Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Hivi mdogo wake Brandy Yuko wapi .Huyo Ray J hata ndoa imemshinda
Kapata mke mtulivu ila yeye sasa mfyuu
Malaya malaya tu, yule angetakiwa acheze porn tu
Anamkomoa Diddy [emoji1787][emoji1787]Mmmh unaona hizo mimba anavyozibeba,full kubemenda
Brandy ndo mkubwa!Hivi mdogo wake Brandy Yuko wapi .
Ana sauti nzuri Sana brandy
Naikumbuka track yake ya FULL MOON nzuri Sana
Ha hahaAnamkomoa Diddy [emoji1787][emoji1787]
Anamkomoa billionaire
We ngoja mtakuja sikia vilio vya divorce au child support huko mbelenj Mana Yuko resi sana
Brandy ndio alikuwaga Beyonce wa enzj zileBrandy ndo mkubwa!
Yupo yupo nae hata haeleweki, namuona insta na marasta marefu, storee nyingi, mipango kibao kama Tony Braxton ila hamna kitu..
Diddi alikuwa anampa full Bata na kampa fame pale badboyHa haha
Kajamaa kake hakana hata mia ni balaa[emoji23]
Sema acha aolewe, Diddy mchafu tu, kuoa haoi wanini sasaDiddi alikuwa anampa full Bata na kampa fame pale badboy
Bila Diddy nani angemjue Cassie
Eti anamkomoa music mogul [emoji1]
Hamfikii kim weeKyle anauza mikorogo ana hela chafu
Uleviiii anapenda mno pombeeRehab?
Alikuwa anabwia unga kama Lamar Odom?
Cassie niliona kavishwa pete ya na mwanaume wakeAnamkomoa Diddy [emoji1787][emoji1787]
Anamkomoa billionaire
We ngoja mtakuja sikia vilio vya divorce au child support huko mbelenj Mana Yuko resi sana
Hahaahaahaa
Yule B. Sure sijui mshua wake Quincy ( yule mtoto wa kim porter wa kwanza) anasema kim kauliwa[emoji134]
Sasa sijui kweli, ila Diddy mafia, ukiongelea mambo ya kulipeleka mahakamani sijui udai nini fyokofyoko, linakuondoa bila kuacha blemish
Kanye west kwa sasa ni Entertainer Tajiri kuliko wote duniani utajiri wake unakadiriwa kuwa 3 Billion, Jay Z kwa sasa hamsogeleiKanye amzidi Jay Z?Unaota
Dr Dre ndo kapagawa akifikiria mpunga atakaolamba aliokua mkewe hao wote Kanye wamemuacha parefu tu.
Hizo story tu,Kanye west kwa sasa ni Entertainer Tajiri kuliko wote duniani utajiri wake unakadiriwa kuwa 3 Billion, Jay Z kwa sasa hamsogelei
Plus mgogoro wa kifamilia mkuuMigogoro ya kimapenzi, migogoro na vyombo vya dola na migogoro ya kiafya ni mambo ya kumsihi sana Mungu atuepushie
We Hiko kidada kina hela wewe. Kuna wakati Kanye alifikia kufilisika mpk akamuomba Mark Zuckerberg a msaidie mpunga anyanyuke. Jamaa akamchomolea ndo huyo bi dada KIM akamgawia mpunga kama wote. Na sidhani kama hii talaka itamfilisi Kanye maana nadhani kale kamama kama hela kuliko Kanye.Wazungu wanaolewa na ma nigga kutafuta hela tu
Ni MUALBANIA km sijakoseaKardashian mzungu toka wapi huyo mwenzetu tu katoka Spain au hapo Brazil wote wa Angola hao tunawatafuna kila siku, Kanye kashoboka sana anaenda pigwa mawe ya kufa mtu wakati hata watoto walipandikizwa.
Ndo hao tunawaita wapopo tu toka Kosovo
THE GAME Yeye alitoka mzima na ma album aliuza1.Lamar Odom -unga/kufulia NBA
2.Bruce jenner-ushoga
3.Robert Kardashian -kifo
4.Ben Simmons-nyota kufifia NBA (siku hizi hata haeleweki)
5.Ray J-kapotea kimziki
6.Tyga-sijui anafanya Nini Sasa nyota imefifia
7.Travis Scott-ndio anapotea potea kwa mbaaali Sana.[emoji1]
8.Kris Humphries -hana hamu na kim ,akapotea mazima NBA
9.Scott Disick-kageuzwa chawa wa familia Hana carrier yoyote inayoeleweka zaidi ya kukesha na makamera.
10.Tristan Thompson -yupo yupo tu Ila sio kama zamani hata ule urafiki na LeBron umepungua .
11.Kanye west-uchizi umetamalaki
Hao no baadhi tu
The Kardashian kurse is real[emoji1]