Nimtengenezeaje?Jamaa yako ata drop kwenye shughuli zake.
Fanya mpango umtengenezee njia
Sent using Jamii Forums mobile app
ninavojua ukilala na ukaota umeng'oka au meno yanatoka tu,Mi nimeota nang'oka meno(meno ya juu),inamaan gn mkuu
View attachment 1373233
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari mkuu,.Kuota warudi darasani maana kuna mambo wapaswa kujifunza upya ktk maisha yako, tafakari upya ni kitu umepungukiwa nini?
Je, unafanya mitihani? Kufanya mitihani maana yake kuna majaribu utapitia au unapitia ktk maisha, mtihani ulivyokuwa ndivyo hali halisi utakayopitia ama unapitia ktk hilo jaribu.
Kuhusu simba labda nikuulize imani yako, Biblia 1Petro 5:8-9 inasema Ibilisi ni kama simba aungurumaye akitafuta mtu ammeze. Maandiko yanasema namna pekee ya kumshinda ni kuwa thabiti ktk Imani.
Tafakar maisha yako ya kiroho, kumbuka Imani ni neno pana sana ktk maandiko matakatifu.
Mfano Imani kuna mahali inatambulika kama wokovu, Yesu, haki n.k
Mungu akufanyie wepesi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa nikizimbuka nawaza kana kwamba ni kama nimeziota tena so nahisi hapa kuna jamboJapokua nishawahi ota ndoto kama mbili na nikakutana na matukio yenye kufanana nazo but huwa Sizichukulii serious
😀😀Ndoto pekee ambayo ni ya kweli ni kuota unakojoa! Nakuhakikisha kwa 100% ukiamka utajikuta umelowa!
Nimekupata kiongoziSali sana kabla ya kulala kuomba ulinzi wa Roho mtakatifu dhidi ya pepo wabaya
Sent using Jamii Forums mobile app