The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Nyie achenii uchuro jamani..mweee
Sisi Simba tunafurahia,naombea hawa watu na wachezaji wao walewe ila kesho wanacheza na dada yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie achenii uchuro jamani..mweee
Mambo ya mjini ni mengi,hata "uraia" unaweza kutafutwa,viambatisho vya maombi ya uraia,inaweza kuwa rahisi kuwanavyo sasa.Wewe kidogo kuna kitu umekiona,nahisi ule ni mchongo ngoja Nifah aje, coz nahisi kuna ishu ya kitown inaendelea.
Ndo maana hawana hofu...watashambulia mwanzoni baadaae wataaachia...Sisi Simba tunafurahia,naombea hawa watu na wachezaji wao walewe ila kesho wanacheza na dada yao.
Ausio bhanaNoma sana!
Uzuri wakifanya ujinga nafasi ya nne Tabora anaitaka sanaa, kwahiyo kupanga ni kuchaguaNdo maana hawana hofu...watashambulia mwanzoni baadaae wataaachia...
For sureUzuri wakifanya ujinga nafasi ya nne Tabora anaitaka sanaa, kwahiyo kupanga ni kuchagua
Na tuseme aminaMwanamke life yake huwa ipo 50:50, muda wowote anaweza kutoboa kupitia mbunye yake. Mbunye ni hazina haiozi.
Anaoa Aziz Ki, ila wanaumia wavulana wa jf🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Wanataka waolewe wao,,Anaoa Aziz Ki, ila wanaumia wavulana wa jf🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Huu wivu ni out of this world walah!!Wanataka waolewe wao,,
Miss you kivuruge
Nimefichwa visiwani😅😅Huu wivu ni out of this world walah!!
Kivuruge ulipotelea wapi?🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We hamisa angekutaka ungekataa [emoji23]
Nimelia sana mkuu🥶😅demu wangu bhana alikuwa anaidaiwa mkopo kwenye microfinance za mitaani Sasa bhana hakuniambia, kimya kimya tu si akaja kuniambia nimlipie deni nikagoma miezi miwili mbele kapata mtu. Kaclear lile deni namimi nikapigwa chiniMwanamke life yake huwa ipo 50:50, muda wowote anaweza kutoboa kupitia mbunye yake. Mbunye ni hazina haiozi.
Kufatilia na ki judge wengine Ni sign za poverty na uswahiliBinafsi nampongeza Aziz ki Kwa kupata jiko, ila Nina haya
1. Wazee wanasema kuwa anayeona laZima aulize,
Sina uhakika kama kijana wetu Aziz ki aliuliza na kuchakata kuhusu mkewe.
Au alikutana na machawa wakamjaza akajikuta ameingia cha kike.
Nadhani Kwa maisha ya football ingekuwa njema akapata mke wa kumpa utulivu tofauti na Mobeto
2. Wazazi au ndugu wa Aziz ki kutoonekana siku ya kutoa mahali.
Eng Hersi ndo alisimama kama mzazi,
Hili halikuwa jema
Mama yake Aziz ki yupo Burkina Faso sio mbali ni kufika na kumpa heshima hiyo
Kumbuka hii ndoa ni ya mataifa mawili,
Eng Hersi ni Mtanzania na Mobeto ni Mtanzania, Kwa maana hiyo Eng Hersi anatokea umamani hawezi kusimama upande wa Aziz ki
3. Maisha yatakuwaje baada ya ustaa wa Aziz ki kufika Kikomo
Football ni Kazi ya muda mfupi mno
Labda Mobeto kampenda Aziz ki kisa ni staa lakini nina uhakika Aziz hana misimu 3 mbele akiwa katika form hii
4. Kwanini asingefunga ndoa mwisho wa msimu
Ligi inaendelea key players wanafunga ndoa na wachezaji waandamizi wote wako kwenye harusi na tarehe 17 Kuna mchezo dhidi ya Mashujaa, hapa nawaza
Mapenzi mapya yanahitaji muda, huwezi kuwa na mke mpya uwaze vyema kazi ya physical kama football na ufanye katika form nzuri
Washauri wa Aziz ki hawakukaa nae vyema kumpa madini ya msingi nadhani alikutana na machawa wakampoteza
Mchezaji wa Simba Valentine Nouma alifungwa ndoa ligi ikiwa inaendelea na Sasa sijamuona hata bench Nina Imani Simba itamwacha tu
Duh, dogo una hasira! Mpaka uwapasue hivyo wenzio?Kwahio vijana wa Kitanzania mna muonea wivu Hamisa, mlitaka Aziz awashenyete nyie..?
Embu huo umasikini wivu chuki makasiriko na upuuzi wenu pelekeni kijijini kwenu waacheni waoane...
By the way hapo kwanza Kitaifa tumefaidika na hiyo ndoa...
🤣🤣🤣🤣Nimefichwa visiwani😅😅