Ndoa zimetengeneza vichaa wengi sana mtaani

Ndoa zimetengeneza vichaa wengi sana mtaani

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Ukweli ndioo huo kila siku mtaaan watu wanaongeaa peke yao kama wako na famlia unawaza anaongea na nanii..loh
1717795966519.jpg
 
Tatizo watu wengi wanaingia kwenye ndoa wakiwa na matarajio makubwa hasa wanaume, someone needs to tell these men that expectations lead to disappointments most men are too demanding more than what women can offer, yani wao wanaamini kwamba mwanamke aliumbwa na sifa zote ambazo mwanaume anazipenda
 
Tatizo watu wengi wanaingia kwenye ndoa wakiwa na matarajio makubwa hasa wanaume, someone needs to tell these men that expectations lead to disappointments most men are too demanding more than what women can offer, yani wao wanaamini kwamba mwanamke aliumbwa na sifa zote ambazo mwanaume anazipenda
Hata post ambayo inaelimisha tu, wewe utawasema wanaume.

Hata hivyo, na wanawake wanaamini wanaume wana kila kitu cha kumpa mwanamke.

Zemanda.
 
Vijana rejeeni utaratibu wa zamani wa wazee kuwatafutia watoto zao wanawake wanaoona wanawafaa,achaneni na biashara za shape,sijui elimu wengine kutaka wake wanaofanya kazi ili wawasaidie majukumu ya familia.

Cha kuzingatia anapotafutwa mwenza ni je atafaa kuwa mzazi wa watoto wako?hiyo shape au elimu yake in reality huwa haina maana tokeni mijini kaoeni vijijini kwenu huko bado kuna watoto wazuri wenye malezi sahihi.
 
Tukiwaambia kataa ndoa wanatuona sie vilaza na wakwepa majukum.

Kataa ndoa 3 wenye ndoa 0.
 
Tatizo watu wengi wanaingia kwenye ndoa wakiwa na matarajio makubwa hasa wanaume, someone needs to tell these men that expectations lead to disappointments most men are too demanding more than what women can offer, yani wao wanaamini kwamba mwanamke aliumbwa na sifa zote ambazo mwanaume anazipenda
Kwamba wanaume wana matarajio makubwa kuliko wanawake?Mmmmff!Haohao wanawake wanaopenda harusi kuliko ndoa?
 
Vijana rejeeni utaratibu wa zamani wa wazee kuwatafutia watoto zao wanawake wanaoona wanawafaa,achaneni na biashara za shape,sijui elimu wengine kutaka wake wanaofanya kazi ili wawasaidie majukumu ya familia.

Cha kuzingatia anapotafutwa mwenza ni je atafaa kuwa mzazi wa watoto wako?hiyo shape au elimu yake in reality huwa haina maana tokeni mijini kaoeni vijijini kwenu huko bado kuna watoto wazuri wenye malezi sahihi.
Nasikia korea kusini wana utaratibu wao , mkioana lazima mmoja aache kazi ili kubaki nyumbani kati ya mke na mume .Kuna dada nilimsikia akihojiwa.
 
Back
Top Bottom