Mpuuzi mwenyewe.Waafrica ni wapuuzi sana
View attachment 3237484
Kazalishwa na wageni?Hongera Aziz Ki &Hamisa Mobeto.
Msisikilize watanzania, wao majungu ni daily life yao, wata sema lile watasema hilo, wamekuwa na Hamisa miaka yote na walishindwa kuoa, wanaume wa Tz ni too inferior kwa wana wake walembo, tuna wakaribisha wageni mje mchukue dada zetu, acheni kuwa makocha kwa ndoa za watu.
What if akapata Nyota zaidi hadi kununuliwa na club za Ulaya?Huyu Aziz k huenda kufanya maamuzi yake based on HISIA sio mbaya......But kuwa na hamisa kaingia Cha kike, naona kiwango chake kinaenda kuporomoka vibaya mno, then Nini kifuata??
Mshahara wa mil 20+ unapuputika, baada ya hapo unahisi Bado ndoa itakuwepo??
Hapo Aziz k atakuwa kashapigwa knockout ndoa hakuna+ carrier ya mpira ndio imeisha hiyo...
Na hapa ndio unaamini Ile kauli ya adui zako hawatoki mbali wapo hapo hapo kwenye mizunguko yako ya maisha ya Kila siku,,, adui zake ni kina nani??? Mimi sijui
Hata kwa Wema, Wopa na Uwoya mlisema hivi hivi kiko wapi?Hongera Aziz Ki &Hamisa Mobeto.
Msisikilize watanzania, wao majungu ni daily life yao, wata sema lile watasema hilo, wamekuwa na Hamisa miaka yote na walishindwa kuoa, wanaume wa Tz ni too inferior kwa wana wake walembo, tuna wakaribisha wageni mje mchukue dada zetu, acheni kuwa makocha kwa ndoa za watu.
Omba mungu akupe hitaji la.moyo wako ila hujui hamisa hajaolewa kama ndoa ameolewa ili aziz ki apate ruhusa yakukaa huku bila kusumbuliwa na vibali vya hapa napale wakaingia mkataba na hamisa kuwa wazae mtoto kuonekana wanafamilia so maisha ya matajiri ni ujanja. So umalaya unini hakuna mkamilifu dunia hii.Binafsi nampongeza Aziz ki Kwa kupata jiko, ila Nina haya
1. Wazee wanasema kuwa anayeona laZima aulize,
Sina uhakika kama kijana wetu Aziz ki aliuliza na kuchakata kuhusu mkewe.
Au alikutana na machawa wakamjaza akajikuta ameingia cha kike.
Nadhani Kwa maisha ya football ingekuwa njema akapata mke wa kumpa utulivu tofauti na Mobeto
2. Wazazi au ndugu wa Aziz ki kutoonekana siku ya kutoa mahali.
Eng Hersi ndo alisimama kama mzazi,
Hili halikuwa jema
Mama yake Aziz ki yupo Burkina Faso sio mbali ni kufika na kumpa heshima hiyo
Kumbuka hii ndoa ni ya mataifa mawili,
Eng Hersi ni Mtanzania na Mobeto ni Mtanzania, Kwa maana hiyo Eng Hersi anatokea umamani hawezi kusimama upande wa Aziz ki
3. Maisha yatakuwaje baada ya ustaa wa Aziz ki kufika Kikomo
Football ni Kazi ya muda mfupi mno
Labda Mobeto kampenda Aziz ki kisa ni staa lakini nina uhakika Aziz hana misimu 3 mbele akiwa katika form hii
4. Kwanini asingefunga ndoa mwisho wa msimu
Ligi inaendelea key players wanafunga ndoa na wachezaji waandamizi wote wako kwenye harusi na tarehe 17 Kuna mchezo dhidi ya Mashujaa, hapa nawaza
Mapenzi mapya yanahitaji muda, huwezi kuwa na mke mpya uwaze vyema kazi ya physical kama football na ufanye katika form nzuri
Washauri wa Aziz ki hawakukaa nae vyema kumpa madini ya msingi nadhani alikutana na machawa wakampoteza
Mchezaji wa Simba Valentine Nouma alifungwa ndoa ligi ikiwa inaendelea na Sasa sijamuona hata bench Nina Imani Simba itamwacha tu
Kwa kweli wana vitu vingi ambavyo ni tofauti kuweza kuishi pamoja....Huyo jamaa kaingizwa chaka na atalia sana muda si mrefu. Yani pakashume la bar unataka ulifuge ndani?
Najua hapa akina dada mtani attack ila huo ndio ukweli huyu Azizi kaingizwa mkenge.
Ujasiri huo hana, si unaona huyo Aziz anavyo weweseka meno yote nje na udenda unamtoka.We hamisa angekutaka ungekataa 😂
Kwa hiyo wewe huyo mke ndio wa kwanza kumtoa bikraBinafsi nampongeza Aziz ki Kwa kupata jiko, ila Nina haya
1. Wazee wanasema kuwa anayeona laZima aulize,
Sina uhakika kama kijana wetu Aziz ki aliuliza na kuchakata kuhusu mkewe.
Au alikutana na machawa wakamjaza akajikuta ameingia cha kike.
Nadhani Kwa maisha ya football ingekuwa njema akapata mke wa kumpa utulivu tofauti na Mobeto
2. Wazazi au ndugu wa Aziz ki kutoonekana siku ya kutoa mahali.
Eng Hersi ndo alisimama kama mzazi,
Hili halikuwa jema
Mama yake Aziz ki yupo Burkina Faso sio mbali ni kufika na kumpa heshima hiyo
Kumbuka hii ndoa ni ya mataifa mawili,
Eng Hersi ni Mtanzania na Mobeto ni Mtanzania, Kwa maana hiyo Eng Hersi anatokea umamani hawezi kusimama upande wa Aziz ki
3. Maisha yatakuwaje baada ya ustaa wa Aziz ki kufika Kikomo
Football ni Kazi ya muda mfupi mno
Labda Mobeto kampenda Aziz ki kisa ni staa lakini nina uhakika Aziz hana misimu 3 mbele akiwa katika form hii
4. Kwanini asingefunga ndoa mwisho wa msimu
Ligi inaendelea key players wanafunga ndoa na wachezaji waandamizi wote wako kwenye harusi na tarehe 17 Kuna mchezo dhidi ya Mashujaa, hapa nawaza
Mapenzi mapya yanahitaji muda, huwezi kuwa na mke mpya uwaze vyema kazi ya physical kama football na ufanye katika form nzuri
Washauri wa Aziz ki hawakukaa nae vyema kumpa madini ya msingi nadhani alikutana na machawa wakampoteza
Mchezaji wa Simba Valentine Nouma alifungwa ndoa ligi ikiwa inaendelea na Sasa sijamuona hata bench Nina Imani Simba itamwacha tu
Watu wa humu sijui wapoje na ukute yeye ana dada zake na ndugu wa kike nyumban na hawajatulia ila anaona HamisaKwa kweli wana vitu vingi ambavyo ni tofauti kuweza kuishi pamoja....
Lakini plse usimwite Hamisa paka shume,utu wake plse,kila mtu ana upande wake wa pili
Una uhakika gani kama Mzazi wako hakuwa pakashume pia?Huyo jamaa kaingizwa chaka na atalia sana muda si mrefu. Yani pakashume la bar unataka ulifuge ndani?
Najua hapa akina dada mtani attack ila huo ndio ukweli huyu Azizi kaingizwa mkenge.
Hakuna kanuni za ndoa .kila ndoa na style zake wengine wanalala uchi ,wengine na nguoNilisema hii ni project ikikamilika mtaona mengi na mtasema mengi.
Mara nyingi maishani unajifunza zaidi kupitia makosa, na inapendeza makosa hayo uyaone kwa wengine yasikukute wewe mwenyewe!
Dah siku tusipo vuta bhangi, huwa nondo Zina tembeaSio soka tu, kama upo kwenye active age ya utafutaji na ukaamua kuoa inatakiwa uwe makini sana