo??
Kweli kaka fule akamchukue mobeto amfuge ndani na sisi tumkubalie?? Unataka ashushe brand ya kabila.!! Kweli? 😹😹
Muhimu kaka kaosha rungu, wakinga hatuoi single maza mkuu 😹😹Mliuza kombe kwa bei nyepesi unaona sasa mbukinabe kawake chombo ndani.Ndugu yenu vunja maprice anaishia kuita dada dada
Dah single maza kazi wanayo,sema mkinga aliwatia aibu hile chombo ni ya kwenda japo ni single maza.Angeondoka na copy kama wenzake angewapaisha wakingaMuhimu kaka kaosha rungu, wakinga hatuoi single maza mkuu 😹😹
Ndoa za kiislam ni dk 0 tu hakuna kutemba nikiona sikuelew Kila mtu anaenda njia yake changamoto ninayoiona labda kwenye mgawanyo wa mali ila hicho nacho sio shida kiviile kama Aziz atakuwa kaandikisha jina la mama yake kwenye mali zake zote.Binafsi nampongeza Aziz ki Kwa kupata jiko, ila Nina haya
1. Wazee wanasema kuwa anayeona laZima aulize,
Sina uhakika kama kijana wetu Aziz ki aliuliza na kuchakata kuhusu mkewe.
Au alikutana na machawa wakamjaza akajikuta ameingia cha kike.
Nadhani Kwa maisha ya football ingekuwa njema akapata mke wa kumpa utulivu tofauti na Mobeto
2. Wazazi au ndugu wa Aziz ki kutoonekana siku ya kutoa mahali.
Eng Hersi ndo alisimama kama mzazi,
Hili halikuwa jema
Mama yake Aziz ki yupo Burkina Faso sio mbali ni kufika na kumpa heshima hiyo
Kumbuka hii ndoa ni ya mataifa mawili,
Eng Hersi ni Mtanzania na Mobeto ni Mtanzania, Kwa maana hiyo Eng Hersi anatokea umamani hawezi kusimama upande wa Aziz ki
3. Maisha yatakuwaje baada ya ustaa wa Aziz ki kufika Kikomo
Football ni Kazi ya muda mfupi mno
Labda Mobeto kampenda Aziz ki kisa ni staa lakini nina uhakika Aziz hana misimu 3 mbele akiwa katika form hii
4. Kwanini asingefunga ndoa mwisho wa msimu
Ligi inaendelea key players wanafunga ndoa na wachezaji waandamizi wote wako kwenye harusi na tarehe 17 Kuna mchezo dhidi ya Mashujaa, hapa nawaza
Mapenzi mapya yanahitaji muda, huwezi kuwa na mke mpya uwaze vyema kazi ya physical kama football na ufanye katika form nzuri
Washauri wa Aziz ki hawakukaa nae vyema kumpa madini ya msingi nadhani alikutana na machawa wakampoteza
Mchezaji wa Simba Valentine Nouma alifungwa ndoa ligi ikiwa inaendelea na Sasa sijamuona hata bench Nina Imani Simba itamwacha tu
Hiyo ni imani potofu. Yule alipata zali tu, sio kwamba ana uwezo mkuuubwa kichwaniHuwa ninaamini kuwa Engr Hersi ni mtu mwenye akili kubwa sana , Hekma na Busara,
KUTAKUWA NA NAMNA
Hatumuonei wivu, tunamuonea hurumaPyee!
Kila mtu ana past yake, muda wowote mtu anaweza kujifunza kutokana na makosa ya nyuma.Hatumuonei wivu, tunamuonea huruma
Hayo yote yanawezekana, lakini msitukataze kujiuliza. Kama anatusoma basi itasaidia kuchukua tahadhaliKila mtu ana past yake, muda wowote mtu anaweza kujifunza kutokana na makosa ya nyuma.
Usishangae Misa akawa mke bora kwa Ki.
Halafu wewe ukaoa ukapigwa matukio ndo ikakushinda huku Ki akihesabu tu miaka na wife wake wa ukweee!
Mambo ya yanga hayakuhusu.Hayo yote yanawezekana, lakini msitukatane kujiuliza. Kama anatusoma basi itasaidia kuchukua tahadhali
Wakinga tuna macho ya rohoni, copy tumeacha kwa akili kubwa Jokate 😹😹Dah single maza kazi wanayo,sema mkinga aliwatia aibu hile chombo ni ya kwenda japo ni single maza.Angeondoka na copy kama wenzake angewapaisha wakinga
Kazi kweli kweli! Sema mfikishie salamu vunja maprice.Mwambie habari za kuwaita watoto wazuri dada dada zitamgharimu siku moja, pale alikuwa anapata copy.Yule kidoti aliamua kumbless tu alikuwa na stress za ukiwa baada ya yule mzee wa Chato kutembeaWakinga tuna macho ya rohoni, copy tumeacha kwa akili kubwa Jokate 😹😹
Hatari sana hao ndo Simba B sasa..Usijali... Ila Aste Aste naona mbinu inajibU. Haji Manara, Jonas Mkude, Hamisa Mobeto. chama, mwenda, baleke, na kubwa kuliko ni AZIZI KI. BADO.TUNA PACOME.