Ndoa ya kulazimishwa yageuka tamu na yenye baraka

OK. By the way, wanawake uliosex nao kabla yake I believe ni team ya Simba na Barcelona combined right?
Fatma,

How many players do Simba and Barcelona have? Then I can comment!.
 
Fatma,

How many players do Simba and Barcelona have? Then I can comment!.
I don't know. Ila ukijumlisha na goalkeeper I hope one team inakuwa na 11 right?. This is why nasikia wanasema first eleven. Then talk of 22.
 
Mwisho wa story jamaa akakuta tunda lililiwa zamani na wahuni
Maamae comment yangu ya juu nilisema binti hakuwa bikra na kweli umekuta ni used πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hawa wanawake hawa sio poa
 
I don't know. Ila ukijumlisha na goalkeeper I hope one team inakuwa na 11 right. This is why nasikia wanasema first eleven. Then talk of 22.
A team must have at least 23 players. But speaking of those who attend the match, then 11 with six substitutions.

Anyway, speaking on the numbers of women I had slept with before getting into marriage, then they can't make it to 10.

I'm sure!.
 
Hapo umesema wewe na mama mlikuwa mnafanyaje tangu utotoni? [emoji2297][emoji2297][emoji2297]
 
Maamae comment yangu ya juu nilisema binti hakuwa bikra na kweli umekuta ni used πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hawa wanawake hawa sio poa
Ni kweli. Lakini kitu used chenye hali nzuri inafaa sana.

Kwani gari unalotumia Mku, si used? Au ni brand new? Mbona bado limekuheshimisha na unadunda nalo kwa muda mrefu tu?

Anyway, nani kakudanganya kuwa mwanamke bikra pekee ndiyo hujenga familia bora? Au kila mtu na perception yake?
 
A team must have at least 23 players. But speaking of those who attend the match, then 11 with six substitutions.

Anyway, speaking on the numbers of women I had slept with before getting into marriage, then they can't make it to 10.

I'm sure!.
Lo!. Well, I am happy that since when you got married you have never cheated on her and you look forward to shunning any kind of cheating.
 
Hongera sana mkuu

Kikubwa bado kuna wanaume wachache ambao ni husband materials na wanawake wife materials
Changamoto ni kukutana
Hakika Mkuu.

Bado wapo wengi tu. Ila mazingira na watu huwabadilisha!.
 
Umemaliza vizur
 
Yah mzee naelewa,
demu wangu ambaye bado niko nae nilimkuta n used kidogo, siku ya kwanza na-sex nae (sijui nilijuaje ila ndo ukweli) nilijua kabisa n used ila sikumuuliza chochote kuhusu ubikira wake sasa baada ya siku kadhaa tukiwa tunachat akanambia mimi ndie mwanaume wake wa pili ku-sex nae na alifanya sex mara moja yani ile kutolewa bikra tuu then ndipo nikakutana nae.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Moyoni nilifurahi mana nlchowaza mara ya kwanza wakati na-sex nae kumbe ni kweli. Mungu akibariki soon naingia nae kwenye ndoa.

Bikra sio kigezo cha kwamba huyo binti sio sahihi.
 
Big up Sana mkuu.yes mke asipokupa stress brain Ina settle na kuwaza Mambo makubwa Sana. Binafsi nafurahi Sana mke hanipi stress so nikiwa nimetumia natulia Kama nipo beach ni upepo tu ndio unaonipigia kelele.
Muwezeshe tu anapiga kazi ya ujasirimali Mana sio lazima kuwa kipato kipatikane mpaka uwe ukae ofisini.
Usikute pia ni nyota ya wife wako ulifanya urudi job.

Binafsi nilipooa nilikuwa Sina mbele Wala nyuma.unafanya kazi miezi minne hujaiona salalry.
Ila Ile tu kuoa miezi Kama minne inapita napata job nasaini mktaba napata around $1.5k per month.
Nimeoa Sina kazi Ila naona Kama wife alikuja maisha yakanibadilikia.
Demu zangu wa chuo wakiona niliyofanya wanakuambia kumbe ulikuwa una akili,hawaakudhani hayo.
Mana Kuna mwingine ni lawyer unamuomba akutengenezee contract ya kitu fulani mpaka anashangaa.
Binafsi namshukuru Aliye juu ambaye anajua maisha yangu ni duniani yataisha lini.
 
Legend
 
Nilichojifunza ni kuwa, 'our parents always wish us the best'. And if the best is not their option, at least they won't lead you into the worst'.
Vijaana wengi wakishapata elimu ama wakiishi mjini wanadharau Sana ndugu zao wa vijijini wao wanajiona Kama wako sayari nyingine. Binafsi namie naamini Sana ndugu wazazi wanachosema nakifanya,
Mana hao waliopigana mpaka nikapata haka kaelimu ka mkoloni.

Pia huwa namwambia mtu kuwa angalia uwe na mwanamke pale ambapo utaumwa ulazwe hata miaka mitatu upo kitandani atakuwa na wewe daima.

Ama unaoza mguu unatoa funza angalia he huyo hatakukimbia so inatakiwa mke wako awe Mana yako wa ukubwani Mana anaweza akakutawaza.
Ukajisaidia kwa beseni ndani akaenda kumwaga kinyesi chooni.

Sema wengi twaoa kisa Cha emotions,yaani Ile dushele limevimba umenyonywa poa Sana akili ikaisha aka rational mind .
Ama umekutana na msomi mwenzako unaoa kisa Cha status Ila hujaoa Mke umeoa status.
Mie Kuna binti nilimwambia nimedisco second year akaniacha. Anashangaa naingia third year anaanza Tena kujileta Mara anakaa meza moja namie Ile cafteria. Nikampotezea mazima.
Yanai ukiwa kijana mdogo unawaza maisha ya movie. Ndo Mana demu wa chuo ukimuigizia mapenzi ya movie za kihindi,kibongo ama kifilipino. Unamuendea hata na gari ya dada ama ya shemeji anajiona yeye ndiye yeye. So unamvua chupi kirahisi sana afu anashangaa anaachwa.
Mme anayetaka kukupa hatakununulia chipsi ama kupeleka bichi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…