Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Hajielewi huyo Baba hapo alivyo mkaba akimng'ata kengele zake atasemaje! Huyo mke akiache tu abaki mwenyewe, ukute hata huko ndani nitia maji tia maji mke anamvumilia tu nakumtunzia siri pumbafu kabisa, waliosema kujenga nyumba nakuweka vyumba anazani hawana akili kwanini kumdhalilisha mkeo hivyo , hizo chuki mpaka kwa watoto wake .