Ndoto tunazoota na tafsiri zake

Ndoto tunazoota na tafsiri zake

Usiamini uchawi kwenye hili, hayo ni matokeo ya hamu yako ya kutamani siku moja dada yako aolewe. Hakufanya now mwambie dada yako.

1. Apunguze vigezo kwenye kuchagua chagua wanaume
2. Awe kalibu na wasio oa
3. Asitengeneze mazungira magumu kwa wanaume Kama, kuomba omba vitu visivyo na lazima
4. Ajiheshimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unaamini ndoto hiyo imeletwa na Mungu wa mbinguni, Mungu aliye hai, basi muombe akuonyeshe maana ya ndoto hiyo, na siyo utuombe sisi tukufasrie.

Unachokifanya hapa ni sawa na alichofanya Farao na mfalme Nebkadreza pale walipoota ndoto na kuomba wachawi, wasihiri na wanajimu wafasiri ndoto walizoota.

Mwanzo 41
15 Farao akamwambia Yusufu, Nimeota ndoto, wala hakuna awezaye kunifasiria; nami nimesikia habari zako, ya kwamba, usikiapo ndoto, waweza kuifasiri.
16 Yusufu akamjibu Farao, akisema, Si mimi; Mungu atampa Farao majibu ya amani.

Na pia
Danieli 2

28 lakini yuko Mungu mbinguni afunuaye siri, naye amemjulisha mfalme Nebukadreza mambo yatakayokuwa siku za mwisho
 
Mtapitia kipindi kigumu lkni mwenza wako atakuwa namchango mkubwa katika mafanikio yenu kupanda ni ishara ya ugumu lkn mwisho ndoto yako imeonesha mafanikio unapaswa umtangulize Mungu katika kilajambo usisahau kuombea ndoto..unapoota..huo nimtazamo wangu..
Habar nn maana ya ndoto hii... nimeota napanda mti mrefu unaofka mawinguni nikiwa na mwenza wangu ambaye alikuwa ametangulia juu mimi nikiwa chini, tulivofika juu kabisa yeye akawa wa mwanzo kuiona pete ya dhahabu ambayo alinivika kwenye mkono wangu wa kushoto, wakati huo mimi nimeishiwa nguvu . Tukawa tunashangilia ushindi na pete ikawa inatoa nyota nyota ndogondogo, mwenza wangu akawa ametaka tushuke lakini hakukuwa na sehemu ya kushukia ndipo nikastuka..je inamaanisha nini??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapoota ndoto kisha ukasikia kufadhaika kumbuka roho anakuambia usipuuzie ulipaswa kuomba mpaka usikie amani nafsini mwako...sijui kama ulifanya hivyo..
Habarini,

Kwa wale wataalamu wa ndoto, msaada wa tafsiri ya ndoto hii:

Huwa naota ndoto nyingi zingine naoneshwa na hutokea kweli, na baadhi ya ndoto hunifikirisha kama hii.

Zimepita siku kadhaa, unaweza ota ndoto hata 4 ila moja hukaa kwa muda kichwani. Nimeoteshwa dada yangu ameolewa ila ameolewa na mtu ambaye simfahamu. Dada yangu huyu ana umri mkubwa kidogo na mpaka sasa hajaolewa kutokana na sababu zilizoko nyuma ya binadamu (kufungwa), nakumbuka neno nililompa wakati wake huo wa harusi niliyoiona Ndotoni ni "kila jambo lina mwisho hivo vifungo vimekwisha wakati" wengi waliamini hutokuja kuolewa ila sasa umeolewa, na watu waliokuwa pembeni walisemeshana "Kumbe huyu alikuwa hajaolewa"

Ndoto hii inamaana gani, msaada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wakuu naombeni msaada wa tafsiri ya ndoto hii, leo nimeota kuwa nipo maeneo flani nmevaa gwanda za FFU ghafla nkakutana na askari kibao wametanda barabaran njiapanda hivi wakiwa kama wanasaka kitu flani.(kwa walioko dodoma ni pale ilipo airtel shop)

Kutokana na hofu nilishtukiwa na afande mmoja akaniuliza kitu ambacho skumbiki ni nn, nkamuita pembeni nkamwambia broo naomba unisamehe na usiwaambie wenzako please, naomba unitoe eneo hili akakubali, tukiwa njiani kuelekea kusikojulikana tukakutana na askari wengine wengi sana wakiwa kwny paredi, jamaa yaonekana alikuwa mkubwa alipokaribia akawaamulisha wakafungua mguu(mguu pande), nikiwa katika hofu sana nilitembea kwa kutetemeka hadi nikaskia minong'ono miongoni mwa askari waliokuwa pale.

Tulifika sehem inayoonekana kuwa ni nje ya mji kwnye mashanba ya watu, nliwaona jamaa flani wanalima tuliwasemesha ( skumbiki tuliwasemesha nini) tukakatiza katikati ya mashamba kutafta njia, mbele kulikuwa kama na korongo flani lililotuzuia kupita, tukapinda kulia hivi, kulikuwa na nyumba flani ndogo hivi inayoonekana ubavuni, kwa mbele kulionekana barabara ya lami na magari yalionekana kupita.
Yule Askali akanambia sasa tafuta barabara inayoelekea Bahati au Arusha urudi, nlishangaa sana kwanini jamaa kanifikisha mbali hvo na sjui narudi vipi dom maana sikuwa hata na mia mfukoni.

Wakati na tafakari jamaa skuona alipopotelea ghafla wakaja mabinti wawili nnaowafahamu, ambao sikuwa na wazo la kujiuliza wapetokea wapi kwa sababu tulikuwa pembeni ya nyumba ile. Basi wakanisemesha (skumbiki tuliwasemeshana nini ), dada mmoja akanambia kuwa anapenda shati langu huku akilishikashika, ghafla nikagundua sijavaa gwanda za FFU tena bali ni nguo flani kama rangi ya maziwa hivi.
wakati akishika shati langu nikagundua kuna maandishi mengi sana kwny suruali yangu mguu wa kulia wakiyoandikwa kwa kalam ya wino.

Nilishangaa sana na kujiuliza yametoka wapi, baada ya kuchunguza vizur nikagundua sio maandishi bari ni namba nyingi sana zmeandikwa na kutengeneza kama umbo la mraba hvi, niliangakia kwa umakini nikaona kuna namba tatu zimeandikwa kwa wino mwekundu ambazo ni 1, 3, na 7 halafu kuna moja ya mwsho iliandikwa kwa wino wa blue kama zingne ila naikumbuka kwa sababu ilikuwa ni ya mwsho upande wa chini kulia mwa umbo lile la mraba na ilikuwa haijaandikwa kikamilifu na ilikuwa kubwa kuliko zote, nayo ni namba 8 ( iliandikwa as if mwandishi alikuwa na speed kubwa hivyo haikufungwa vizuri upande wa juu kulia).
Baada ya hapo nilishtuka toka usingizini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Punguza vitu kaya
wakuu naombeni msaada wa tafsiri ya ndoto hii, leo nimeota kuwa nipo maeneo flani nmevaa gwanda za FFU ghafla nkakutana na askari kibao wametanda barabaran njiapanda hivi wakiwa kama wanasaka kitu flani.(kwa walioko dodoma ni pale ilipo airtel shop)

Kutokana na hofu nilishtukiwa na afande mmoja akaniuliza kitu ambacho skumbiki ni nn, nkamuita pembeni nkamwambia broo naomba unisamehe na usiwaambie wenzako please, naomba unitoe eneo hili akakubali, tukiwa njiani kuelekea kusikojulikana tukakutana na askari wengine wengi sana wakiwa kwny paredi, jamaa yaonekana alikuwa mkubwa alipokaribia akawaamulisha wakafungua mguu(mguu pande), nikiwa katika hofu sana nilitembea kwa kutetemeka hadi nikaskia minong'ono miongoni mwa askari waliokuwa pale.

Tulifika sehem inayoonekana kuwa ni nje ya mji kwnye mashanba ya watu, nliwaona jamaa flani wanalima tuliwasemesha ( skumbiki tuliwasemesha nini) tukakatiza katikati ya mashamba kutafta njia, mbele kulikuwa kama na korongo flani lililotuzuia kupita, tukapinda kulia hivi, kulikuwa na nyumba flani ndogo hivi inayoonekana ubavuni, kwa mbele kulionekana barabara ya lami na magari yalionekana kupita.
Yule Askali akanambia sasa tafuta barabara inayoelekea Bahati au Arusha urudi, nlishangaa sana kwanini jamaa kanifikisha mbali hvo na sjui narudi vipi dom maana sikuwa hata na mia mfukoni.

Wakati na tafakari jamaa skuona alipopotelea ghafla wakaja mabinti wawili nnaowafahamu, ambao sikuwa na wazo la kujiuliza wapetokea wapi kwa sababu tulikuwa pembeni ya nyumba ile. Basi wakanisemesha (skumbiki tuliwasemeshana nini ), dada mmoja akanambia kuwa anapenda shati langu huku akilishikashika, ghafla nikagundua sijavaa gwanda za FFU tena bali ni nguo flani kama rangi ya maziwa hivi.
wakati akishika shati langu nikagundua kuna maandishi mengi sana kwny suruali yangu mguu wa kulia wakiyoandikwa kwa kalam ya wino.

Nilishangaa sana na kujiuliza yametoka wapi, baada ya kuchunguza vizur nikagundua sio maandishi bari ni namba nyingi sana zmeandikwa na kutengeneza kama umbo la mraba hvi, niliangakia kwa umakini nikaona kuna namba tatu zimeandikwa kwa wino mwekundu ambazo ni 1, 3, na 7 halafu kuna moja ya mwsho iliandikwa kwa wino wa blue kama zingne ila naikumbuka kwa sababu ilikuwa ni ya mwsho upande wa chini kulia mwa umbo lile la mraba na ilikuwa haijaandikwa kikamilifu na ilikuwa kubwa kuliko zote, nayo ni namba 8 ( iliandikwa as if mwandishi alikuwa na speed kubwa hivyo haikufungwa vizuri upande wa juu kulia).
Baada ya hapo nilishtuka toka usingizini.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msaada, kuna Ndoto nimeoteshwa, niko Makao makuu ya kampuni nalofanyia kazi tuko kwenye meza tumekaa wanawake ni wengi mwanaume kama nilikuwa mwenyewe, na kuna jambo tulikuwa tukijadili japo silikumbuki, watu hao niliokaa nao ni mwanamke mmoja ndio namjua, na watu hao wako idara ambayo ilishawahi kutoa kazi na nilikuwa nakidhi vigezo ila kuna mambo yalifanyika nika katwa, hii Ndoto maana yake ni nini..?
 
Msaada, kuna Ndoto nimeoteshwa, niko Makao makuu ya kampuni nalofanyia kazi tuko kwenye meza tumekaa wanawake ni wengi mwanaume kama nilikuwa mwenyewe, na kuna jambo tulikuwa tukijadili japo silikumbuki.

Watu hao niliokaa nao ni mwanamke mmoja ndio namjua, na watu hao wako idara ambayo ilishawahi kutoa kazi na nilikuwa nakidhi vigezo ila kuna mambo yalifanyika nika katwa, ilikuwa nyuma kidogo lakini sasa naona tumekaa meza moja kuna jambo tunajadili.

hii Ndoto maana yake ni nini..?

Ahsanteni
 
Msaada, kuna Ndoto nimeoteshwa, niko Makao makuu ya kampuni nalofanyia kazi tuko kwenye meza tumekaa wanawake ni wengi mwanaume kama nilikuwa mwenyewe, na kuna jambo tulikuwa tukijadili japo silikumbuki.

Watu hao niliokaa nao ni mwanamke mmoja ndio namjua, na watu hao wako idara ambayo ilishawahi kutoa kazi na nilikuwa nakidhi vigezo ila kuna mambo yalifanyika nika katwa, ilikuwa nyuma kidogo lakini sasa naona tumekaa meza moja kuna jambo tunajadili.

hii Ndoto maana yake ni nini..?

Ahsanteni
 
Msaada, kuna Ndoto nimeoteshwa, niko Makao makuu ya kampuni nalofanyia kazi tuko kwenye meza tumekaa wanawake ni wengi mwanaume kama nilikuwa mwenyewe, na kuna jambo tulikuwa tukijadili japo silikumbuki.

Watu hao niliokaa nao ni mwanamke mmoja ndio namjua, na watu hao wako idara ambayo ilishawahi kutoa kazi na nilikuwa nakidhi vigezo ila kuna mambo yalifanyika nika katwa, ilikuwa nyuma kidogo lakini sasa naona tumekaa meza moja kuna jambo tunajadili.

hii Ndoto maana yake ni nini..?

Ahsanteni
Mshana Jr Kaka haya mambo vipi,
 
Back
Top Bottom