Ndoa yangu imetengenezwa mbinguni, nafurahia sana

Bado mapema sana. Umri wa makamo ukiupita bado unainjoi ndoa yako na mkeo hapo sasa njoo na uzi utoe ushuhuda
 
Kaoa juzi huyu dogo hajajua fitina za binadamu ambaye hajaumbwa kwa udongo,tofauti kubwa ya mwanamke na mwanamume Ni kuwa wao wameumbwa kwa nyama na wewe kwa vumbi

Hizi story ulizitoa wapi?
 

Mwaka wa 8 wa ndoa yangu ndipo nilipogundua I was wrong kwa kila nilichoamini, Mwombe Mungu sana ndugu, Mwanamke? He, basi tu ni akili kuishi nao. Kila la heri, narudia mwombe Mungu sana, u have a long journey to go.
 
Nmejaribu kupitia comments, 98% its either wanamuimbea mabaya au wanahisi sio kweli.
Kwani jamani, hiki jamaa anachosema hakiwezekani? Why are we negative? Au ndo ile samaki mmoja akioza then wote wameoza?
 
Nmejaribu kupitia comments, 98% its either wanamuimbea mabaya au wanahisi sio kweli.
Kwani jamani, hiki jamaa anachosema hakiwezekani? Why are we negative? Au ndo ile samaki mmoja akioza then wote wameoza?
View attachment 2468515
Humu watu wengi tumeumizwa sana hivyo hatuamini tena kama kuna watu wanaweza kupendana na kukaa pamoja muda mrefu. Mimi bado naamini watu wazuri wapo shida ni kuwapata hao watu sahihi ila mapenzi ya kweli yapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Humu watu wengi tumeumizwa sana hivyo hatuamini tena kama kuna watu wanaweza kupendana na kukaa pamoja muda mrefu. Mimi bado naamini watu wazuri wapo shida ni kuwapata hao watu sahihi ila mapenzi ya kweli yapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
1. Pole sana for that. No one should go thru that.
2. Help me something kutoka kwenye mtazamo wako, je Kwanin kama watu tuwe na hizo perception, je ni kwa sababu we never healed enough from the pain of heartbreaks?
Je, is it because we didnt knw how to deal with heartbreaks apart from kuzikusanya mioyoni mwetu?
Au n kwa sababu hatujatoa room ya ku experience upendo upya, so tunaendelea kuishi na mitazamo yetu tuliotoa kwenye maumivu?
 
Yote hayo uliyo orodhesha ni sababu zinazopelekea wengi wetu kujaa sumu kuhusu love relationship, vile wanadamu hatuna uwezo wa kuona ya mbeleni ama kumjua mtu kiundani mpaka siku mabalaa yatukute. Mapenzi ya kweli naamini bado yapo shida ni kukutana na watu sahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera sana brother, ila siku akikupiga na Bomu la Hiroshima Dunia yako itageuka juu chini.
 
Humu watu wengi tumeumizwa sana hivyo hatuamini tena kama kuna watu wanaweza kupendana na kukaa pamoja muda mrefu. Mimi bado naamini watu wazuri wapo shida ni kuwapata hao watu sahihi ila mapenzi ya kweli yapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiishi kwenye dhana ya uvumilivu na kukubaliana na maumivu utaishi better than dhana ya kuwaza kupata mtu mzuri na mwenye mapenzi ya kweli
 
Humu watu wengi tumeumizwa sana hivyo hatuamini tena kama kuna watu wanaweza kupendana na kukaa pamoja muda mrefu. Mimi bado naamini watu wazuri wapo shida ni kuwapata hao watu sahihi ila mapenzi ya kweli yapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu huu mwaka tujaribu kutafuta mapenzi ya kweli humu 😁
 
me and her we were yaani mimi na yeye tulitengezwa badala ya my wife and I were......

Kwa lugha yetu hiii, hata akikosea ni sawa, nyinyi ndio mnadhanigi kila ngozi nyeupe inajua kiingereza na kila mweusi akikosea anachekwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…