Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii video ime nifikirisha sana
Aibu yote hii ya nini barabarani usiku ni upendo wa jamaa tuu kwa huyo mkewe ama ni nini kwann asingesubiri mpk wafike nyumbani
😂😂😂😂Jamaa kama undertaker kwenye mieleka sio poa
😂😂 kuchapiwa kunaumaJamaa kama undertaker kwenye mieleka sio poa
Hizo siyo ndoa za Kiislam.Ndoa ni kama dini,watu wameaminishwa hakuna kutengana,ivo wameuza nafsi zao huko....kufa kupona
Ongea sana, jifanye alpha male ila omba yasikukuteHuyo mwanaume naye ana akili za kitoto sana.
Kama anahisi mkewe anamsaliti kwanini asiachane naye?
Kwani ndoa ni jambo la kulazimishana?
Nani anampa huyo mwanaume haki ya kumtesa au kumkaba ili kumuua huyo mkewe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]angekua sister angu kafanyiwa ivo kesho yake ningekua ningekua nguvuni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo kibokoooo, khaaahAnapigana na mkewe kama anapigana na kibaka, mkeo umamweka chini kama lijuha vile!
Kuna mmoja alikuwa anampiga mkewe sijui alimminya kweli akawa anashitakia kaniminya pulu zangu mke akadakia nikuminye zipi wakati hizo zimesimyaa kama biringanya zilizokauka ningeminya nini![emoji3]
😘 ya kikristo ubeberu mwingi....tumeshindwa jifunza hata kwa Suleiman.... Au kubaki kama masihi na pauloHizo siyo ndoa za Kiislam.
Kiislam, kuowana kuwachana ndiyo sheria.
Na hapo ndio kwenye tatizoNdoa ni kama dini, watu wameaminishwa hakuna kutengana,ivo wameuza nafsi zao huko....kufa kupona
sio ndoa tu,kwa sasa kila kitu ni changamoto,ila ndoa kwakuwa ni taasisi muhimu kwenye maisha,changamoto zake zinapewa nafasi kubwa mno,kuelezewa.Ndoa zinataka uvumilivu mkubwa sanaHabari wadau.
Video inatrend ya kaka mwenye gari aina ya IST namba T 290 CBR
Ambaye alisimamisha gari yake na kuanza kumkaba mkewe nusu kumuua huku akiongea maneno makali kwamba mkewe sio muaminifu
Tazameni video ya tukio
View attachment 2865754
Ndugu yangu kwa hiyo unafkiri yule jamaa amelewa pombe kasimamisha gari na kuanza kumkaba mke wake???Stori ya upande mmoja hii mkuu😅 bibiye nae hatujamsikiliza, au naleta ufeminist?
ni kweli ni vyema kusikiliza pande zote mbiliNdugu yangu kwa hiyo unafkiri yule jamaa amelewa pombe kasimamisha gari na kuanza kumkaba mke wake???
Kuna uzi humu ulisema watanzania tumelishwa kitu na wanasiasa ili tusijitambue wao waendelee kututafuna huenda kuna ukweliHabari wadau.
Video inatrend ya kaka mwenye gari aina ya IST namba T 290 CBR
Ambaye alisimamisha gari yake na kuanza kumkaba mkewe nusu kumuua huku akiongea maneno makali kwamba mkewe sio muaminifu
Tazameni video ya tukio
View attachment 2865754