Ndoto tunazoota na tafsiri zake

Ndoto tunazoota na tafsiri zake

Asante ni kwli mara nyingi nkiota npo darasani huwa naota nafanya mitihani japokua mara nyng ni migumu LAKINI sijawahi kumalza mtihani wwte had ndoto inaisha
sikuhizi naona sana kufanya mitihani shule tena mitihani mingi ya elimu ambayo sijaifikia, yale maswali yanakua marahisi na mengine hayahusiani hata na shule ' shida inakuja kwenye kujibu nikitaka kuandika mkono haufiki kwenye ______ unakua mzito Ikifika dk5 kukusanya karatasi mkono unafika sijazi hata time is over! nabaki najilaumu mbona sikujaza.
 
sikuhizi naona sana kufanya mitihani shule tena mitihani mingi ya elimu ambayo sijaifikia, yale maswali yanakua marahisi na mengine hayahusiani hata na shule ' shida inakuja kwenye kujibu nikitaka kuandika mkono haufiki kwenye ______ unakua mzito Ikifika dk5 kukusanya karatasi mkono unafika sijazi hata time is over! nabaki najilaumu mbona sikujaza.
Angalia uhusiano wako wa maisha yako ki ujumla na hizo ndoto.
Siku ukifanikiwa kujaza utakuwa wa tofauti kwenye mambo yako
 
Umofia kwenu wakuu,

Wapo watu ambao wanapenda kujua maana au tafsiri za ndoto kwa kuwa nyingi huwa zinakuja kwa mtindo wa mafumbo. Wapo wanaoamini kuwa ndoto zina taarifa zenye miongozo au kutoa tahadhari kwenye mwenendo wa maisha yao ya kila siku. Hivyo kuzielewa kuna maana kubwa sana kwao.

Nimeona ni jambo jema kukusanya mada ambazo zimeshawahi kujadiliwa kwa kina humu JF kuhusiana na Ndoto na Tafsiri zake, ili kuweka urahisi kwa wale ambao wanataka kujua tafsiri ya ndoto zao walizoota, pasi na kuwa na haja ya kuanzisha uzi mpya kuulizia kitu cha aina moja kila uchwao..

Zifuatazo ni mada zenye maswali na majibu kuhusu ndoto mbalimbali ambazo zimeshawahi kujadiliwa humu JF:

Hizi ni ndoto hatari sana maishani mwako..

Ndoto za kupaa na kuelea hewani zinaashiria nini?

Jinamizi ni nini? Kwanini hutokea wakati wa kulala tu?


Msaada: Nimeota nimeenda eneo nisilolijua na kukutana na vitisho


Ndoto za Mapenzi zinanitesa, nifanyeje?

Kuna mahusiano kati ya ndoto na maisha ya kawaida?


Ndoto: Sehemu muhimu kwa afya ya hifadhi ya akili

Ni kipi kilichojificha kwenye ndoto zetu?

Nini tofauti na maana kati ya ndoto na maono?

Kufanya mapenzi ndotoni

Jinsi ya kupata majibu ya swali lolote kirahisi ndotoni...


Tofauti na tafsiri ya kula na kulishwa nyama ndotoni
Baadhi ya majibu ya UHAKIKA ya maswali yako yako hapa:













 
Dah mimi niliota juzi nakimbizwa na nyoka mweus
Muombe Mungu akulinde na akusaidie. Nyoka mweusi ni ishara ya mchawi anakufuatilia. Nyoka mweusi ni ishara ya mchawi aliyekomaa kwenye uchawi.
 
Jana nimeota nipo chumbani kwangu, ila mbingu naiona Sasa sijajua hilo mbingu ndio lilikuwa paa langu au vipi, nikafanya kwaishara ya mikono yangu namuonekano wambingu ukabadilika ila nikashindwa kuurudisha katika muonekano wake wamwanzo kila nikijaribu kufanya kwaishara wapi nikashindwa.


Ndoto nyingine nimeota nipo tupo juu yajengo laghorofa nafundi fundi anajenga ghorofa namimi sikumbuki nilikuwa nafanya nini ila kama vile nilikuwa namsaidia fundi nawakati huo lile ghorofa linaonekana sio imara kabisa yaani fundi analijenga kwakulipua kwamakusudi namda huo mimi nayeye tupo juu na nilimwambia kabisa kuwa litatudondokea na kwakweli mda sio mrefu ghorofa lilidondoka ila tulipona ila mmiliki waghorofa ndio alifukiwa tukaanza kumuopoa yeye pamoja navitu vyake. Nakiuhalisia huyu mmiliki ambaye nimemuota nimteja wangu kwenye biashara yangu naninamdai hapa nilipo nanimfanya biashara wakawaida nawala hana uwezo wakujenga ghorofa namda huu navyotype hapa yeye yupo mbeya amefata viazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm mara kadhaa nilishaota nakata gogo muda mreeeefu yani zaidi ya saa mm nipo zangu nakata gogo.

Pia nikianza safari kamwe sifiki ninakoenda hata kama ni karibu.

Pia hua ninaota nipo zangu shule wkt shule nilishahitimu kitambo.

Kuna mlima fulani mrefu huko kwetu basi huo mlima naota nauona maeneo tofautitofauti.

HIZO NDOTO ZOTE HUJIRUDIA MARA KWA MARA sijui maanake nini!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sikuhizi naona sana kufanya mitihani shule tena mitihani mingi ya elimu ambayo sijaifikia, yale maswali yanakua marahisi na mengine hayahusiani hata na shule ' shida inakuja kwenye kujibu nikitaka kuandika mkono haufiki kwenye ______ unakua mzito Ikifika dk5 kukusanya karatasi mkono unafika sijazi hata time is over! nabaki najilaumu mbona sikujaza.
Yani mwenyewe ndoto za mitihani na kutokujaza zinaziandama mno..Hadi muda unaisha sijajaza chochote..na Mara najikuta nipo peke yangu kwenye chumba Cha mitihani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm mara kadhaa nilishaota nakata gogo muda mreeeefu yani zaidi ya saa mm nipo zangu nakata gogo.

Pia nikianza safari kamwe sifiki ninakoenda hata kama ni karibu.

Pia hua ninaota nipo zangu shule wkt shule nilishahitimu kitambo.

Kuna mlima fulani mrefu huko kwetu basi huo mlima naota nauona maeneo tofautitofauti.

HIZO NDOTO ZOTE HUJIRUDIA MARA KWA MARA sijui maanake nini!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Uhusiano wako wa maisha na mipango yako.
Vizingiti na vikwazo
Majaribu yako kwenye maisha yako.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana nimeota nipo chumbani kwangu, ila mbingu naiona Sasa sijajua hilo mbingu ndio lilikuwa paa langu au vipi, nikafanya kwaishara ya mikono yangu namuonekano wambingu ukabadilika ila nikashindwa kuurudisha katika muonekano wake wamwanzo kila nikijaribu kufanya kwaishara wapi nikashindwa.


Ndoto nyingine nimeota nipo tupo juu yajengo laghorofa nafundi fundi anajenga ghorofa namimi sikumbuki nilikuwa nafanya nini ila kama vile nilikuwa namsaidia fundi nawakati huo lile ghorofa linaonekana sio imara kabisa yaani fundi analijenga kwakulipua kwamakusudi namda huo mimi nayeye tupo juu na nilimwambia kabisa kuwa litatudondokea na kwakweli mda sio mrefu ghorofa lilidondoka ila tulipona ila mmiliki waghorofa ndio alifukiwa tukaanza kumuopoa yeye pamoja navitu vyake. Nakiuhalisia huyu mmiliki ambaye nimemuota nimteja wangu kwenye biashara yangu naninamdai hapa nilipo nanimfanya biashara wakawaida nawala hana uwezo wakujenga ghorofa namda huu navyotype hapa yeye yupo mbeya amefata viazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa yako ata drop kwenye shughuli zake.
Fanya mpango umtengenezee njia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom