raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Yaani uue mtu kisa mapenzi aiseee😂😂😂nyumbani angeua kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani uue mtu kisa mapenzi aiseee😂😂😂nyumbani angeua kabisa
Dada wa jf hawakamatiki sio 😄 mmetishaHa haaa atakuwa sio member wa jf huyo maana sio mjanja
na ipasua 😂😂😂,😂 Yesu nitie nguvu nimalize mwendo salama (in William Yilima sound)
Alafu anawasha infinix yake ina 64%.
Ndiyo watu walivyo siku hiziYaani uue mtu kisa mapenzi aiseee
Sasa si kazipiga mwenyewe zingeweza kuwa hata miamissed calls 16 usubiri hadi nyumbani inahitaji hekima sana
Hahahaaaaa over my dead body yaani maisha yangu yabadilike ghafla sabb ya mtu mwingine hapana aiseee labda kwa kitu kingine sio mapenziNdiyo watu walivyo siku hizi
Hao hawakuwa watoto wake halali na wanalaanakuna jamaa zangu walimvunja mguu dindi yao alikua akilewa anampiga mama yao sasa ije kua tu uyu pimbi
anatakiwa anende kwao na POP ya shingoUnapigia mtu missed call 16 halafu hakuingizii hata shilingi kumi?? kweli ndoa zina vituko. Missed call 3 tu zinatosha kumrudisha mwanamke kwao akafunzwe adabu na shangazi zake.
kumbee😅🙌Sasa si kazipiga mwenyewe zingeweza kuwa hata mia
Unakamatikaje kwa mfano, popote pale ukipigiwa simu unapokea..na mambo yako yanaendelea vzr tuDada wa jf hawakamatiki sio 😄 mmetisha
Alaf huyo mwanamke akiuliwa kusiwe na ushahidi sio??Mambo kama hayo sio ya kurecord watu hawana ustaarabu....
Weee atakama jamaa anasimamia ukucha 😄Unakamatikaje kwa mfano, popote pale ukipigiwa simu unapokea..na mambo yako yanaendelea vzr tu
Eti mahari inawauma💆Hahahaaaaa over my dead body yaani maisha yangu yabadilike ghafla sabb ya mtu mwingine hapana aiseee labda kwa kitu kingine sio mapenzi
Sema binadamu tumeumbwa tofauti tofauti kila mmoja ana namna yake ya kuhimili mattzEti mahari inawauma💆
Yeah,ni kweli kabisaSema binadamu tumeumbwa tofauti tofauti kila mmoja ana namna yake ya kuhimili mattz
Simu inapokelewa vzr nakwambia.. Au mkimaliza tu unampigia hapo hapo yaani isizidi robo saa hujapigaWeee atakama jamaa anasimamia ukucha 😄
Wanawake kweli sasa mmewezeshwa mnawezaSimu inapokelewa vzr nakwambia.. Au mkimaliza tu unampigia hapo hapo yaani isizidi robo saa hujapiga