OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
- Thread starter
-
- #141
Mnaoota na kuamini ktk ndoto mnacheza na probability of events hamna utofauti na mtu anaye betSasa wewe uliyeandika ndoto ZIPUUZWE tu hukujua kama kuna watu wanaota na ndoto zao huwa kweli!? Acha KUKURUPUKA.
Mnaoota na kuamini ktk ndoto mnacheza na probability of events hamna utofauti na mtu anaye bet
Sawa mkuuπTuondolee upumbavu wako hapa. Sijui unaishi dunia gani ambayo hujawahi kusikia kuna watu wanaota na walichokiota kinatokea. Acha ubishi wa kipumbavu.
Labda nikuulize swali jepesi nikihusishanisha na maelezo yako ya usasa na teknolojia. Hivi jua au mwezi vimeshawahi kubadirika ukilinganisha na usasa na teknolojia zenu unazoziongelea? Je mbona husemi jua limepita na wakati au nguvu yake imepungu ukilinganisha na nyakati.Habari wakuu,
Kama unaota unakimbizwa na majini, unaota mtoto wako wa kumzaa sio wako, unaota upo darasani mnafundishwa na lecturer ilihali ulishamaliza chuo kitambo na upo kazini tayari, unaota ndugu yako kafariki, unaota umekuwa Raisi wa JMT ili hali hujawahi kuwa hata barozi wa nyumba kumi n.k
View attachment 1912293
Puuza hizo ni ndoto tu hazina maana yeyote, usihangaike kutafuta mtu akutafsirie atakujaza ujinga na imani mbovu mbovu,
Mtu anayeamini ktk ndoto hana utofauti na yule anayeamini kuwa dunia ni bapa, hana utofauti na mtu anayeamini kuwa ukiwa vitani ukitamka neno maji risasi zinazopigwa kuelekea kwako zitageuka kuwa maji.
Hii thread itaendeshwa kwa njia/mtindo wa maswali, maana nikisema nianze kueleza kila kitu ni ngumu sana kumaliza kueleza mambo yote maelezo ni mengi sana, ila maswali yataniguide na nitafafanunua kiundani zaidi (deep) kila mtu ataelewa vizuri kabisa.
Nakaribisha maswali.
Unatumia hoja za kidini kujibu hoja ya kisayansi, ahsante kwa maoni yako mkuuLabda nikuulize swali jepesi nikihusishanisha na maelezo yako ya usasa na teknolojia. Hivi jua au mwezi vimeshawahi kubadirika ukilinganisha na usasa na teknolojia zenu unazoziongelea? Je mbona husemi jua limepita na wakati au nguvu yake imepungu ukilinganisha na nyakati.
Mwaka 2017 niliandika ndoto niliyoiona mwaka huo kuhusu Nchi na Rais wa nchi hii. Watu walinikebehi na kusema maneno Kama yako lakini mwaka 2021 Ile ndoto ilithibitishwa. Kwa hiyo Kama hujui kubali kujifunza ukiachana na kukaza shingo yako ukavunjika. Mungu yupo hai na Wala hajafa. Amefanya mengi ya kutisha Sana. Je wewe unayeandika haya mpaka Leo na umri ulionao umefanya nini hata kwenye mtaa wako? Ukashindwa hata kutafakari vitu vidogo tu utaweza kutafakari mambo makubwa?
Sayansi inahitaji facts, na facts unazipataje?Unatumia hoja za kidini kujibu hoja ya kisayansi, ahsante kwa maoni yako mkuu
Tatizo linaanzia hapo kwenye ImaniSayansi inahitaji facts, na facts unazipataje?
Pitia kwenye akaunti yangu utaona post ya mwaka 2017 na ulinganishe na tukio la kifo Cha Magufuli
Kwa Mungu Kuna facts na siyo maigizo. Mtu akiwa anaumwa akapime hospitali na baada ya hapo Mungu amponye unaruhusiwa kwenda kumpima. Na siyo maigizo ya baadhi ya watumishi.
Probability of eventsKwa ndoto hii naomba tuombee nchi yetu Tanzania na pia tumuombee rais wake
kwanza niombe radhi kwa kuwa si muandishi mzuri ila ninachohitaji ni kufikisha ujumbe.. Katika kumbukumbu zangu mwaka 2012 nilikuwa na wazee kwenye kijiwe kimoja mjini wakawa wanawataja watu ambao wanaweza kuwa marais wa Tanzania baada ya mheshimiwa JK. Lakini mimi nikajikuta nimemtaja Jpm kuwa...www.jamiiforums.com
Mkuu nina maswali mawili naomba ufafanuzi,Kwanza kabisa nimefurahi kuona unauelewa kidogo kuhusu mambo ya mind hasa hasa aya yako ya kwanza,
Lakini hoja yako ya kusema kuwa sehemu ya mind iko connected na universe ni sawa na kusema human mind eixist out of the body DUALITY THEORY ya karne ya kumi na saba ndiyo unayoiongelea hapa wewe ya bwana RENE DISCARTE ambayo ilikuwa proved wrong baadae,
Kiufupi ni kwamba
Human mind does not exist outside the body
ukihitaji proof nitakuelewesha.
HongeraImani potofu
Kwanza kabisa ili uote kitu lazima kuwepo na kumbu kumbu za taarifa mbali mbali kwenye ubongo wako ( short term and long term memmory).Mkuu nina maswali mawili naomba ufafanuzi,
1. Unaweza kunielezea mtu asiyeona/kipofu ndoto zao huwa katika mfumo gani tuseme alizaliwa hivyo
Kwenye ubongo kuna sehemu inayohusika na kuiga kwa mtindo wa kioo, yaani ukimuoma mtu flani anafanya jambo flani na wewe unajikuta umeiga au kufanya kama lilivyo mfano mtu akipiga miayo na wewe unaweza ukajikuta tu unapiga miayo automatic,2. Je kwa watoto wachanga mara nyingi wakiwa kwenye ndoto hutabasamu as if wameona kitu cha kufarahisha kwenye ndoto, Unaweza kuelezea hii inakuaje? Ukizingatia hawajafikia umri wa kuona na kuweza ku interpret jambo zuri au baya.
Fafanua mkuuI Am Everythings
ukiwa unaota halafu ukajijua kwamba hii ni ndoto ishawahi kukutokea hiyoo?Fafanua mkuu
Ni ubongo ndio unao ratibuukiwa unaota halafu ukajijua kwamba hii ni ndoto ishawahi kukutokea hiyoo?ni
π ππ duuh sawaNi ubongo ndio unao ratibu