namshukuru Mungu nimepata tafsiri ya ndoto zangu zote. kwa kifupi, ndoto iliyonitisha kuliko zote ilikuwa ile nimevaa na nimeelekea mbele za watu wenzangu wamevaa nguo na viatu mimi nimevaa nguo lakini sina viatu natembea hivyohivyo....maana ya ile ndoto ni kwamba nilikuwa nimepungua nguvu za kiroho, protection ilipungua kwangu sikuwa na ulinzi wa kutosha hivyo ninahitaji kumtafuta Mungu zaidi kutokana na mazingira niliyomo sasa kuna negative forces zinazohitaji uwepo wa Mungu zaidi kwaajili ya kunipigania na kupigania mambo yangu. ilipoungana na ule mlima nilipokuwa napanda na kuona nguvu zimepungua kumalizia robo ya mlima kufika kileleni, ndio hivyohivyo, nahitaji nguvu za ulinzi zaidi. matumaini yangu kushikilia lile taruma la reli na kua nitafanikiwa ni kwamba katika mambo yangu ninayotafuta nitafanikiwa lakini nahitaji kumtafuta Mungu kwa bidii sana ili uwepo wa Mungu uwe kwa wingi maishani mwangu na ndio utakuwa ulinzi wangu negative forces hazitaweza kunifikia kwasababu nitakuwa nimezungukwa na nguvu za Mungu. kwasasa nguvu za Mungu au uwepo wa Mungu umepungua hivyo nahitaji kutafuta zaidi uso wa Mungu.
kama ilivyo principle, the more you read the word of God, the more you spend more time in prayer and fasting, the more seek the face of God in various manners....ndivyo nguvu za Mungu nyingi zinakuja juu yako na ndivyo Mungu anapokuw akaribu sana na wewe.
the more unavyotegea katika maombi, the more unavyotegea kusoma Neno la Mungu, the more unavyokkuwa haumtafuti Mungu,....the more utakua mbali na Mungu na nguvu zake zitapungua kwako.
Neno la Mungu linasema "nani mtanitafuta na kuniona mtakaponitafuta kwa mioyo yenu yote", na ukimtafuta Mungu kwa bidii atakua karibu nawe, unapopunguza kumtafuta ndivyo unavyopiga hatua moja baada ya nyingine nyumba away from him...
Namshukuru Mungu kwa hilo, yanipasa kukazana sasa nimtafute Mungu, pale palipopungua pajazwe na ulinzi wa Mungu uwe intact na mambo yangu yaende vizuri. ni matumaini/imani yangu kwamba muda si mrefu nitakuja hapa siku moja kutoa ushuhuda wa jinsi matokeo ya ndoto hii yalivyo kama yamebadilika au la, na yote yatakuwa kwa utukufu wa Mungu. Katika Jina la Yesu Kristo!