Ndoa ya mke mmoja ni maagizo potofu ya mwanadamu, sio Mungu. Ukweli huu hapa

Biblia imechezewa mno tuje kwenye Quran je inaeleza nini juu ya wake wengi?
 
Hata kuoa wanne ni maagizo potofu ya binadamu. Ima usioe uishi kimalaya au uoe hata milioni shauri yako.
 
Kwani dunia hii bado kuna wanaume wenzetu wana mke mmoja tu ?

Wachunguzwe watakuwa na tezi dume
 
Chochote amacho hakipo kwenye Kitabu kitakatifu Biblia ni "UONGO".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…