Gol D Roger
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 2,316
- 6,082
Ilikuaje?Juzi tu hapo mariam biriani kaolewa na jamaa katoka baru.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuaje?Juzi tu hapo mariam biriani kaolewa na jamaa katoka baru.
Bonge la pointi.Ndoa ndoano.
Ile miaka 8 ilikuwa mahusiano ya hiari.
Ndiyo maana wamedumu muda wote huo.
Kwenye ndoa ni mahusiano ya lazima. Huyu ni mke wangu, nimemuoa. Nimemtolea mahari. Nimemnunua. Hili jiko langu.
Ndiyo maana miezi miwili tu, kwishney.
acha tu mkuu nina masikitiko leo acha nilie😂😂😂kwa hiyo leo we unalia tu kila uzi?😂
wacheni jamani kuna mambo mazitoHapana, binti alikuwa kwao Jamaa kampata kitambo toka sekondari, mpaka kamaliza chuo na kuanza maisha yake. Hakupata kazi ila jamaa alikuwa naye muda mrefu
au mume kaomba jichoSio tena masuala ya hela?😂😂
Mnavyopenda sasa mambo ya jicho... hiv kwel zinaweza kosekana sababu zoooote!!au mume kaomba jicho
au mke kagundua mumewe analiwa jicho
sawa mkuu ngoja tuendelee kulia mpaka atakapofikaTusubiri msajili wa vyama aje
😿😢😿nimelia sana mkuu baada ya kuona jamaa alikua anajmba usikuUnaweza kukuta tatizo lao ni kwamba usiku jamaa anajamba sana ufuzi wa kuvunda.
Ndio maana wanaogopa kusema hadharani tatizo lao.
Mke kauchuna anaona aibu kusema mumewe anajamba mayai viza usiku.
sababu zipi?Mnavyopenda sasa mambo ya jicho... hiv kwel zinaweza kosekana sababu zoooote!!
Wanajuana wenyewe ila Binti analia tu huko.Ilikuaje?
Huwezi kuijua tabia halisi ya mkeo mpaka utakapofunga naye ndoa ya kanisani.Hili tatizo nimelishuhudia kwa watu wengi sana!Kama lipi mkuu, na waliwezaje kudumu miaka 8?
Hapa nakuunga mkono 100% unakua mkiishi mbali mbali ni rahis sana kuzunga.kuna vijitabia ambavyo kila mmoja anavyo na wameshindwa kuvumiliana
Lia kwa makubwanimelia sana 😿😢😿 umeshindwa kuelewa point yangu aisee
bongo dharau mkuu bora twende mbeleLia kwa makubwa
balaaa yaaniHapa nakuunga mkono 100% unakua mkiishi mbali mbali ni rahis sana kuzunga.
Kama ni siku ya mchuano, unategea mida unampakia mkongo show inakua show.. au manzi anajipiga ki vibrator mapema anaenda uwanjani
Sasa mkiwa ndani ya nyumba haya sio rahis kuyaficha kwa siki nying
Wizo hujaacha uchizi tyuu!! 🤣🤣🤣Unaweza kukuta tatizo lao ni kwamba usiku jamaa anajamba sana ufuzi wa kuvunda.
Ndio maana wanaogopa kusema hadharani tatizo lao.
Mke kauchuna anaona aibu kusema mumewe anajamba mayai viza usiku.