manchoso
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 1,605
- 2,055
kwani dini unavyoona ww maana yake nini?acha ujinga, kamjibu kwa mlengo wa kidini...je kama muhusika hana dini, ushauri huo utamsaidiaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani dini unavyoona ww maana yake nini?acha ujinga, kamjibu kwa mlengo wa kidini...je kama muhusika hana dini, ushauri huo utamsaidiaje?
dini ni utamaduni kama ilivyo siasa au sanaa...vyote waasisi ni wanadamu.kwani dini unavyoona ww maana yake nini?
naye Aleyn pia umuelewe kamjibu vile si lazima huyo alieuliza awe na dini hiyo ni ishara kaacha utamaduni wake wowote ule anaoumini.usifikiri nilimsapoti kwa kukurupuka nina experience ya watu walioota mfano wa ndoto kama hiyo na wakapewa majibu kama hayo na wakakiri kuwa ni kwelidini ni utamaduni kama ilivyo siasa au sanaa...vyote waasisi ni wanadamu.
nipo Mumbai, ntakuletea "Kurta"
Wow!
Thank u,
Niletee Pink na Black.
Lol.
umepata! tuombe uzima
Sehemu gani au katika kanisa gani inapatikana damu ya yesu tunavyojua yesu keshaondoka duniani miaka elfu na kitu na hakuna mtu aliye ihifadhi au kuweka damu ya Yesu kweli waongo wengi duniani.Ushauri wangu, ukishtuka kwenye ndoto za hivyo zikatae na kuharibu kabisa nia za ndoto hizo, mipango yote ya ibilisi natakasa maisha yako mwili na kila kitu chako kwa Damu ya Yesu. Na kama ni ndoto ya nafanikio basi ikamate na kuimiliki na kuizungushia ulinzi wa Damu ya Yesu. Usiwaze tu na kusubiri umsimulie mtu. Sometimes ni maono yenye maonyo au ujumbe na sometimes ni vita na muovu. Allen kakuambia possible meaning mimk nimekwambia nini ufanye next time inakutokea. It doesn't cost a thing lkn inasaidia sana huwezi kuwa na wasiwasi maana tayari umeikataa hiyo ndoto.
Mmh mercky ngoja tu niseme neno kwamba hiyo ndoto ilikuwa na maana mbili
1. Alikuwa anawangiwa ndio maana kaamka kichwa kinamuuma
2. Ni ndoto tu ya kawaida inayomtabiria mema kwakuwa kuna baadhi ya ndoto tafsiri huwa kinyume
Do you fear death?
Kumbe wewe nj mwanaume.Mkuu sina jipu,sidaiwi wala sitembei na mke wa mtu. Labda Kama kuna mtu ananichezea tu.
Kumbe wewe nj mwanaume.