Ndoa za wake wengi ni chaguo la mwanaume na kwa wanawake ni mila na suna ya imani na hulka ya wingi ndani ya nafsi za kike

Ndoa za wake wengi ni chaguo la mwanaume na kwa wanawake ni mila na suna ya imani na hulka ya wingi ndani ya nafsi za kike

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Habarini nyote na Amani iwe nanyi

Mimi Chief Wadiz muumini wa haki na uhuru nasema hivi kupotosha haki na uhuru si sawa

Sisi Wanaume tumeumbiwa hitaji na kiu ya wanawake wengi hivyo tuna haki na halali ya kuoa wake wengi iwe kimila au katika dini na hata historia ya mitume wengi hata baba yetu Solomon inatupa Kinga na uhalali.

Kwa mantiki hio hakuna wa kupinga uwepo wa ndoa za wake wengi na kuwazodoa wanawake.

Wanawake sio Mazombi wana akili timu, wana hiari, wana haki na uhuru wa kuamua chochote.

Pia mwanamke ni kiumbe asiyependa upweke na Ubwela bwela wa kuzubaa ameumbiwa moyo na nafsi ya ushindani tena baina yao wanawake hivyo kuwa na ndoa ya wake wengi ndio ndoa sahihi, na ndoa za mke mmoja mmoja zina mapungufu na migogoro ya wanawake kusigana na waume zao ndoa za wake wengi huwapa nafasi wanawake kuishi uwanawake wao (feminism) inakuwa active.

Mwanamke ni kiumbe cha kushindana na kufananisha mazuri na mabaya oa wake wengi ili uishi na wake wenye utii na heshima halisi ya kike.

Narudia tena wanawake sio Mazombi, kuwa mke mwenza sio ubaya ubwabwa ni mwanaume binafsi alojisikia kupungukiwa na kuongeza mahitaji yake juu ya matumizi ya huyo ama hao wanawake wa ziada.

Pia ipogo mantiki ya wingi ni nguvu na utajiri ukiona unakerwa na wingi ujitafakari.

Kuoa mwanamke mmoja si tafsiri ya uzuri wa mwanamke huyo mmoja. Kila mwanamke huolewa kwa hitaji na kusudi yenye msingi thabiti.

Kuwa mke wa pili ama mke mwenza sio uzuzu, wala si uzombi, ijulikane ni akili kubwa ya kujielewa kuishi kusudi na furaha ya maisha, sambamba na kuishi mila desturi na Imani zetu zote.

Tuache fikra za kijima hata mitihani Ina chaguo la jibu yote hapo juu ni sahihi (a,b,c na d yote ni sahihi.

Nawasihi wanaotaka kuoa na ndoa waoe wanawake wengi na wanawake wajiamini kuwa ni wazuri ndiomana wanahitajika.

Tuendelee kuunga mkono uhuru na maamuzi binafsi haki ilindwe kwa nguvu zote.

Uhuru na Haki ni Msingi wa Akili Mtambuka.

Shukrani 🙏🙏🙏

Chief Wadiz a.k.a Chief Mapenzi
 
Habarini nyote na Amani iwe nanyi

Mimi Chief Wadiz muumini wa haki na uhuru nasema hivi kupotosha haki na uhuru si sawa

Sisi Wanaume tumeumbiwa hitaji na kiu ya wanawake wengi hivyo tuna haki na halali ya kuoa wake wengi iwe kimila au katika dini na hata historia ya mitume wengi hata baba yetu Solomon inatupw Kinga na uhalali.

Kwa mantiki hio hakuna wa kupinga uwepo wa ndoa za wake wengi na kuwazodoa wanawake.

Wanawake sio Mazombi wana akili timu, wana hiari, wana haki na uhuru wa kuamua chochote.

Pia mwanamke ni kiumbe asiyependa upweke na Ubwela bwela wa kuzubaa ameumbiwa moyo na nafsi ya ushindani tena baina yao wanawake hivyo kuwa na ndoa ya wake wengi ndio ndoa sahihi, na ndoa za mke mmoja mmoja Zina mapungufu na migogoro ya wanawake kusigana na waume zao ndoa za wake wengi huwapa nafasi wanawake kuishi uwanawake wao (feminism) inakuwa active.

Mwanamke ni kiumbe cha kushindana na kufananisha mazuri na mabaya oa wake wengi ili uishi na wake wenye utii na heshima halisi ya kike.

Narudia tena wanawake sio Mazombi, kuwa mke mwenza sio ubaya ubwabwa ni mwanaume binafsi alojisikia kupungukiwa na kuongeza mahitaji yake juu ya matumizi ya huyo ama hao wanawake wa ziada.

Pia ipogo mantiki ya wingi ni nguvu na utajiri ukiona unakerwa na wingi ujitafakari.

Kuoa mwanamke mmoja si tafsiri ya uzuri wa mwanamke huyo mmoja. Kila mwanamke huolewa kwa hitaji na kusudi yenye msingi thabiti.

Kuwa mke wa pili ama mke mwenza sio uzuzu, wala si uzombi, ijulikane ni akili kubwa ya kujielewa kuishi kusudi na furaha ya maisha, sambamba na kuishi mila desturi na Imani zetu zote.

Tuache fikra za kijima hata mitihani Ina chaguo la jibu yote hapo juu ni sahihi (a,b,c na d yote ni sahihi.

Nawasihi wanaotaka kuoa na ndoa waoe wanawake wengi na wanawake wajiamini kuwa ni wazuri ndiomana wanahitajika.

Tuendelee kuonga mkono uhuru na maamuzi binafsi haki ilindwe kwa nguvu zote.

Uhuru na Haki ni Msingi wa Akili Mtambuka.

Shukrani [emoji120][emoji120][emoji120]

Chief Wadiz a.k.a Chief Mapenzi
Acha mambo ya mila na utamaduni kama huna pesa ndoa ya wake zaidi ya moja huiwezi, hata kama unasimamisha siku nzima bila kudhusha.......pesa pesa pesa.
 
Acha mambo ya mila na utamaduni kama huna pesa ndoa ya wake zaidi ya moja huiwezi, hata kama unasimamisha siku nzima bila kudhusha.......pesa pesa pesa.
Ni wewe ndio huna pesa na hujiamini linda haki na uhuru wa kila mtu, pia wewe sio mbwa wala mende wa kizungu au kiarabu Ndoa zilikuwepo kabla ya hao vibwengo wenu wa kizungu na kiarabu
 
Habarini nyote na Amani iwe nanyi

Mimi Chief Wadiz muumini wa haki na uhuru nasema hivi kupotosha haki na uhuru si sawa

Sisi Wanaume tumeumbiwa hitaji na kiu ya wanawake wengi hivyo tuna haki na halali ya kuoa wake wengi iwe kimila au katika dini na hata historia ya mitume wengi hata baba yetu Solomon inatupa Kinga na uhalali.

Kwa mantiki hio hakuna wa kupinga uwepo wa ndoa za wake wengi na kuwazodoa wanawake.

Wanawake sio Mazombi wana akili timu, wana hiari, wana haki na uhuru wa kuamua chochote.

Pia mwanamke ni kiumbe asiyependa upweke na Ubwela bwela wa kuzubaa ameumbiwa moyo na nafsi ya ushindani tena baina yao wanawake hivyo kuwa na ndoa ya wake wengi ndio ndoa sahihi, na ndoa za mke mmoja mmoja zina mapungufu na migogoro ya wanawake kusigana na waume zao ndoa za wake wengi huwapa nafasi wanawake kuishi uwanawake wao (feminism) inakuwa active.

Mwanamke ni kiumbe cha kushindana na kufananisha mazuri na mabaya oa wake wengi ili uishi na wake wenye utii na heshima halisi ya kike.

Narudia tena wanawake sio Mazombi, kuwa mke mwenza sio ubaya ubwabwa ni mwanaume binafsi alojisikia kupungukiwa na kuongeza mahitaji yake juu ya matumizi ya huyo ama hao wanawake wa ziada.

Pia ipogo mantiki ya wingi ni nguvu na utajiri ukiona unakerwa na wingi ujitafakari.

Kuoa mwanamke mmoja si tafsiri ya uzuri wa mwanamke huyo mmoja. Kila mwanamke huolewa kwa hitaji na kusudi yenye msingi thabiti.

Kuwa mke wa pili ama mke mwenza sio uzuzu, wala si uzombi, ijulikane ni akili kubwa ya kujielewa kuishi kusudi na furaha ya maisha, sambamba na kuishi mila desturi na Imani zetu zote.

Tuache fikra za kijima hata mitihani Ina chaguo la jibu yote hapo juu ni sahihi (a,b,c na d yote ni sahihi.

Nawasihi wanaotaka kuoa na ndoa waoe wanawake wengi na wanawake wajiamini kuwa ni wazuri ndiomana wanahitajika.

Tuendelee kuunga mkono uhuru na maamuzi binafsi haki ilindwe kwa nguvu zote.

Uhuru na Haki ni Msingi wa Akili Mtambuka.

Shukrani 🙏🙏🙏

Chief Wadiz a.k.a Chief Mapenzi
Modern world imebadilika sana, hata kumiliki wanawake wengi you need financial power ya kuwa sustain. Tafuta pesa hatuishi 1970s anymore
 
Kwa dunia ya sasa, inabidi uishi maisha yanayokuja furaha
Chaguo lako ndilo litaamua uishi vipi
 
Ndoa mke zaidi ya mmoja wataipinga, watakwambia ni unyanyasaji

Lakini Mwanamke kupigwa miti na watu wawili au zaidi kwa pamoja safi tu

Au Wanawake wawili kupigwa kwa pamoja na jamaa mmoja sawa tu


🚮🚮
 
Back
Top Bottom