mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
Huwezi mkuu. Nimemshangaa mno huyo mama. Imagine Putin na mamlaka yake au hayati theodore roosevelt wa Marekani, au Jiwe au JK then awe lofa kweli? Muambie aiweke statement yake vizuri tuielewe. Kajikoroga sanaMamlaka ni mtonyo, hivi unaweza kukoroma na huna hata buku mfukoni[emoji1787]???
Yap mpango ni watoto wawili tu kwishaaInakuwaje miaka 10 mtoto 1?
Mna matatizo nyieYap mpango ni watoto wawili tu kwishaa
Kuamua kuwa na watoto wawili ni matatizo???Hapana hata kwetu tupo wawili na mm ndiyo mkubwa nina miaka 29 anayenifuata anamiaka 20 je baba na mama yangu walikuwa na matatizo???Mna matatizo nyie
Mna matatizo na mtakufa muishe bila kumbukumbuKuamua kuwa na watoto wawili ni matatizo???Hapana hata kwetu tupo wawili na mm ndiyo mkubwa nina miaka 29 anayenifuata anamiaka 20 je baba na mama yangu walikuwa na matatizo???
Mawazo finyu kufa kupo baba yangu kwao yupo pekee na ana miaka 62 kama sijasahau kwaiyo ww unazaa kijiji kwasababu ya kumbukumbu????Mna matatizo na mtakufa muishe bila kumbukumbu
Kafanye cloning ujizae mwenyeweKaa single Mkuu
Wanawake hawana faida katika Dunia yetu ya kidigitali
Afadhali hata wewe unaomba na kunyimwa, mwenzio hawezi kuomba wala hawezi kuhudumia mke kachoka kumpikia eti nampikia anakula lakini hakuna kitu kesi iko baraza, pole sana.Nimeishi na mwanamke miaka 10 tuna mtoto mmoja wakike yupo darsa la 5. Mimi ni fundi ujenzi nafanya kazi za mashirika kama NSSF, ALUMINIUM EMIRRAT naza mitaani ndogo ndogo.
Familia naihudumia kwa kila kitu na mke anafanya kazi siku nikikwama akitoa hata buku yake ni ugomvi. Sasa naona mwezi huu ndiyo mambo yamekuwa kuwa mambo baada ya project nyingi kusimama kwa hiyo kipato changu kimeshuka japo najitahidi kuhudumia familia kwa vyovyote.
Sasa imefika hatua hata unyumba nanyimwa inaniuma kila nikitaka kumwacha nikimwangalia mwanangu machozi yanatoka tu.
Vipi kuhusu kumchukua mwanangu ana miaka 10 wa kike je nikienda kisheria naweza kabidhiwa mwanangu?
MSAADA WA KIMAWAZO WANAJAMII.
I can feel your pain, tafadhali kaeni chini muongee. Na mwenyezi Mungu awatangulie. Usikubali Hilo kosa la kuvunja ndoa, baadhi ya wanawake ni viumbe wa ajabu sanaSasa imefika hatua hata unyumba nanyimwa inaniuma kila nikitaka kumwacha nikimwangalia mwanangu machozi yanatoka tu.
Itungwe sheria sasa kama baba akiyumba kifedha airuhusiwi mke kukimbia nyumba bali aoneshe support bila dharau.Wanawake wanatutesa Sana wanaume pindi mambo yanapoyumba
Hata akikaa hapo 24/7 kama alioa mtu wa watu atagongewa sana tu na atalea mbegu za wengine mpaka ashangae .Akirudi mke ana mimba ya bahasha mwengine
VIHELE HELE VYAO VYA KUOA.. ACHA WAISOME NAMBA VIZURIKataa Ndoa
Wewe Ni Kichaa Mkuu Kwani;?Mkuu kwa ninavyojua famili yao mtoto wangu atapata tabu sana ndiyo maana nikaomba kujua je ninaweza kwenda kisheria nikapewa mwanangu japo niwakikee???
prostitute 😡Kwa kamasi hizi zinazokutoka una kipi sasa cha kuvutia mwanamke na wewe hebu usinichekeshe, wanawake huwa hatuhangaiki na mwanaume anaelizwa na mwanamke maana tunajua ni boya flani hivi, fatilia utagundua wanawake tunamkimbilia sana mwanaume anaeliza wanawake sio anaelilia wanawake km wewe