raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Halafu mbona hizo missed calls kama chache tuu huyu jamaa kapaniki bure 😄 Wengine simu haziiti kabisa unaambiwa tu ona ilizima chaji 😂🤣Missed calls 16, hizi ndoa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu mbona hizo missed calls kama chache tuu huyu jamaa kapaniki bure 😄 Wengine simu haziiti kabisa unaambiwa tu ona ilizima chaji 😂🤣Missed calls 16, hizi ndoa.
🤣🤣🤣Jamaa kama undertaker kwenye mieleka sio poa
Kelsea unacheka 😄 angalia na wewe usije ukapigwa rest in peace🤣🤣🤣
Kila mtoto wa mtaani ni shoga na changudoa? Au kila shoga na changudoa ni mtoto wa mtaani??Biashara ikiwa ngumu, binadamu anatafuta ufumbuzi ,anaishinda
Kazini mazingira magumu kweli ya kazi , binadamu anatafuta ufumbuzi ,anaishinda
Maisha hata yawe magumu vipi, binadamu anatafuta ufumbuzi ,anaishinda
Lakini mtego wa kwenye ndoa ,changamoto kidogo, binadamu anawaza kukimbia.Kibaya kishazaa,anaandaa mtoto wa mtaani akawe changudoa au shoga.
😂 Yesu nitie nguvu nimalize mwendo salama (in William Yilima sound)Alafu mbona hizo missed calls kama chache tuu huyu jamaa kapaniki bure 😄 wengine simu haziiti kabisa unaambiwa tu ona ilizima chaji 😂🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maumivu ...maumivu..ukute hapo ni pahala tu sisi wapita njia tunaona kwa juu juu.
Huko kuna vichaa wengi sana kwenye Ndoa.
Hakuna.Sasa uo upande wapili ataleta nani ili tujue shida n nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alafu mbona hizo missed calls kama chache tuu huyu jamaa kapaniki bure [emoji1] wengine simu haziiti kabisa unaambiwa tu ona ilizima chaji [emoji23][emoji1787]
cocastic unaona michezo yenu hiyo mwaka huu ni mwendo smack down tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sipo upande wowote ila missed call 16 ni nyingi kumpandisha mtu mahasira.Hakuna.
Ila kuna vichwapanzi watakuja hapa kumpongeza huyo jamaa, utaskia 'mwanaume unatakiwa uwe na sauti' hawajali muktadha.
Wabobevu hawana muda wa kuangalia tena hayo mambo 😄😂 Yesu nitie nguvu nimalize mwendo salama (in William Yilima sound)
Alafu anawasha infinix yake ina 64%.
Ni mwendo wa smack down tu mwaka huuIla ndoa hizi.
🤣🤣🤣 Mungu aepushe mbali. Bado napenda kuishi
Ila hizi ndoa zinahitaji ujitoe na ujinyime sana, uhuru ndio kwisha kwa wengi.Wabobevu hawana muda wa kuangalia tena hayo mambo 😄