MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,727
- 6,615
Wadau naomba kujua hii ndoto ina maana gani
Mara ya Kwanza niliota napaa angani nikawa najisikia vizuri sana maana nilikuwa naona watu kwa chini wakinishangaa navyopaa angani!
Nikazurura zangu weee wakati wa kutua chini nikatua fresh bila tabu
Haikupita mwezi nikaota tena ndoto ile ile tena mara mbili kwa usiku mmoja. Mara hii nlikuwa nakwepa nyaya za umeme vibaya mno. Nakutana na nyaya za high voltage lakini kwa njia ya ajabu nikawa nazikwepa bila tabu. Na mwisho wa siku nikatua Kama kawaida.
Naombeni tafsiri wadau
Mara ya Kwanza niliota napaa angani nikawa najisikia vizuri sana maana nilikuwa naona watu kwa chini wakinishangaa navyopaa angani!
Nikazurura zangu weee wakati wa kutua chini nikatua fresh bila tabu
Haikupita mwezi nikaota tena ndoto ile ile tena mara mbili kwa usiku mmoja. Mara hii nlikuwa nakwepa nyaya za umeme vibaya mno. Nakutana na nyaya za high voltage lakini kwa njia ya ajabu nikawa nazikwepa bila tabu. Na mwisho wa siku nikatua Kama kawaida.
Naombeni tafsiri wadau