Ndoa ya Aziz Ki ni maisha yake binafsi, lakini Wacha nitie neno kidogo

Ndoa ya Aziz Ki ni maisha yake binafsi, lakini Wacha nitie neno kidogo

Huyu Aziz k huenda kufanya maamuzi yake based on HISIA sio mbaya......But kuwa na hamisa kaingia Cha kike, naona kiwango chake kinaenda kuporomoka vibaya mno, then Nini kifuata??

Mshahara wa mil 20+ unapuputika, baada ya hapo unahisi Bado ndoa itakuwepo??

Hapo Aziz k atakuwa kashapigwa knockout ndoa hakuna+ carrier ya mpira ndio imeisha hiyo...

Na hapa ndio unaamini Ile kauli ya adui zako hawatoki mbali wapo hapo hapo kwenye mizunguko yako ya maisha ya Kila siku,,, adui zake ni kina nani??? Mimi sijui
 
Binafsi nampongeza Aziz ki Kwa kupata jiko, ila Nina haya

1. Wazee wanasema kuwa anayeona laZima aulize,
Sina uhakika kama kijana wetu Aziz ki aliuliza na kuchakata kuhusu mkewe.
Au alikutana na machawa wakamjaza akajikuta ameingia cha kike.
Nadhani Kwa maisha ya football ingekuwa njema akapata mke wa kumpa utulivu tofauti na Mobeto

2. Wazazi au ndugu wa Aziz ki kutoonekana siku ya kutoa mahali.
Eng Hersi ndo alisimama kama mzazi,
Hili halikuwa jema
Mama yake Aziz ki yupo Burkina Faso sio mbali ni kufika na kumpa heshima hiyo

Kumbuka hii ndoa ni ya mataifa mawili,
Eng Hersi ni Mtanzania na Mobeto ni Mtanzania, Kwa maana hiyo Eng Hersi anatokea umamani hawezi kusimama upande wa Aziz ki

3. Maisha yatakuwaje baada ya ustaa wa Aziz ki kufika Kikomo
Football ni Kazi ya muda mfupi mno
Labda Mobeto kampenda Aziz ki kisa ni staa lakini nina uhakika Aziz hana misimu 3 mbele akiwa katika form hii

4. Kwanini asingefunga ndoa mwisho wa msimu
Ligi inaendelea key players wanafunga ndoa na wachezaji waandamizi wote wako kwenye harusi na tarehe 17 Kuna mchezo dhidi ya Mashujaa, hapa nawaza

Mapenzi mapya yanahitaji muda, huwezi kuwa na mke mpya uwaze vyema kazi ya physical kama football na ufanye katika form nzuri

Washauri wa Aziz ki hawakukaa nae vyema kumpa madini ya msingi nadhani alikutana na machawa wakampoteza

Mchezaji wa Simba Valentine Nouma alifungwa ndoa ligi ikiwa inaendelea na Sasa sijamuona hata bench Nina Imani Simba itamwacha tu
Hakuna jambo jipya chini ya jua yote ni ubatili! Tumuombee Mtanzania mwenzetu abilities aibu taifa. Aliheshimishe kwa kutulia na kulifanya taifa letu kuaminika kutoa wanawake watulivu kwenye ndoa. Soko la ndani kwa wanawake limekuwa la kusua sua. Aidha, kwa upande wa Aziz Ki hatuna buni kumpongeza kwa maamuzi magumu aliyoyachukua na si rahisi kujua alivutiwa na nini kwa Hamisa. Maamuzi ya kila mtu yaheshimiwe.
 
Sina uhakika na akili ya Hamisa kama imetulia kwa sasa,ila kama kaamua kutulia,hiyo karata aliocheza iko vizuri sana,heshima ya mwanamke huja baada ya kufunga ndoa,watu watasahau yote ya nyuma na kufuatilia ya sasa...
Hamisa hana.kashkash kama wasanii kama amber ruru, gigy,wema, aunt ,uwoya et all...ana kautulivu..nioneshe biashara yauwoya..bora hamisa anabiashara inaonekana
 
Back
Top Bottom