EP MEDICS COSMETICS STORE
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 2,826
- 4,593
Piga ua garagaza, zurura sana kutafuta pisi kali ila huyo uliemuota ndio utakae muoa.😁🤣Usiku wa Jana Niliota nafanya Sex na manzi mmoja hivi ambaye namfahamu lakini Sina feeling nae!!
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Nenda umwambie ulichoota, inaweza kuwa na yeye kaota hivyo hivyoUsiku wa Jana Niliota nafanya Sex na manzi mmoja hivi ambaye namfahamu lakini Sina feeling nae!!
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Piga ua garagaza, zurura sana kutafuta pisi kali ila huyo uliemuota ndio utakae muoa.[emoji16][emoji1787]
Note: usinichukulie serious mimi mwenyewe siamini katika mambo ya ndoto
Na leo jitahidi umuote tena unafanya nae sex sawa kijana wangu eeehUsiku wa Jana Niliota nafanya Sex na manzi mmoja hivi ambaye namfahamu lakini Sina feeling nae!!
mna roho zinaendana.. ambayo inawaunganisha.. ukita prove nenda ka testUsiku wa Jana Niliota nafanya Sex na manzi mmoja hivi ambaye namfahamu lakini Sina feeling nae!!
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Ushawahi kuivuta? I Proof you wrong madam 'Mamndenyi' 😂Walisema eti bangi ya Arusha ni nzuri,.. proof me wrong..
Roho ipi unaizungumzia?mna roho aina moja.. ambayo inawaunganisha.. ukita prove nenda ka test
Wanasema ni hivyo Ila maelezo yao sasaJini mahaba
Emu elezea kidogo hapoJini mahaba limechukua sura ya huyo mwanamke likaja kuyonya shahawa zako
Pole sana aisee,, nikajua unaota ndoto nyevu bado
Ndio zipoje hizo nyevu wewe ushawahi kuota?Pole sana aisee,, nikajua unaota ndoto nyevu bado
Majini na bin'Adam waovu Wana uwezo wa kuiba sura ya mtu na kwenda kufanyia matukio usiku. Ndiyo Maana tunashauriwa kutokuwa na ugomvi au kuwatuhumu watu tuliowaota ndotoni wakitufanyia mabayaEmu elezea kidogo hapo
Si tulifundishwaga shuleniNdio zipoje hizo nyevu wewe ushawahi kuota?