Ndoa yangu ya JF imenipatia mtoto

Haha..!
My wangu huku kupatamo kahechiibi ni muujiza kabisa labda ufunge na kuomba..!
 
🀣🀣🀣 Labdwa ulikuwa my skulimeti.. nikiwa la kwanza inamaliza la saba..
Upo Kaka, mke wako humu.. yupo wapi siku hizi?
Ah yule alinifumania na kamchepuko akakasirika naye akaenda kuchepuka.... Sasa yaelekea kanogewa kwa mchepuko kaniacha mazima.... Wakati mimi mchepuko wangu ulishaniacha hivi sasa natafuta mke mwingine na kamchepuko kengine....
 
Ah yule alinifumania na kamchepuko akakasirika naye akaenda kuchepuka.... Sasa yaelekea kanogewa kwa mchepuko kaniacha mazima.... Wakati mimi mchepuko wangu ulishaniacha hivi sasa natafuta mke mwingine na kamchepuko kengine....

Yaani huu mzunguko umeniacha mataa.. kaa mwenyewe hivyo hivyo πŸ˜‚
 
Ningeweza hivyo hivi sasa ningeshakuwa Paroko wa Parokia kuu...

Haka kajamaa huku chini ni kasumbufu sana.... Kana njaa kali mno

Acha nikape kitu kanataka....

Maneno yako siku hizi πŸ€­πŸ™†πŸ½β€β™€οΈπŸ™†πŸ½β€β™€οΈπŸ™†πŸ½β€β™€οΈ
Acha kumuumiza.. atasoma humu..
🀣🀣🀣🀣
 
Kwamba ulipata mke jamii forums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…