Ndoa ya kulazimishwa yageuka tamu na yenye baraka

Ndoa ya kulazimishwa yageuka tamu na yenye baraka

Huu usimuliaji wako mtamu sana sana, hauchoshi kuusoma na unafundisha sana, nimekumbuka uandishi na usimuliaji wa rabboni.283077, keisangora.216159 na relief-mirzska.438582/, wote niliowataja ninawatakia maisha mema sana sana, mnanipa moyo sana!!!
 
Maamae comment yangu ya juu nilisema binti hakuwa bikra na kweli umekuta ni used [emoji23][emoji23][emoji23] hawa wanawake hawa sio poa
Nimeshangaa kweli unakubalije kutafutiwa mwananamke chini ya miaka 19 halafu sio bikra...? Halafu alikaa kwenu kwa muda wa miaka 4 nyumbani kwenu kukusubiria[emoji23][emoji23]. Jamaa anajipa moyo tu huo mwanamke ana kaumalaya flani hivi kalichojificha.
 
Ni kweli. Lakini kitu used chenye hali nzuri inafaa sana.

Kwani gari unalotumia Mku, si used? Au ni brand new? Mbona bado limekuheshimisha na unadunda nalo kwa muda mrefu tu?

Anyway, nani kakudanganya kuwa mwanamke bikra pekee ndiyo hujenga familia bora? Au kila mtu na perception yake?
Sema Mkuu kama unajifariji flani hivi. Yaan binti wa miaka 18 ambaye ameishi kwenu tangu akiwa na miaka 14 umemkuta sio bikra[emoji23][emoji23][emoji23] hapo umeuziwa mbuzi kwenye gunia. Sema binti alikua anasubiria kwa kua una vicent
 
Nimeshangaa kweli unakubalije kutafutiwa mwananamke chini ya miaka 19 halafu sio bikra...? Halafu alikaa kwenu kwa muda wa miaka 4 nyumbani kwenu kukusubiria[emoji23][emoji23]. Jamaa anajipa moyo tu huo mwanamke ana kaumalaya flani hivi kalichojificha.
Au mzee baba wa huyo jamaa ndo alipiga tunda hilo 😂😂😂
 
Pytuuu mbaka!.

Bora useme aliliwa na vijana wenzangu lakini siyo mzee wangu!.

Ni laana kubwa na ni watu wanaoheshimiana mno!.
Don't take it seriously Mzee, n utani tuu ndo maana nikaweka na hizo emoji
 
Sema Mkuu kama unajifariji flani hivi. Yaan binti wa miaka 18 ambaye ameishi kwenu tangu akiwa na miaka 14 umemkuta sio bikra[emoji23][emoji23][emoji23] hapo umeuziwa mbuzi kwenye gunia. Sema binti alikua anasubiria kwa kua una vicent
Hahaha, Mkuu hapa nilikuwa nazungumzia namna gani nilivyopata familia bora.

Ishu ya visenti hakuna aliyekuwa anajua hata kama nina kazi. Mke nimeletewa ndo kwanza nipo mwaka wa pili.

So, ishu ya visent inakosa logic!.
 
Nimeshangaa kweli unakubalije kutafutiwa mwananamke chini ya miaka 19 halafu sio bikra...? Halafu alikaa kwenu kwa muda wa miaka 4 nyumbani kwenu kukusubiria[emoji23][emoji23]. Jamaa anajipa moyo tu huo mwanamke ana kaumalaya flani hivi kalichojificha.
Tuanzie kwako umeanza kufanya mapenz ukiwa ma umri gani ? Na ulikuwa unafanya na watu wa umri gani?

Maana swala la bikra halina umri kwamba akifikisha umri flan ndio bikra inakuwa imekomaa ipo tayari kutolewa, wapo waliopotez bikra enzi za utoto au wakati wa kuvunja ungo.

Bikra bora zaidi ipo kichwani sio kwenye k*m*

NB: sijasema walio mabikra sio bora
 
Mbona umeruka stori, ulipoishia sio ulipoendelea.

Yaani ume fast-forward.






Au nimekosea ndugu zangu..!
Ningeiendeleza lakini Wakuu wanalalamika kuwa ninachelewa.

Ikabidi vipande vingine viachiwe juu kwa juu!.
Kweli kabisa nilitaka kusema ivi.
Nilitamani kusoma zaidi nini kiliendelea.

Lakini tumepata somo.
 
Lo!. Well, I am happy that since when you got married you have never cheated on her and you look forward to shunning any kind of cheating.
Fatma,

I am a man!. I can't guarantee that I won't but what I'm 100% sure is even if I chear 'she won't be hurt'.

Ukweli mwingine unauma kwa kuufahamu. Kama hauufahamu basi haukuumizi hata kidogo. Hatafahamu kama nimecheat!.
 
Hahaha, Mkuu hapa nilikuwa nazungumzia namna gani nilivyopata familia bora.

Ishu ya visenti hakuna aliyekuwa anajua hata kama nina kazi. Mke nimeletewa ndo kwanza nipo mwaka wa pili.

So, ishu ya visent inakosa logic!.
Mkuu kijijini wakisikia mtu yupo chuo anasoma lazma wanajua atapata kazi zuri atakua na pesa.
Mkuu ww ni mtu wa kusini?
 
Naomba unielekeze hii mkuu
Kama una laini ya halotel nenda google Chrome search web ya freebasics.com
Halafu ikija utaona huduma za Bure zimejipangilia pale na JF utaiona Kama haitakwepo nenda pale chini utakuta wamesema ongeza huduma au utaserch JF page utabofya itakuja
Na Kwa urahisi zaidi utaisev kwenye screen yako
Jaribu halafu Leta mrejesho!
 
Back
Top Bottom