Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
Kwa hapa bongo haiwezekani kwa sababu ya umaskini kutamalaki...Aziz k amekuja hapa lin? Mbona watu wanaona kwa kujuana mwezi tu na ndoa zinadumu .
Kwa matumizi ya binadamu sio mbaya ila kwa kiapo mmmmmh sidhaniWe hamisa angekutaka ungekataa 😂
Mbona mie Hamisa namuona anajiheshimu sana? Giggy na hamisa nani paka la baa?Huyo jamaa kaingizwa chaka na atalia sana muda si mrefu. Yani pakashume la bar unataka ulifuge ndani?
Najua hapa akina dada mtani attack ila huo ndio ukweli huyu Azizi kaingizwa mkenge.
Dogo anayajua hayo yote na ndio maana kampenda huyo silence killer kwa hiari yake...Hamisa ni zaidi ya single mother huyo ni silence killer, dogo atalia muda si mrefu!
GiggyGiggy na hamisa nani paka la baa?
Hata nyie mliowaoa kuna watu wanawaonea huruma hamjui tuKwa matumizi ya binadamu sio mbaya ila kwa kiapo mmmmmh sidhani
Sina uhakika na akili ya Hamisa kama imetulia kwa sasa,ila kama kaamua kutulia,hiyo karata aliocheza iko vizuri sana,heshima ya mwanamke huja baada ya kufunga ndoa,watu watasahau yote ya nyuma na kufuatilia ya sasa...Mbona mie Hamisa namuona anajiheshimu sana? Giggy na hamisa nani paka la baa?
Nyoka huwa anakuwa mpole akijeruhiwa ila haimaanishi ataacha asili yake. Yule ni mdangaji na hapo amekuja kuchuma na kusepa.Mkuu mambo yanabadilika hata Hamisa amepitia Mengi usiyoyajua.
Huenda kajifunza na akaamua kubafilika kuwa Mke Bora.
Aziz ndiye anajua Thamani ya Mke wake.
Ipo wazi ataachwa kama walivoachwa wengine3. Maisha yatakuwaje baada ya ustaa wa Aziz ki kufika Kikomo
Football ni Kazi ya muda mfupi mno
Labda Mobeto kampenda Aziz ki kisa ni staa lakini nina uhakika Aziz hana misimu 3 mbele akiwa katika form hii
Wanawake wa kizazi hiki hawa wasio na chembe ya utu au wengine?Mkuu wanawake huwa wanafika mahali wanatambua walipojikwaa na kuamua kutulia
Hakuna jambo jipya chini ya jua yote ni ubatili! Tumuombee Mtanzania mwenzetu abilities aibu taifa. Aliheshimishe kwa kutulia na kulifanya taifa letu kuaminika kutoa wanawake watulivu kwenye ndoa. Soko la ndani kwa wanawake limekuwa la kusua sua. Aidha, kwa upande wa Aziz Ki hatuna buni kumpongeza kwa maamuzi magumu aliyoyachukua na si rahisi kujua alivutiwa na nini kwa Hamisa. Maamuzi ya kila mtu yaheshimiwe.Binafsi nampongeza Aziz ki Kwa kupata jiko, ila Nina haya
1. Wazee wanasema kuwa anayeona laZima aulize,
Sina uhakika kama kijana wetu Aziz ki aliuliza na kuchakata kuhusu mkewe.
Au alikutana na machawa wakamjaza akajikuta ameingia cha kike.
Nadhani Kwa maisha ya football ingekuwa njema akapata mke wa kumpa utulivu tofauti na Mobeto
2. Wazazi au ndugu wa Aziz ki kutoonekana siku ya kutoa mahali.
Eng Hersi ndo alisimama kama mzazi,
Hili halikuwa jema
Mama yake Aziz ki yupo Burkina Faso sio mbali ni kufika na kumpa heshima hiyo
Kumbuka hii ndoa ni ya mataifa mawili,
Eng Hersi ni Mtanzania na Mobeto ni Mtanzania, Kwa maana hiyo Eng Hersi anatokea umamani hawezi kusimama upande wa Aziz ki
3. Maisha yatakuwaje baada ya ustaa wa Aziz ki kufika Kikomo
Football ni Kazi ya muda mfupi mno
Labda Mobeto kampenda Aziz ki kisa ni staa lakini nina uhakika Aziz hana misimu 3 mbele akiwa katika form hii
4. Kwanini asingefunga ndoa mwisho wa msimu
Ligi inaendelea key players wanafunga ndoa na wachezaji waandamizi wote wako kwenye harusi na tarehe 17 Kuna mchezo dhidi ya Mashujaa, hapa nawaza
Mapenzi mapya yanahitaji muda, huwezi kuwa na mke mpya uwaze vyema kazi ya physical kama football na ufanye katika form nzuri
Washauri wa Aziz ki hawakukaa nae vyema kumpa madini ya msingi nadhani alikutana na machawa wakampoteza
Mchezaji wa Simba Valentine Nouma alifungwa ndoa ligi ikiwa inaendelea na Sasa sijamuona hata bench Nina Imani Simba itamwacha tu
Ngoja tuoneHata nyie mliowaoa kuna watu wanawaonea huruma hamjui tu
Hamisa hana.kashkash kama wasanii kama amber ruru, gigy,wema, aunt ,uwoya et all...ana kautulivu..nioneshe biashara yauwoya..bora hamisa anabiashara inaonekanaSina uhakika na akili ya Hamisa kama imetulia kwa sasa,ila kama kaamua kutulia,hiyo karata aliocheza iko vizuri sana,heshima ya mwanamke huja baada ya kufunga ndoa,watu watasahau yote ya nyuma na kufuatilia ya sasa...
Kwahiyo mlitaka tukae single milele?Huyo jamaa kaingizwa chaka na atalia sana muda si mrefu. Yani pakashume la bar unataka ulifuge ndani?
Najua hapa akina dada mtani attack ila huo ndio ukweli huyu Azizi kaingizwa mkenge.