Ndoa zimekuwaje? Kuna Video inatrend leo Mume akimkaba mkewe na kutaka kumuua live barabarani

Ndoa zimekuwaje? Kuna Video inatrend leo Mume akimkaba mkewe na kutaka kumuua live barabarani

Ila jamaa kweli kazingua
Unaanzaje kupigana kwa style hiyo ya mauaji na mwanamke
Yeye mwenyewe kamruhusu aende huko aliko enda huwezi jua sherehe ilipamba moto dada wa watu akawa hasikii simu
Anapigana na mkewe kama anapigana na kibaka, mkeo umamweka chini kama lijuha vile!

Kuna mmoja alikuwa anampiga mkewe sijui alimminya kweli akawa anashitakia kaniminya pulu zangu mke akadakia nikuminye zipi wakati hizo zimesimyaa kama biringanya zilizokauka ningeminya nini![emoji3]
 
Kitu Wanawake hawajui ni kadri mwanaume anapokupigia simu afu haupokei ndivyo inavyozidi kupandisha hasira mwanaume .

Najua wanawake wengi huona bora asipokee simu kwa kuepuka kufokewa kwenye simu na kujipa moyo kuwa akifika nyumbani watayajenga . Lakin wasichojua sisi wanaume hufafanua hiyo ni kama dharau na kuamini kile tunachokiamini kwenye akili yetu kwa wakati huo kama vile ananisariti muda huu ndyo maana hapokei simu yangu .

Tisa kumi . Unaweza kujiuliza ni nini kimepelekea huyu mwanaume kuhisi kusalitiwa ?? Kwanini hajawaza labda mkewe alikuwa mbali na simu au alikuwa simu kaiweka silent mode ??.

Hapa kwa uzoefu wangu . Jibu ni kuwa huyu jamaa huende huko nyuma alishawahi fumania mesegi au maongezi fulani ya mkewe ambayo yaliashiria usaliti na kuamua kumsamehe mkewe lakini toka hapo amekuwa hamuamini tenaaa mkewe na ndiyo maana hata simu iliposhindwa kupokelewa moja kwa moja yeye kawaza mkewe alikuwa kaenda kumsaliti tu na si vinginevyo.
Kwanini upige simu zaidi ya mara mbili?
 
Huyo mwanaume naye ana akili za kitoto sana.
Kama anahisi mkewe anamsaliti kwanini asiachane naye?
Kwani ndoa ni jambo la kulazimishana?
Nani anampa huyo mwanaume haki ya kumtesa au kumkaba ili kumuua huyo mkewe?
Mkuu watu tunatofautiana kuitikia mambo,yani ukiona unaweza wa kutuliza hasira na kuzungumza na mtu kwa utaratibu unakuwa umebahatika sana! Hapo lazima Kuna mambo yanaendelea kwenye hiyo familia so hicho kimekuwa kisingizio tu, imagine saa12 mpaka saa4 usiku mkeo hapokei simu,missi calls 16,so mwamba anajua kachapiwa ndiosababu kapaniki
 
Back
Top Bottom